Mbowe: Polisi tukutane Mahakamani ila siwapi Ushahidi

Mbowe: Polisi tukutane Mahakamani ila siwapi Ushahidi

Logic ya polisi siielewi kabisa. CDM imewatuhumu ninyi, na ushahidi unawahusu ninyi, then mnalazimisha mpewe ushahidi. Mbowe akitoa ushahidi kwa polisi yatakuwa maajabu ya karne.

Nawashauri polisi wapeleke kesi mahakamani.

Nimekusoma
 
Kweli Rais wetu kidume

Ray-C-NA-President-Kikwete-december-10-2012-396x368.png


Sasa kifuani kwa huyu ajuza anatafuta nini??

Kidude.jpg

kumbe unajua kama hapo ni twanga kotekote.sasa babu ndoa yake lini? au majukumu yamemzidi.anashindwa kufuga kuku farasi atamuweza wapi.
 
Nakubaliana na wewe baadhi ya mambo, ingekuwa vyema na busara kwa mbowe au chadema kuutoa ushahidi huu kwa umma, vyombo, vya habari na wanaharakati ili hatua stahiki zichukuliwe.. Kuendeleza ubishi na vyombo hivi vya dola ambavyo historia inaonyesha sio sikivu na serikali yetu hufanya kazi kwa matukio. Kulirefusha hili jambo ni kuurefusha msiba wa ndugu zetu na kuendelea kutupa machungu bila sababu yeyote ya msingi. Please please Mhe Mbowe, Chadema na Serikali yetu please spare some courtesy to our brother and sister by letting the truth to come out. Acheni kuwatesa ndugu zetu kwa kuukalia ukweli be serious Let them rest in peace..... Kwa mtu yeyote aliyepoteza ndugu kwenye msiba huu hizi zote ni sarakasi.. Wekeni ushahidi humu kama tulivyoupata wa Mwangosi na tutajua mnafiki ni nani... kuendelea kulivuta jambo hili kutapunguza hata nguvu ya huo ushahidi maana wapiga propaganda watasema CDM iliukalia ushahidi makusudi ili iuchakachue na hili litakapotokea huo ushahidi utakosa credibility na watu hawatauamini na wataufanya mzaha...... TUNAOMBA HAYA YAFIKIKE MWISHO WAKE.. KAMA KWELI CHADEMA WANA USHAHIDI HUU NA WAMEUKALIA WANAFANYA MAKOSA MAKUBWA SANAA KWA WAHANGA WA TUKIO HILI NA HAWAWATENDEI HAKI HATA KIDOGO MAREHEMU NDUGU ZETUU... NA MNAWAPA NAFASI YA KUTENGENEZA PROPAGANDA ZA KUUZIMA UKWELI PALE UTAKAPOTOLEWA HADHARANI.. TUNA KILA HAKI YA KUJUA NINI KILICHOTOKEA SIKU ILE, SI MBOWE WALA SI POLISI MWENYE MAMLAKA YA KUTUNYIMA KUUJUA UKWELI HUU.. MBOWE NA CHADEMA LAZIMA MUWE NA DEDLINE MLIYOJIWEKEA HAMUWEZI KUKAA NA USHAHIDI WA MAUAJI YA RAIA NA KUTUNYIMA HAKI YA HABARI ETI KWA SABABU RAIS HATAKI KUUNDA TUME... TO HELL NA TUME YAO... TUNAHITAJI KUJUAAA.. WEKA VIDEO DUNIA NZIMA IONE UDHALIMU ULITENDAKA DHIDI YA RAIA WASIOKUWA NA HATIAA.. ZAIDI YA HAPO WOTEE MNACHEZA NGOMA ZA KWENU KWENYE MAKABURI YA NDUGU ZETU... AND YOU DESERVE PURNISHMENT


Watanzania hamuishi vituko. nina maswali mawili kwako mkuu......
1. Dr. Ulimboka alivyotoa ushahidi na mwanahalisi kufichua maovu yale ya kigaidi yaliyofanywa na kina Ighondu kwa maagizo ya Ikulu , ulichukua maamuzi gani ya maana kiasi cha kudharau maamuzi ya kamati kuu ya chadema?
2. Mwangosi alipouawa hadharani na Jeshi la polisi huku ulimwengu ukishuhudia ukiwemo wewe, ulichukua maamuzi gani kiasi cha wewe kubeza maamuzi ya kamati kuu ya chadema?
Mpaka hapo utaona kuwa kamati kuu wapo sahihi na waache wacheze kisheria kuliko umma wa Watanzania wenye kiu ya kujua bila kufanya maamuzi baada ya kujua.
 
