Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Status
Not open for further replies.
Mkuu, sitaki kujadili sana mambo ya future tense ndani ya chadema kwa sababu mda sii mrefu naingia kwenye kikao kujadili hatma yangu chadema.

Mkuu haina haja ya kujitoa,Mpambanaji hakati tamaa,Hupambana mpaka dakika ya mwisho.Ukijitoa utakuwa umekifanya kile ambacho jamaa walikitaka.
 
Mkuu usijitie upofu Shambulio dhidi ya Dr Slaa na Josephine nililitekeleza mimi. Na lilikuwa halina tuhuma, lilikua ni jambo binafsi ambalo lilitokea hapa hapa JF juu ya matumizi ya account ya JF ya Slaa. Nakumbuka katika karipio langu kwa Dr slaa nilitaka kujua ukweli wa anyetumia ID yake. Baada ya kugundua pia kuna wakati josephine anaitumia... Kwa pamoja tumlimtaka Josephine atumie ID yake na ya Dr Slaa itumiwe na Dr, unless anaitumia kwa maagizo ya Dr tofauti na awali Josephine alikuwa anaitumia kujibu mipasho ya akina ZeMarcopolo.

Safari hii nimetoa tena ultimatum ya saa 24 kuhakikisha viongozi waandamizi wa chadema wanalitolea tamko hili saga la lema vs zitto. Tunahitaji taarifa za namna viongozi wanavyodeal na matatizo katika chama.

Tunagombana na waajiri wetu kisa chadema, tunagombana na wake zetu na watoto kisa hiki chama, so lazma tukikingie kifua, wapumbavu wawili ama watatu wasiturudishe nyuma.

Tamko halisaidii, kama vipi rudi ccm.
 
Last edited by a moderator:
Ondoka haraka sana.Chadema haihitaji mamluki na vibaraka wa CCM kama wewe.

Unatishia nyau kwa kuleta hoja ya kijinga jamvini.Pole sana.
 
Mkuu nyuma yangu wapo wanachama wafia chama usifikiri ni wewe unapoteza muda kushinda mtandaoni na wala hukijengi chama.

We jenga chama na wafia chama wako, kwa vitisho, chuki, na kelele zisizo na msingi mtandaoni, mimi najenga nchi! Mwisho wa siku tutakutana tuone nani kafanya nini!
 
Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?

Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?

Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani) na haoni madhara ya anayoyaandika humu.

Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!

More updates
---------------------
______________-

Sasa hivi ni saa sita mchana..Mpaka sasa yamebaki Masaa Tisa. Bado nasubiri kusikia Tamko la Mwenyekiti wa chama, ama Katibu... Laa sivyo tutachukua maamuzi magumu.

_____________
_____________

Sasahivi ni saa kumi na moja Jioni. Bado msimamo wangu upo pale pale.. Kama Dr.W.Slaa unapitia huu uzi usiupuuze njoo uje utoe kauli yako.

Aliyechemsha ni Zitto uwezi kuwadanganya wenzako kwa Posho ya Tsh 80,000/= alafu huku wewe unachukua posho za laki 7 na kulala hotel ya Tsh 160,000/= kwa siku bado usafiri. Alafu ni wa kwanza kuita waandishi wa habari ili kuwafanya wenzake waonekane sio wazalendo yeye ndio mzalendo sasa nao wanahaki yakuuweleza ukweli wa mambo wakae kimya ili iweje ili hali Zitto ni wa kwanza kukimbilia vyombo vya habari. Acha atiwe discipline na Watanzania tumeshajua jinsi alivyo msanii
 
si na wewe unalipwa kwa kuwa kinyume na cdm?ni ajira kutoka ccm si mlipangwa ili muwe mnatuma ujinga kuhusu cdm mpaka watumiaji wa jf wanapungua maana mnalazimishwa na lazima utoe mrejesho kwa riz1
 
Ondoka haraka sana.Chadema haihitaji mamluki na vibaraka wa CCM kama wewe.

Unatishia nyau kwa kuleta hoja ya kijinga jamvini.Pole sana.

