mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 45,751
- 55,787
Kuomba kunyamaza kuna tafsiri hana nia ya kuendelea na harakati zake.
Angenyamaza tu bila kuomba.
Tungejua mzee anajipanga.
Ila niliwaambia mapema HAKUNA FREE YA BURE.
Angenyamaza tu bila kuomba.
Tungejua mzee anajipanga.
Ila niliwaambia mapema HAKUNA FREE YA BURE.
Sijui hata unaongea utoto gani, kanyamaza ghafla na ndio katoka jela wala hana 48hrs nje!
Kwani aongee kipi ambacho hajaongea?
Isitoshe hata yeye anaelewa kwamba pale kanisani sio jukwaa la siasa,wala hakuna muumini aliemuomba aongee zaidi ya kutoa salamu na shukurani.