ZionGate
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 6,370
- 3,006
Huna jipya wewe unatisha kujamba kumbe unaharisha,sema tena masaa 48Mkuu nashukuru kwa kuwa na wewe unahesabu masaa.
Huna jipya wewe unatisha kujamba kumbe unaharisha,sema tena masaa 48Mkuu nashukuru kwa kuwa na wewe unahesabu masaa.
Mkuu mwangalie wife uyo anatamaa sana usikute Mwigulu anamlea
Muda umekwisha ibuka basi we mburula,unatisha wanaume,wenzio tunakosoana,na kuonyana,humohumo,tutoke chadema tuende wapi?
CCM chama dume na chama chenye Hekma na busara ambapo mawazo yote ni sawa!
Pole sana ukitaka Raha njoo CCM
CDM wamelogwa mwaka huu kila kukicha vijembe ndani ya chama na hakuna wakumkemea!
Yaani ndani ya CDM kila mtu na Lwake! Mbowe Kama kawa yupo na watoto wa hiari akina Lema a.k.a Prince, Nassary na Yericko bila kumsahau Mzee wa Sumu a.k.a Nane!
Hawa wote ni watoto wa kambo wa Mbowe wakipngozwa na kaka Yao mkubwa Lema.........mbumbumbu
Chukua hatua chukia CDM
CCM chama dume na chama chenye Hekma na busara ambapo mawazo yote ni sawa!
Pole sana ukitaka Raha njoo CCM
Wewe una ajenda ya siri!... Huna lolote!... Mchana CCM kwa ajili ya JK, jioni CDM kwa ajili ya ZK na Usiku kulala kwa SULTAN!!!Zitto Ana roho ya ustahimilivu na subra! Ni mfano wa kuigwa! Nimeongea nae jioni hii na kusema anajua kila kitu kinachoendelea na mwisho wake.
Amesema kuna watu wapo nyuma ya pazia! Lakini kikubwa kwa hawa vijana akina Lema, Nassary, Yericko na Ben ni wivu wa maendeleo! Zitto anaweza kujenga hoja kuliko hawa wote!
Hata akili zao ukizichanganya kwa pamoja hawawezi mfikia Zitto! Wote hawa ni hewala Mbowe na Slaa!
Lakini wanazidi kimjenga na kukaa kimya kwake ni ukomavu mkubwa wa fikra! Lakini pia ni tusi kubwa kwa familia hii kubwa ya mbowe!
Mmeshamchukua mfuasi wenu?Kamanda tunasubiri action time is over...
Najua utakuja na maamuzi magumu.
Hivi kwenu mmeacha kuchuna ngozi?CDM wamelogwa mwaka huu kila kukicha vijembe ndani ya chama na hakuna wakumkemea!
Yaani ndani ya CDM kila mtu na Lwake! Mbowe Kama kawa yupo na watoto wa hiari akina Lema a.k.a Prince, Nassary na Yericko bila kumsahau Mzee wa Sumu a.k.a Nane!
Hawa wote ni watoto wa kambo wa Mbowe wakipngozwa na kaka Yao mkubwa Lema.........mbumbumbu
Chukua hatua chukia CDM
Kamanda tunasubiri action time is over...
Najua utakuja na maamuzi magumu.