Chagonja ndio ambaye ilitakiwa wamuwekee masaa ya kuwakilisha uchunguzi wake na sio victims!!kweli nmeamini CIA na FBI walipofika Tz walistahili kuyafanya yote... Mliyosikia kwa sababu wanayohabari ya policcm,na ndo mana hadi Al-haji wa kanda maalum aliinamishwa akanuswa kwa nyuma na jibwaa-alipotoka hapo ikabidi akatawadhe apate udhu huku akiwa anajisonya mwenyewe kwa kudharirishwa

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

he he he mkuu hapa nimepapenda umetisha.
 
Video ya Mauaji ya Mwangosii ipo jamvini na unafiki wa serikali tunauona.. na hata ndugu wa marehemu wanajua nani aliyemuua ndugu yao.. hii ni haki ya kupata habari.. kuuendelea kuushikilia huu mkanda ni kuwanyima makusudi wafiwa na waadhirika nafasi ya kuupata ukweli ambalo ni kosaa si la kisheria peke yake kibinaadamu pia unawakosea hata ndugu na waadhirika woteee ambao hawapo katika huo ubishanio wa chadema na polisi.. Lengo la CDM siku zote lazima liwe kujiepusha na misuguano inayoongeza chuki na maumivu kwa raia na wanachama wake.. basi kama mnaona hii video ni nzuri sanaa mkae muanganie nyie na familia zenu. Hii sio video ya send offf wala harusii!!!??? Acha siasa jombaa hiiyo sio video ya kukaa nayo hata dakika chache na sikutegemea mbowe aeendelee kuikumbatia, hii serikali sio sikivu hata kidogo tupe video tutajua nini cha kufanya! Huyu aliyefanya haya mauaji alitakiwa muda mrefu sasa awe anaishi Segerea. Hii video ikitoka hata kama serikali itakaa kimya ila aliyetelekeza haya mauaji hataliona jua akiwa uraiani.. Na serikali lazima itamuweka ndani hata kama haipendii...... NARUDIA TENA KUENDELEA KUNG'ANG'ANIA HII VIDEO NI ''VIOLATION OF PUBLIC INTEREST; TUMIENI NJIA YEYOTE HII VIDEO ITOKE TUIONE NA SI KUENDELEA KUIKALIA AS IF NI MKANDA WA SEND OFF.. HUO SI MKANDA WA SEND OFF.... MNATAFUTA CHUKI TUUU KWA VICTIM NA RAIA.. HUU NI USHAHIDI MUHIMU SANA WA UHALIFU ULIOTENDEKA THIDI YA BINAADAMA NA TUSIPENDA KUNG'ANG'ANIA CRIMINAL CASE FOR OUR POLITICAL REASONS...... "" TUKUMBUKE MUHALIFU ANAENDELEA KULA BATAA TUUU WAKATI UBISHI UNAENDELEA NA TUNAONGEZA CHUKI NA MACHUNGU KWA VICTIM WA HILI JANGA....

umeanza lini kuijua nchi yako na aina ya utawala wake?
 
