Mbowe: Polisi tukutane Mahakamani ila siwapi Ushahidi

Mbowe: Polisi tukutane Mahakamani ila siwapi Ushahidi

Biashara zake ni biashara za kuiharibu jamii, biashara za kishetani. Toka lini ukasikia biashara ya kishetani ni mafanikio? unanchekesha.

Sasa FaizaFoxy Kama biashara zake zinaharibu jamii na serikali yako imezipa vibali na inachukua kodi kila Mwaka, ni nani anaharibu Jamii? Ni Mbowe au Serikali iliyobariki kwa kutoa vibali??
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Pai
natoa angalizo kwa chadema chama makini,kesi ikishapelekwa mahakamani magamba watafanya hila hiyo kesi ipigwe dadadana hata ikiwezekana hadi 2016 maana wanajua madhara ya huo ushahidi kwao kisiasa...Na nadhani sheria inamkataza mbowe kutoa hiyo video kwa umma kama kesi ipo mahakamani tayari..i stand to be corrected..
 
Tanzania ni nchi ya ajabu sana, wezi wanavunja mpaka kituo cha polisi . Mijitu inashupalia siasa utafikiri ndio kazi yao .
Ili Jeshi letu linatia aibu mpaka serekali yenyewe,hupati shida kuwajua kama ni jeshi la kulinda usalama wa raia au chama,ukitaka kujua hilo ni pale wanapoacha kulinda watu na kuanza kudeal na chama hata ikulu ivunjwe leo at the sametime chadema wanafanya mikutano yao hawatazungumzia issue ya ikulu bali ya chadema...
 
Rais Kikwete aliwahi kusema anayo majina ya wafanyabiashara ya madawa ya kulevya(janga la dunia nzima),naye hatujasikia akikabidhi polisi.Rais yuko juu ya sheria?Dr Ulimboka aliyetekwa na kuteswa nusu mfu,amemtaja aliyemfanyia hayo kwa kiapo,lakini hawakumhoji Ulimboka wala kumkamata aliyetajwa kwa upelelezi.Kwa nini Mbowe?Mh Mwigulu aliwahi kusema anao ushahidi CDM wakipanga mauaji na watu watakufa mikutano ya CDM.Naye hakuitwa kuhojiwa.Kwa nini Mbowe?Hivi wakosaji ni viongozi wa CDM tu?Inatia hasira.

kuhusu rais.yeye hua ahojiwi wala ahimizwi REF;KATIBA.
kuhusu mwigulu. mbona aliitwa na polisi na akapeleka ushahidi wa ile part1. ila ile part 2 wote tulikubali kwamba bado haijapatikana teknojia ya kamera inayotembea.
 
natoa angalizo kwa chadema chama makini,kesi ikishapelekwa mahakamani magamba watafanya hila hiyo kesi ipigwe dadadana hata ikiwezekana hadi 2016 maana wanajua madhara ya huo ushahidi kwao kisiasa...Na nadhani sheria inamkataza mbowe kutoa hiyo video kwa umma kama kesi ipo mahakamani tayari..i stand to be corrected..

Si auweke sasa hivi kwenye youtube huo ushahidi na mwingine apeleke UN, vyombo vya haki za binadamu, na kwa Mabalozi wa Nje . Na copy atawanye kwenye magazeti yote ya ndani na nje . Au huo ushahidi mpaka u expire. Mbowe aache longolonge hivi hao wafiwa na majeruhi walioko hospitali wanamuonaje . Rais aunde tume ya nn kupoteza muda na hela wakati Mbowe anasema ushahidi anao. Na kama hataki kuutoa basi akae nao awe anaangalia yeye na familia yake kama cinema . Aache kuhadaa watu.
 
Heshima kwako mkuu wangu kwa maoni muruwa kabisa.. Sisi tulifundishwa sunday school kwamba unapotaja jina kubwa kama la MUNGU LAZIMA LIANZE KWA HERUFI KUBWA..HATA KAMA NI KATIKATI YA MSTARI!

Sifa na utukufu ni kwake, MUNGU akubariki.
 
kweli kabisa mwenye mji wa CDM , ni vema mkabwatukiane na kupeana makavu live pale pale kwa ponsio pilato
 
Mapolic-Maccm majinga sana, toka lini ushahidi unapelekwa POLICE na siyo MAHAKAMANI?

mbaya zaidi ni kutoka kwa DPP, very sad!
 
no more makamanda its time to lets freedom reigns in our country hamna kupeleka ushaidi wowote hapo kama mbaya na iwe mbaya tu.
 
Yaani mtuhumiwa anataka ushaidi ili aweze uchakachua
 
Kweli Tanzania kuna vituko, mtuhumiwa anataka kukabidhiwa ushahidi?
 
Si auweke sasa hivi kwenye youtube huo ushahidi na mwingine apeleke UN, vyombo vya haki za binadamu, na kwa Mabalozi wa Nje . Na copy atawanye kwenye magazeti yote ya ndani na nje . Au huo ushahidi mpaka u expire. Mbowe aache longolonge hivi hao wafiwa na majeruhi walioko hospitali wanamuonaje . Rais aunde tume ya nn kupoteza muda na hela wakati Mbowe anasema ushahidi anao. Na kama hataki kuutoa basi akae nao awe anaangalia yeye na familia yake kama cinema . Aache kuhadaa watu.
Kwani ushahidi huwa unapelekwa wapi? na kazi ya polisi ni ipi kukaa ofisini kusubiri iletewe ushahidi, Only in Tanzania.
 
Mbona walikubali juzi kwa Mh Mnyika bomu ni la kwao na limelipuka kwa bahati mbaya, hata la Mwangosi wamekubali, kumbe ushahidi wanao kwenye bomu la Arusha.MBOWE NAKUAMURU USIPELEKE,labda kama Mwigulu atakuomba umpe kwa sababu ana uwezo wa kutoa ushahidi hata mbinguni, ni mataalam
 
naomba kuulizakwani yule NEPI aliposema hawa CDM wamejilipua wenyewe Policcm Wamemwandikia barua au wamevurugwa hawa!!!!!!!!!
 
MBOWE NAKUAMURU USIPELEKE, kama wanaona ni lazima uwape, wakadai hiyo haki ya kupewa Mahakamani, kwa sababu hivyo vifungu wanavyotumia vinatafsiriwa na chombo maalum wao hawana uwezo wa kutafsiri.
Saana apelekewe Mwigulu ili akautoe Mbinguni penye haki zaidi:help:
 
hili tatizo la akili ndogo kutawala akili kubwa.mboe na form4 yake anawapeleka akina slaa,tindu,safari,belegu na wengio katika janga.chadema mlikose tangia mwanzo.
 
Back
Top Bottom