Mbowe ametangaza maandamano mkoa wa Dar es Salaam siku ya tarehe 24 January 2024 huku Makamu Mwenyekiti wa akiwa nchini Ivory Coast kuipa hamasa Taifa Stars.
Kwa mujibu wa Lissu atakuwa nchini Ivory Coast hadi January 24 amesema kuwa atatazama mechi zote za Taifa Stars!
Huku ni kukingamana kwa viongozi Wakuu wa Chama kinachojiita cha Upinzani wazi wazi.
Kwa mujibu wa Lissu atakuwa nchini Ivory Coast hadi January 24 amesema kuwa atatazama mechi zote za Taifa Stars!
Huku ni kukingamana kwa viongozi Wakuu wa Chama kinachojiita cha Upinzani wazi wazi.