Mkuu mimi na wewe tuna tofauti sana, wewe hata kama chama kinakiuka misingi wewe unakisifu. Huu ni unafiki unaohubiriwa sasa
 
si na wewe unalipwa kwa kuwa kinyume na cdm?ni ajira kutoka ccm si mlipangwa ili muwe mnatuma ujinga kuhusu cdm mpaka watumiaji wa jf wanapungua maana mnalazimishwa na lazima utoe mrejesho kwa riz1

Tatizo lako binti, hujui siasa na unafuata mkumbo wa kumchukia Zitto bila ushahidi. Na hujataka kuupa ubongo wako nafasi ya kutafakari vyema. Mimi napigania misingi sio watu. Wewe unakuja na vihoja.

Otherwise endelea kula ndizi huko rombo
 
Mkuu haina haja ya kujitoa,Mpambanaji hakati tamaa,Hupambana mpaka dakika ya mwisho.Ukijitoa utakuwa umekifanya kile ambacho jamaa walikitaka.

Mkuu, kama unasukuma jiwe hata halisogei jua work done is equal to ziro. Uongozi mdhaifu ndio naujadili, hawaambiliki.
 
Mkuu mimi na wewe tuna tofauti sana, wewe hata kama chama kinakiuka misingi wewe unakisifu. Huu ni unafiki unaohubiriwa sasa

sixgates, mimi sio mwanachama wa chama chochote, ila kwa njia moja ama nyingine kuna namna ambavyo hivi vyama vinaniathiri iwe positive au negative.

Pili, si mtetei Zitto wala Lema, ila naungana na wewe kutoridhishwa na uongozi wa CHADEMA kutokuchukua hatua au kutoa tamko la kuonyesha kinalichukuliaje hili suala na kitachukua hatua gani.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, sitaki kujadili sana mambo ya future tense ndani ya chadema kwa sababu mda sii mrefu naingia kwenye kikao kujadili hatma yangu chadema.
Kwani kuna mtu anakulea chadema hadi ujadili hatma yako,bado masaa mangapi tukuimbie Parapanda...
 
Mkuu, kama unasukuma jiwe hata halisogei jua work done is equal to ziro. Uongozi mdhaifu ndio naujadili, hawaambiliki.

wewe ni kati ya wapuuzi tu, ondoka chadema usitutidhe kijinga hapa..
 
Mkuu sixgates masaa 24 yameshaisha,njoo utoe tamko la kujitoa chadema. Bahati nzuri kesho bungeni na Kikwete atakuwepo. Ni raha ilioje kupokelewa na kutambulishwa bungeni na mwenyekiti wa ccm taifa? Utakuwa umewazidi hadhi kina shonza na mtela waliotambulishwa na ZUNGU bungeni. Ahahahahaa! Unatishia nyau watu. Muulize Lemutuz na ka mkwara kake kwa Jakaya kama kalifua dafu kuhusu katiba.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu@sixgates masaa 24 yameshaisha,njoo utoe tamko la kujitoa chadema. Bahati nzuri kesho bungeni na@kikwete atakuwepo. Ni raha ilioje kupokelewa na kutambulishwa bungeni na mwenyekiti wa ccm taifa? Uakuwa umewazidi hadhi kina@shonza na@mtela waliotambulishwa na ZUNGU bungeni. Ahahahahaa! Unatishia nyau watu. Muulize Lemuz na ka mkwara kake kwa Jakaya kama kalifua dafu kuhusu@katiba.

Mkuu nashukuru kwa kuwa na wewe unahesabu masaa.
 
More updates
---------------------
______________-

Sasa hivi ni saa sita mchana..Mpaka sasa yamebaki Masaa Tisa. Bado nasubiri kusikia Tamko la Mwenyekiti wa chama, ama Katibu... Laa sivyo tutachukua maamuzi magumu.

_____________
_____________

Sasahivi ni saa kumi na moja Jioni. Bado msimamo wangu upo pale pale.. Kama Dr.W.Slaa unapitia huu uzi usiupuuze njoo uje utoe kauli yako.

Wacha mikwara kijana bado ROBO SAA unasubiri nini?
Unatishia ... wakati unatumbo la KUhara ?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom