Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Status
Not open for further replies.
326091_orig.jpg
 
Naunga mkono hoja 100% hainawezekani viongozi kukaa kimya kama hawaoni, hii ni double standard!
 
In short nimempigia simu Mnyika na kasema atahakikisha anacontrol situation, Zitto hapokei simu. Dr Slaa na Mbowe sijazoeana nao.
Busara hii ndiyo ambayo mimi niliitegemea kutoka kwako... Sasa posti yako imejaa madudu unayoyalalamikia.. Bila shaka ungekuwa katika nafasi ya lema ungefanya ujinga ule ule? KUKUKOSOA HATA KWA UKALI SI KUKUDHARAU!.
 
Halafu wewe ni nani mpaka utoe saa 24....Hujui makao makuu ya chama uende huko ukatoe hilo dukuduku lako...?

Muulize Mnyika na wanachama wa chadema sinza.
 
sifongo

Ni kweli kabisa, hawa watu wa chadema inaonesha wameshiba ruzuku zinazotokana na kodi tunazokatwa kwenye mishahara yetu na biashara zetu wanaanza kutunishiana misuli. Tusiruhusu

Masalia/magamba mna tabu sana....Unajifanya unakuja kama malaika kumbe ni mbwa mwitu mwenye njaa kali...
 
Mleta mada hujawa objective. Ningekuona una maana sana kama ungejaribu kuleta bandiko ukifocus kwenye reality. Unaposema Lema amemkosea naibu katibu mkuu bila kusema naibu katibu mkuu amewakosea wanachama wengine akiwamo Lema unaondoa kabisa maana nzuri uliyokusudia kwenye andishi lako hili.

Binafsi tangu mwanzo sijawahi na sitawahi kuja kuunga mkono malumbano ya kipuuzi ya namna hii. Kinachoumia ni chama. Chama hiki kuna watu wamekifia, kuna watu wamekaa rumande/gerezani kwa chama hiki. Kuna watu wametoa fedha zao halali kwa ajili ya chama hiki. Kujivua nguo hadharani kwa style ile ni kudemoralize nguvu kubwa ya sisi tilio baki. Ni ku water down nguvu ya damu iliyomwagika kwa kukipigania chama.

Mshindi katika vita hii atakuwa mi CCM. Chama ambacho wengine hatutaki hata kukisikia japo kwa sekunde hata moja.

Kwa ufupi Zitto na Lema wana 'dhambi' zinazofanana.

Nimefarijika baada ya kuambiwa Uongozi wa juu umeingilia kati. Nadhani hata Yericko Nyerere atakuwa ametaarifiwa aache mpango wake alionao.

Apana, nimesema binafsi nina matatizo na Zitto ila lazma tuheshimu viongozi. Haiweezekan yericko anakurupuka kuweka risiti kuanza kumshushia tuhuma zitto, ni utoto afate taratibu
 
Last edited by a moderator:
Kwa haya yaliyotokea CDM wameisha jivua nguo.
Na inaonekana na jinsi gani viongozi wa ngazi za juu jinsi walivyo na upendeleo.
 
Kwa hiyo wewe msemaji wa ZITTO? Amesemwa ZITTO umechukia... Angesemwa John Mnyika, josephine mshumbusi ama Slaa ungeleta utumbo huu?

Mkuu mimi hata akikosea Rais namkosoa, mimi ni muajiri wake, chadema kina jasho langu.
 
Apana, nimesema binafsi nina matatizo na Zitto ila lazma tuheshimu viongozi. Haiweezekan yericko anakurupuka kuweka risiti kuanza kumshushia tuhuma zitto, ni utoto afate taratibu
Yeriko ni mtu kama wewe... Ukitoa tuhuma si kauli ya CHADEMA...
 
hahaha, kamati kuu ya CCM imetoa masaa 24 kwa Mh. Mbowe na Dr,Slaa, loh, hii kali ya mwaka.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom