Katambi: Mwenye ushahidi kuhusu watekaji aniletee

Katambi: Mwenye ushahidi kuhusu watekaji aniletee

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
5,162
Reaction score
17,632
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema Serikali haitoi ruhusa ya utekaji na kwamba vitendo vya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu ni makosa ya jinai yanayokiuka sheria na yatachunguzwa kwa kina ili ukweli ubainike.

Amesema endapo mtu anahusishwa na uhalifu, Serikali humkamata kwa mujibu wa sheria na kumfikisha katika vyombo vya sheria, ikiwemo kushikiliwa na polisi na baadaye kufikishwa mahakamani ikiwa ushahidi unathibitisha tuhuma zinazomkabili.

Akizungumzia tuhuma zinazowahusisha baadhi ya maafisa wa polisi, Katambi amesema tuhuma pekee hazitoshi kuchukua hatua za kinidhamu au kisheria bila ushahidi, akiwataka wenye vielelezo kuviwasilisha ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa kwa mujibu wa sheria.

 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema Serikali haitoi ruhusa ya utekaji na kwamba vitendo vya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu ni makosa ya jinai yanayokiuka sheria na yatachunguzwa kwa kina ili ukweli ubainike.

Amesema endapo mtu anahusishwa na uhalifu, Serikali humkamata kwa mujibu wa sheria na kumfikisha katika vyombo vya sheria, ikiwemo kushikiliwa na polisi na baadaye kufikishwa mahakamani ikiwa ushahidi unathibitisha tuhuma zinazomkabili.

Akizungumzia tuhuma zinazowahusisha baadhi ya maafisa wa polisi, Katambi amesema tuhuma pekee hazitoshi kuchukua hatua za kinidhamu au kisheria bila ushahidi, akiwataka wenye vielelezo kuviwasilisha ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa kwa mujibu wa sheria.

What a sonofabitch!
 
Mjinga wewe Katambi ..

Hujui unachochea moto watu " wasiridhiane"

Kama at all kuna maridhiano ..

Unaongea kutafuta attention kama mtoto mdogo..

Basi ng'ombe wako kashakuona..

Basi tuliza makende hayo!

Watu wamepoteza ndugu zao FOR REAL, the pain is REAL...hafu unakuja kukaa mbele kama kikatuni kutakq ushahidi....kajambe mbele huko!
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema Serikali haitoi ruhusa ya utekaji na kwamba vitendo vya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu ni makosa ya jinai yanayokiuka sheria na yatachunguzwa kwa kina ili ukweli ubainike.

Amesema endapo mtu anahusishwa na uhalifu, Serikali humkamata kwa mujibu wa sheria na kumfikisha katika vyombo vya sheria, ikiwemo kushikiliwa na polisi na baadaye kufikishwa mahakamani ikiwa ushahidi unathibitisha tuhuma zinazomkabili.

Akizungumzia tuhuma zinazowahusisha baadhi ya maafisa wa polisi, Katambi amesema tuhuma pekee hazitoshi kuchukua hatua za kinidhamu au kisheria bila ushahidi, akiwataka wenye vielelezo kuviwasilisha ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa kwa mujibu wa sheria.

Patrobas katambi, sasa amekuwa kitambi anatufokea
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema Serikali haitoi ruhusa ya utekaji na kwamba vitendo vya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu ni makosa ya jinai yanayokiuka sheria na yatachunguzwa kwa kina ili ukweli ubainike.

Amesema endapo mtu anahusishwa na uhalifu, Serikali humkamata kwa mujibu wa sheria na kumfikisha katika vyombo vya sheria, ikiwemo kushikiliwa na polisi na baadaye kufikishwa mahakamani ikiwa ushahidi unathibitisha tuhuma zinazomkabili.

Akizungumzia tuhuma zinazowahusisha baadhi ya maafisa wa polisi, Katambi amesema tuhuma pekee hazitoshi kuchukua hatua za kinidhamu au kisheria bila ushahidi, akiwataka wenye vielelezo kuviwasilisha ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa kwa mujibu wa sheria.

Mpuuzi, wakuletee wakati watekaji unawajua kuwa ni maboss wako!
 
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema Serikali haitoi ruhusa ya utekaji na kwamba vitendo vya utekaji, mauaji na kupotea kwa watu ni makosa ya jinai yanayokiuka sheria na yatachunguzwa kwa kina ili ukweli ubainike.

Amesema endapo mtu anahusishwa na uhalifu, Serikali humkamata kwa mujibu wa sheria na kumfikisha katika vyombo vya sheria, ikiwemo kushikiliwa na polisi na baadaye kufikishwa mahakamani ikiwa ushahidi unathibitisha tuhuma zinazomkabili.

Akizungumzia tuhuma zinazowahusisha baadhi ya maafisa wa polisi, Katambi amesema tuhuma pekee hazitoshi kuchukua hatua za kinidhamu au kisheria bila ushahidi, akiwataka wenye vielelezo kuviwasilisha ili hatua stahiki ziweze kuchukuliwa kwa mujibu wa sheria.

Huyu anahorojeka mithili ya kiporo cha maharage! Hivi hajui kuwa kuna vikosi vya ulinzi ndani ya vikosi vilivyoundwa kisheria na vinaongozwa na kuratibiwa na viongozi wa idara ya usalama na polisi?
Anatuletea habari za watu kujiteka siyo? Asijizime data eti hana habari za watu kutekwa na kuuawa.
Poepole, Soka, Mdude et al wako wapi? Keshaanza kumwogopa Mafwele!
 
Nikuwa na VIONGOZI waliokosa kiongozi mkuu mwenye hekima na mtambuzi juu ya uhalisia wa maisha!. Tupo kwenye Nchi ambayo familia inapotewa na ndgu yao zaidi ya siku 3, wanaripoti tukio polisi na polisi haohao wanakana kutokakumshikiria mhusika baadae ya siku Moja haohao wanatoa taarifa yakuwa nae!!. Bado huyo choko mwenye mdomo km k ya mbuzi anataka ushahidi upo?.
 
Back
Top Bottom