The problem ya wale mnaoshabikia huu mnyukano hamuoni kwamba hiii sii issue ya CDM Vs serikali peke yake wapo third part wanaoumia na huu msuguano. Luck for you two you have nothing to loose but the victim this shenanigan is painful every step you take.. Tunajua polisi ni waajiriwa wa kudumu wa serikali na wao hata ukweli usipotoka watapata mshahara kama kawaida,, kwa viongozi wa chadema your the victim.. Hiii ni kesi ya jinai, kama hamuwaamini polisi na since sioni hata dalili za kuundwa tume utueni huo mzigo, wekani ushahidi wazi kila mtuu auonee. Kuendelea kulumbana na polisi ni kujenga chukii na wahanga wa mlipuko huu na kutowatendesa haki wale waliopoteza maisha yaoo.. polisi tunawajua, they have nothing to loose... Hili jambo lazima liwe na mwisho.. KWANGU PANDE ZOTEE MBILI MNA-MAKOSA NA SINCE HAMUAMINIANI TUPENI HUO USHAHIDI SISI NA DUNIA NZIMA TUUONE.. FANYENI KAMA ILIVYOKUWA KWA MWANGOSI USHAHIDI UPO KWEUPE NA HAKUNA UBISHI NA PLEASE MSIINGIZE SIASA KWENYE HILIII MAANA.. YEYOTE ANAYECHEZA NA HILI ANATAFUTA CHUKI TUU.. KUMBUKA KUNA WATU WAZIMA AMBAO NI WAZAZI WAMEKUFA NA KUNA WATOTO WAMEPIGWA RISASI. TUAMBIENI MBAYA WETU NI NANI ILI TUCHUKUE HATUA WENYEWE... Mbowe kukalia huo ushahidi ni makosa maana anavunja sheria. Sheria ni taratibu tulizoweka sisi watanganyika ili kuleta haki na usawa. Tukiweka siasa pembeni hebu fikiria ingekuwa binti yake Mbowe AU binti yako kauwawa katika tukio lile angeendelea kukalia huo ushahidi na kusema mpaka rais aunde tume?!! Hii ni kesi ya jinai kaka na tuache siasa kama haimani mahakama avipe ushahidi vyombo huru vya habari, wanaharakati, balozi za njee ili haki itendeke.. Hii ni kesi ya ngedere unang'ang'ania Nyani aanzishe Mahakama kweli kutakuwa na hakii..?!! CHADEMA HII VIDEO KAMA MNAYO SI MALI YENU NA KUENDELEA KUING'ANG'ANIA NI "VIOLATION OF PUBLIC INTEREST".. TUMIENI NJIA YEYOTE HII VIDEO ITOKE MIKONONI MWENU IWE MALI YA UMMA MZIMA; TUIONE NA SI KUENDELEA KUKALIA USHAHIDI AS IF NI MKANDA WA SEND OFF.. HUO SI MKANDA WA SEND OFF.... MNATAFUTA CHUKI TUUU KWA VICTIM NA RAIA TUSIOPENDA KUONA CRIMINAL ACT ZINAGEUZWA NA KUWA SIASA.... TUJIFUNZE KUUITA UHALIFU NI UHALIFU HATA KAMA UMEFANYIKA KWENYE KUMBI ZA SIASA, KUINGIZA USHABIKI WA SIASA KATIKA HILI KUTACHANGIA SANA KESII HII YA JINAI KUGEUZWA NA KUWA POLITICAL GAME NA TUNAJUA IKISHAFIKIA HUKO THEY NEVER TAKE IT SERIOUS, THEY WILL FIND A POLITICAL SOLUTION FOR THE PROBLEM.. JE NDIO TUNACHOKITAFUTA?!!
Mkuu kazi za polisi ni nini? Nionavyo mimi serikali ndiyo yenye wajibu wa kutueleza kwa kina nini kilitokea kwa ndugu zetu na si kufanya utani kama ule wa Lukuvi bungeni
 
Watanzania hamuishi vituko. nina maswali mawili kwako mkuu......
1. Dr. Ulimboka alivyotoa ushahidi na mwanahalisi kufichua maovu yale ya kigaidi yaliyofanywa na kina Ighondu kwa maagizo ya Ikulu , ulichukua maamuzi gani ya maana kiasi cha kudharau maamuzi ya kamati kuu ya chadema?
2. Mwangosi alipouawa hadharani na Jeshi la polisi huku ulimwengu ukishuhudia ukiwemo wewe, ulichukua maamuzi gani kiasi cha wewe kubeza maamuzi ya kamati kuu ya chadema?
Mpaka hapo utaona kuwa kamati kuu wapo sahihi na waache wacheze kisheria kuliko umma wa Watanzania wenye kiu ya kujua bila kufanya maamuzi baada ya kujua.

Hukumuu ambayo umma itatoa kutokana na ushahidi uliopo kwenye hiyo video sidhani kama kuna yeyote atakayeweza kuikabili. Usisahau yule askarii aliyemuua Mwangosi wanamlinda na kuzuia hata sura yake isonekane unajua kwanini?!! Huyo Kamuhanda naye anajua maisha yake ni mafupi sanaa kwa hiyo usishangae ukiambiwa kafa ghafla kwa ugonjwa wa moyo... huwezi kufanya unyama kama ule halafu ukawa na maisha ya kawaida never.. damu ni nzito kuliko majii.. Hawa wauwaji lazima waanikwe kweupe ili tubadili maisha yao waanze kuishi kama panya wakiwa na hofuu muda wotee.. Maana hawajui siku wala saaa na nini waadhirika wanawaza kwenye akili zao.. ACHA POROJO UKISHATUHUMIA KUAFANYA MAUAJI WEWE LAZIMA UKAE SERO ANGALAO MIAKA ILI WATU WASIKUDHURU NA ANGALAU MACHUNGU YAPUNGUE NA WATU WAKUSAHAU..
 
