Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Status
Not open for further replies.
Watoto wa nje ya ndoa bana tangu wazazi wako kuachana baada ya ujauzito wako kuleta utata ulikumbana na mkosi na huu mzimu utakutesa daima basi tafuta mume uolewe japo huna mvuto hata wa kuolewa.

mke wangu simiyu unanikataa?
JE' HUO UJAUZITO ULIONAO ATAUTUNZA NANI?
SIKIA MAMA WATOTO, SIASA ISIFANYE UNIULIE MTOTO WANGU TULIA MAMA TUJENGE FAMILIA.
 
Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?

Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?

Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani) na haoni madhara ya anayoyaandika humu.

Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!

Hapa wewe umetofautiana vipi na hao wanaogombana mitandaoni.!? Tamko unatolea JF!?you can't be serious..
 
Mimi hakuna anaeweza kunituma. W.j.malecela ni looser hana ubavu wa kuniagiza jambo.

Jikite kwenye hoja acha ku attack personalities

Hoja ndio hiyo hapo,

Lengo la thread hii ni kuwashambulia viongozi wengine wa Chadema na 'kumpamba' Zitto..!!
Huamini..??
Soma thread yako namba 01, imesema hivi.....

'...Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?...'

Mbowe na Slaa wanashambuliwa hapa JF kila siku, sijawahi kuona thread yako ya 'kuwatetea'...!!

Upo hapo...??
Umeelewa ulichoandika kwenye thread yako namba 01....????
 
Nasikitika sana kuona utabiri alioutoa Wasira kuhusu CDM unakaribia.. hamna jinsi tena CDM inaweza kuingia uchaguzi ujao ikiwa na ile nguvu ya 2010. Na hiki ndio kitasababisha CCM itawale milele..
 
sixgates, unajua kuwa 'mwenzako' ZeMarcopolo alisema kuwa yeye yuko hapa JF kwa ajili ya 'ku-shape' public opinion kuhusu 'wapinzani'.
Yale yale ya kutekeleza 'amri' za 'boss' wenu' Le-Mutuz...!!

Hebu soma tena hapa uelewe vizuri 'maagizo' mliyopewa...
Maagizo ya 'kuwachafua' Mbowe na Slaa, na 'kumpamba' Zitto...!!

Someni tena hapa muelewe vizuri ili mnapoleta thread na sisi tuwaelewe vizuri...!!

@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!:
Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamua kujitoa kugombea Urais 2015, so I told you OUR OPERATION CHAOS is working kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now one more to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili our best interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!

- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015, SO SASA WALE WOTE TUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMA ILIVYO SASA, NINALO BOMU MOJA LA KIONGOZI WAO MMOJA MAARUFU KUTAKA KUMBAKA DEMU MMOJA MAJUU NA KESI IPO MAHAKAMANI NA DOCUMENTS ZIPO, INA MAANA HUYU AKIPEWA KUGOMBEA CHADEMA AKAPATA URAIS HATARUHUSIWA KWENDA HIYO NCHI, SASA TUTAKUWAJE NA RAIS AMBAYE NI LIMITED KWENYE INTERNATINIONAL COMMUNITY? SAAFI SANA MHESHIMIWA MBOWE KWA KUJIPIMA NA KUACHIA NGAZI SASA MSHAURI NA MWENZAKO SLAA AJIPIME!!

KIDUMU CCM!

KIDUMU CHAMA TAWALA!!

HA! HA! HA! HA!

- LE MUTUZ!!
 
Last edited by a moderator:
Nasikitika sana kuona utabiri alioutoa Wasira kuhusu CDM unakaribia.. hamna jinsi tena CDM inaweza kuingia uchaguzi ujao ikiwa na ile nguvu ya 2010. Na hiki ndio kitasababisha CCM itawale milele..

Utabiri...????
Yaani Wassira 'amerithi' mikoba ya huyu jamaa hapa kwenye picha...???
Huyu jamaa alisema kuwa atakayempinga JK atakufa, matokeo yake akafa yeye...!!

Sheikh%20Yahya%20Hussein,%2810%29.jpg
 
Uchaguzi ujao tutaanza kuona 2015 NCCR inarudi kwenye chati na huo ndio utakuwa mwisho wa upinzani Tanzania. Maana NCCR ni kama ngome ya CCM tu.
 
