Mbowe: Slaa anapumzika, msiwe na hofu

Mbowe: Slaa anapumzika, msiwe na hofu

hahahahahahhahahah ...
dkmagupombe.jpg


Teh! Tehe! Teheee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hivi mwenyekiti likizo iliisha ya Dr.
 
Akizungumza na Radio one mda huu saa 4, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) Freeman Mbowe, amesema Dr Slaa hawezi kuhama chama hicho na hafikirii kamwe, kwa sasa anapumzika kwa likizo ya wiki moja.

Alipoulizwa kuhusu Slaa kutokubaliana na ujio Wa Lowassa amejibu kila kitu tulikubaliana na Slaa mwenyewe aliunga mkono suala hilo.

Mbowe amesema wananchi na wanachadema kwa ujumla wasiwe na wasiwasi kwani hiki chama ni makini na hakiwezi fanya maamuzi bila maridhiano na akasisitiza kuwapuuza wanaoeneza habari kuwa Slaa amejiuzulu siasa.

Alipoulizwa mara ya mwisho kuwasiliana na Dr Slaa ni lini akajibu jana saa kumi na mbili jioni.

Alipoulizwa walizungumza nini akajibu anajua yeye na Slaa.

Walipomuuliza hasa mbona sisi tukimpigia hapatikani akajibu sijui lakini mimi nimewasiliana nae jana.


Chanzo: Radio one

hili nalo ni JIPU UCHUNGU. ni lazima lipasuliwe. Mbowe aliongea uongo kabisa wa kutunga kwa wananchi. hivi kweli Mbowe ulidhamiria kuchukua serikali kwa uongo huu. kwa sababu Dr Slaa mwenyewe alikanusha kabisa kwamba aliongea na Mbowe. na yeye alikuwa ameshaumua kubwaga manyanga muda mrefu hata Mbowe alikuwa anafahamu ila aliamua kuficha ili wanachama wasighafirike. ni hatari kwa kiongozi kama Mbowe. hafai. ndio maana chadema asilia tumemtaka ajipime na akae pembeni atuachie jahazi tuliongoze wenyewe
 
Slaa ataunguruma lini tena???
Aje atufafanulie zaidi kashfa ya Richmond
 
hili nalo ni JIPU UCHUNGU. ni lazima lipasuliwe. Mbowe aliongea uongo kabisa wa kutunga kwa wananchi. hivi kweli Mbowe ulidhamiria kuchukua serikali kwa uongo huu. kwa sababu Dr Slaa mwenyewe alikanusha kabisa kwamba aliongea na Mbowe. na yeye alikuwa ameshaumua kubwaga manyanga muda mrefu hata Mbowe alikuwa anafahamu ila aliamua kuficha ili wanachama wasighafirike. ni hatari kwa kiongozi kama Mbowe. hafai. ndio maana chadema asilia tumemtaka ajipime na akae pembeni atuachie jahazi tuliongoze wenyewe

Hili la mbowe nalo ni jipu nimecheka sana leo siku yangu ilikuwa mbovu lakini angalau kwakucheka huku imekuwa nafuu yangu tena alisema katokea dirishani na treni haiwezi kumsubiriu
 
Mbowe yuko pamoja na Dr.Slaa.
Kuna maisha mazuri tu nje ya active politics.
Uchaguzi umeisha ila maisha ya Mbowe na Slaa yanaendelea kwa ubora wake
 
Hili la mbowe nalo ni jipu nimecheka sana leo siku yangu ilikuwa mbovu lakini angalau kwakucheka huku imekuwa nafuu yangu tena alisema katokea dirishani na treni haiwezi kumsubiriu

hahaha!!!!! treni la Mbowe lilikuwa limepoteza mwelekeo na lilikuwa sasa likielekea shimoni ndio maana Dr Slaa aliamua kuwahi kutokea dirishani. sasa angalia UKAWA imekuwa UKIWA
 
Akizungumza na Radio one mda huu saa 4, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na maendeleo(CHADEMA) Freeman Mbowe, amesema Dr Slaa hawezi kuhama chama hicho na hafikirii kamwe, kwa sasa anapumzika kwa likizo ya wiki moja.

Alipoulizwa kuhusu Slaa kutokubaliana na ujio Wa Lowassa amejibu kila kitu tulikubaliana na Slaa mwenyewe aliunga mkono suala hilo.

Mbowe amesema wananchi na wanachadema kwa ujumla wasiwe na wasiwasi kwani hiki chama ni makini na hakiwezi fanya maamuzi bila maridhiano na akasisitiza kuwapuuza wanaoeneza habari kuwa Slaa amejiuzulu siasa.

Alipoulizwa mara ya mwisho kuwasiliana na Dr Slaa ni lini akajibu jana saa kumi na mbili jioni.

Alipoulizwa walizungumza nini akajibu anajua yeye na Slaa.

Walipomuuliza hasa mbona sisi tukimpigia hapatikani akajibu sijui lakini mimi nimewasiliana nae jana.


Chanzo: Radio one

mnajidanganya sana.Mambo hayapo sawa kabisa

hili nalo ni JIPU UCHUNGU. ni lazima lipasuliwe. Mbowe aliongea uongo kabisa wa kutunga kwa wananchi. hivi kweli Mbowe ulidhamiria kuchukua serikali kwa uongo huu. kwa sababu Dr Slaa mwenyewe alikanusha kabisa kwamba aliongea na Mbowe. na yeye alikuwa ameshaumua kubwaga manyanga muda mrefu hata Mbowe alikuwa anafahamu ila aliamua kuficha ili wanachama wasighafirike. ni hatari kwa kiongozi kama Mbowe. hafai. ndio maana chadema asilia tumemtaka ajipime na akae pembeni atuachie jahazi tuliongoze wenyewe

Hapo Mbowe alisema uongo wa wazi ili makamanda wasicharuke ma kumpa kichapo.

Hii habari ya jipu imenipa tabasam. Kweli JF ina raha zake.
 
Back
Top Bottom