Hukumuu ambayo umma itatoa kutokana na ushahidi uliopo kwenye hiyo video sidhani kama kuna yeyote atakayeweza kuikabili. Usisahau yule askarii aliyemuua Mwangosi wanamlinda na kuzuia hata sura yake isonekane unajua kwanini?!! Huyo Kamuhanda naye anajua maisha yake ni mafupi sanaa kwa hiyo usishangae ukiambiwa kafa ghafla kwa ugonjwa wa moyo... huwezi kufanya unyama kama ule halafu ukawa na maisha ya kawaida never.. damu ni nzito kuliko majii.. Hawa wauwaji lazima waanikwe kweupe ili tubadili maisha yao waanze kuishi kama panya wakiwa na hofuu muda wotee.. Maana hawajui siku wala saaa na nini waadhirika wanawaza kwenye akili zao.. ACHA POROJO UKISHATUHUMIA KUAFANYA MAUAJI WEWE LAZIMA UKAE SERO ANGALAO MIAKA ILI WATU WASIKUDHURU NA ANGALAU MACHUNGU YAPUNGUE NA WATU WAKUSAHAU..


Ramadhani Ighondu yupo sero gani?
 
The problem ya wale mnaoshabikia huu mnyukano hamuoni kwamba hiii sii issue ya CDM Vs serikali peke yake wapo third part wanaoumia na huu msuguano. Luck for you two you have nothing to loose but the victim this shenanigan is painful every step you take.. Tunajua polisi ni waajiriwa wa kudumu wa serikali na wao hata ukweli usipotoka watapata mshahara kama kawaida,, kwa viongozi wa chadema your the victim.. Hiii ni kesi ya jinai, kama hamuwaamini polisi na since sioni hata dalili za kuundwa tume utueni huo mzigo, wekani ushahidi wazi kila mtuu auonee. Kuendelea kulumbana na polisi ni kujenga chukii na wahanga wa mlipuko huu na kutowatendesa haki wale waliopoteza maisha yaoo.. polisi tunawajua, they have nothing to loose... Hili jambo lazima liwe na mwisho.. KWANGU PANDE ZOTEE MBILI MNA-MAKOSA NA SINCE HAMUAMINIANI TUPENI HUO USHAHIDI SISI NA DUNIA NZIMA TUUONE.. FANYENI KAMA ILIVYOKUWA KWA MWANGOSI USHAHIDI UPO KWEUPE NA HAKUNA UBISHI NA PLEASE MSIINGIZE SIASA KWENYE HILIII MAANA.. YEYOTE ANAYECHEZA NA HILI ANATAFUTA CHUKI TUU.. KUMBUKA KUNA WATU WAZIMA AMBAO NI WAZAZI WAMEKUFA NA KUNA WATOTO WAMEPIGWA RISASI. TUAMBIENI MBAYA WETU NI NANI ILI TUCHUKUE HATUA WENYEWE... Mbowe kukalia huo ushahidi ni makosa maana anavunja sheria. Sheria ni taratibu tulizoweka sisi watanganyika ili kuleta haki na usawa. Tukiweka siasa pembeni hebu fikiria ingekuwa binti yake Mbowe AU binti yako kauwawa katika tukio lile angeendelea kukalia huo ushahidi na kusema mpaka rais aunde tume?!! Hii ni kesi ya jinai kaka na tuache siasa kama haimani mahakama avipe ushahidi vyombo huru vya habari, wanaharakati, balozi za njee ili haki itendeke.. Hii ni kesi ya ngedere unang'ang'ania Nyani aanzishe Mahakama kweli kutakuwa na hakii..?!! CHADEMA HII VIDEO KAMA MNAYO SI MALI YENU NA KUENDELEA KUING'ANG'ANIA NI "VIOLATION OF PUBLIC INTEREST".. TUMIENI NJIA YEYOTE HII VIDEO ITOKE MIKONONI MWENU IWE MALI YA UMMA MZIMA; TUIONE NA SI KUENDELEA KUKALIA USHAHIDI AS IF NI MKANDA WA SEND OFF.. HUO SI MKANDA WA SEND OFF.... MNATAFUTA CHUKI TUUU KWA VICTIM NA RAIA TUSIOPENDA KUONA CRIMINAL ACT ZINAGEUZWA NA KUWA SIASA.... TUJIFUNZE KUUITA UHALIFU NI UHALIFU HATA KAMA UMEFANYIKA KWENYE KUMBI ZA SIASA, KUINGIZA USHABIKI WA SIASA KATIKA HILI KUTACHANGIA SANA KESII HII YA JINAI KUGEUZWA NA KUWA POLITICAL GAME NA TUNAJUA IKISHAFIKIA HUKO THEY NEVER TAKE IT SERIOUS, THEY WILL FIND A POLITICAL SOLUTION FOR THE PROBLEM.. JE NDIO TUNACHOKITAFUTA?!!

