Mzito Kabwela
Ni uongozi upi wa juu unaouzungumzia? maana mungu wako Dr.W.Slaa anakesha JF kugonga like! Na kuhusu Yericko Nyerere asikuumize kichwa anatumiwa ni mganga njaa ni miongoni mwa waganga wanaomtumiwa na babu lipo kudi la waganga la Tabata na Ukonga linatumiwa na babu kupenyeza ajenda zake; nashangaa wale wagangaa njaa wengine sijawaona ingekuwa vyema uwashauri watafute ajira hii kuishi mjini kiujanja kama makahaba wanaojiuza ni hatari sana!
Ni uongozi upi wa juu unaouzungumzia? maana mungu wako Dr.W.Slaa anakesha JF kugonga like! Na kuhusu Yericko Nyerere asikuumize kichwa anatumiwa ni mganga njaa ni miongoni mwa waganga wanaomtumiwa na babu lipo kudi la waganga la Tabata na Ukonga linatumiwa na babu kupenyeza ajenda zake; nashangaa wale wagangaa njaa wengine sijawaona ingekuwa vyema uwashauri watafute ajira hii kuishi mjini kiujanja kama makahaba wanaojiuza ni hatari sana!
Last edited by a moderator: