KIJOME
JF-Expert Member
- Jun 7, 2012
- 3,084
- 733
Naongezea nyama mkuu,awasake na wale waliovunja na kuiba mali pale sentro policcm mwanza ili tujue wana weledi...Kikwete amemtaka rais Bashir kuwasaka na kuwakamata watu waliowaua askari wa JWTZ lakini mwenyewe ameshindwa kuwasaka waliorusha mabomu na kuuawa raia wasio na hatia mchana kweupe!