Usichojua wewe ni kuwa watanzania wengi wameshauwawa na hakuna nia ya dhati ya kuwatafuta wahusika, usichojua pia si chadema tu ila wananchi walishatoa ushirikiano wa kuwapata wahusika lakini wanaachiliwa mbele ya Jeshi la police, sasa leo mnamtaka Victim anayesema police walihusika kumvictimize, halafu mnamtaka awapelekee ushahidi police hao hao.. Mimi nadhani huko ni kuendelea kui victimize chadema, wenye akili mlipaswa kulishinikiza jeshi la police na serikali ifanya kazi yao ya kuchunguza siyo kuisakama chadema ilete ushahidi, leo chadema ikisema haina ushahidi wowote imanaama hao wauji watakuwa wamepona na mkono wa sheria? Watanzania tunapaswa kuthink critically, hasa ninyi wenye angalao uelewa mpana na vyie mnadanganywa kirahisi tu.. Chadema hatupendi unafiki, huo ushahidi hatutautoa kwenye jopo la wanafiki..
 
Usichojua wewe ni kuwa watanzania wengi wameshauwawa na hakuna nia ya dhati ya kuwatafuta wahusika, usichojua pia si chadema tu ila wananchi walishatoa ushirikiano wa kuwapata wahusika lakini wanaachiliwa mbele ya Jeshi la police, sasa leo mnamtaka Victim anayesema police walihusika kumvictimize, halafu mnamtaka awapelekee ushahidi police hao hao.. Mimi nadhani huko ni kuendelea kui victimize chadema, wenye akili mlipaswa kulishinikiza jeshi la police na serikali ifanya kazi yao ya kuchunguza siyo kuisakama chadema ilete ushahidi, leo chadema ikisema haina ushahidi wowote imanaama hao wauji watakuwa wamepona na mkono wa sheria? Watanzania tunapaswa kuthink critically, hasa ninyi wenye angalao uelewa mpana na vyie mnadanganywa kirahisi tu.. Chadema hatupendi unafiki, huo ushahidi hatutautoa kwenye jopo la wanafiki..

Ukifuatilia post zangu katika mjadala huu hakuna hata nukta niliyosema polisi wana-moral authority ya kuudai huu mkanda na hakuna niliposema CDM wapeleke mkanda huuu polisi.. That arusha sceene was horrible na kwa mpenda haki yeyote hawezi kukubali kuendelea kuna sarakasi zinaendelea huku hakuna anayechukua hatua.. Ndio maana nasisitiza hata kama huo mkanda utasalimishwa mbele ya tume ya kimahakama victim na wapenda haki wote tuna kila haki ya kuuona. Uleta mzigo jamvini na dunia nzima ione. That was the crime against humanity na ninachojua leo au kesho ni mimi au mwanangu atakuwa victim wa hili. Ndio maana nasisitiza kwa damu zilizomwagika kuna haja ya yeyote aliyehusika kupata adhabu stahili. Na historia inaonyesha serikali sio sikivu ndio maana nasema hii sio video ya sendoff wekeni huo mkanda kweupe usiendelee kuwa ni siri ya watu wachache ndani ya chadema as if they are the only victims.. KUNA KILA HAJA YA KUBADILISHA MAISHA YA WALE WOTE WALIOHUSIKA KWENYE HILI... MBONA SIKU ZOTE YAKIWASHINDA HUKO CHADEMA MNALETA KWA UMMA.. HILI LINAWASHINDA NINI?!! WENZENU WANA-BUY TIME ILI LIIBUKE JINGINE WAPATE NAFASI YA KULI-FAGILIA HILI CHINI YA CARPET... YEYOTE ANAYEJIJUA ALIHUSIKA KWENYE KUUA NDUGU ZETU NA WATOTO WADOGO WASIOKUWA NA HATIA ''AJUE TUU SIKU ZAKE ZINAHESABIKAA NA SIKU ATAKAPOKUMBANA NA HASIRA ZA VICTIM WATAMCHOMA KAMA MISHIKAKI"" RAMADHAN KARIM
 
Jeshi la #Polisi weledi umetoweka na ujuzi wa upelelezi umefikia kikomo? Ushahidi wa Mbowe sio uwafanye msifanye uchunguzi wenu, nanyi tuleteeni wenu basi
 
Jeshi la #Polisi weledi umetoweka na ujuzi wa upelelezi umefikia kikomo? Ushahidi wa Mbowe sio uwafanye msifanye uchunguzi wenu, nanyi tuleteeni wenu basi
 
Back
Top Bottom