...sisi tumekupa masaa 12 ya kujitafakari,kama vipi nenda tu, maccm wanakungoja,utakuwa mtaji kwao,tunafanya usafi kwanza,mkubwa hatishiwi nyau...
 
Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?

Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?

Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani) na haoni madhara ya anayoyaandika humu.

Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!

Wewe mpuuzi sana tena kaa kimya hivi unataka M/kiti na Katibu waje mtandaoni kulifanyia hilo jambo kazi??ungekuwa kiongozi ungefanya hivyo???kuna vikao vya chama watalifanyia kazi swala hilo.kaa kimya fanya yanayokuhusu na chama chako cha majambazi na waporaji wa rasilimali za taifa letu
 
Zimepita siku kadhaa tangia niseme kwamba Mbowe is smart as well Slaa .Kuachia Zitto kushambuliwa na Yericko kiongozi mmoja kusema kapewa baraka kumshambulia Zitto hakika this not Chadema we want .Mna vikao na ofisini wote 2 Lema na Zitto wana makosa kwa uhalisia huu na Yericko anatakiwa kupewa onyo .We expected Mnyima kusema haya maswala ya Chama na si Yericko no WAY .
 
Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!

Kwa nini usiandike kuwa '...Viongozi wa Chadema hawashambuliwi...'

Hiyo yote ni kutekeleza amri za 'boss' wako...kama ifuatavyo....
Upo hapo...????

===================================================================================
@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!:
Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamua kujitoa kugombea Urais 2015, so I told you OUR OPERATION CHAOS is working kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now one more to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili our best interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!

- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015, SO SASA WALE WOTE TUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMA ILIVYO SASA, NINALO BOMU MOJA LA KIONGOZI WAO MMOJA MAARUFU KUTAKA KUMBAKA DEMU MMOJA MAJUU NA KESI IPO MAHAKAMANI NA DOCUMENTS ZIPO, INA MAANA HUYU AKIPEWA KUGOMBEA CHADEMA AKAPATA URAIS HATARUHUSIWA KWENDA HIYO NCHI, SASA TUTAKUWAJE NA RAIS AMBAYE NI LIMITED KWENYE INTERNATINIONAL COMMUNITY? SAAFI SANA MHESHIMIWA MBOWE KWA KUJIPIMA NA KUACHIA NGAZI SASA MSHAURI NA MWENZAKO SLAA AJIPIME!!

KIDUMU CCM!

KIDUMU CHAMA TAWALA!!

HA! HA! HA! HA!

- LE MUTUZ!!
=======================================================================================
 
Wewe mpuuzi sana tena kaa kimya hivi unataka M/kiti na Katibu waje mtandaoni kulifanyia hilo jambo kazi??ungekuwa kiongozi ungefanya hivyo???kuna vikao vya chama watalifanyia kazi swala hilo.kaa kimya fanya yanayokuhusu na chama chako cha majambazi na waporaji wa rasilimali za taifa letu

Sixgate kama wewe ni kiongozi unafanya kosa lile lile .Unajua wapi zilipo ofisi nenda or call those guys send them mails sema yako ya moyoni .
 
Mkuu tatizo nalipa kodi na ruzuku zinaenda kwene hiki chama so usifikiri ntaacha kukikemea

Kukikemea sawa, lakini hupaswi kukitisha chama. Ukikitisha hatutakuacha coz hata sisi kinatuhusu pia na kukilipia. Haya matamko ya hadharani lazima yawe na adabu kwa chama na viongozi wetu Vinginevyo ni kuchochea zaidi hizi vurugu za kijinga.
Mnaudhi sana, mnadhani hiki chama ni cha Zitto na Lema? Acheni kuinufaisha CCM kirahisi hivi, aliyechoshwa na Chadema aondoke tu.
 
Ndio maana ukifuatilia siasa za dunia utakuta kuna watu wanaitwa wachambuzi wa mambo. Wengine wanakuwa (mfano) wachambuzi wa masuala ya Mashariki ya kati, wachambuzi wa uchumi, wachambuzi wa masuala ya utamaduni, wachambuzi wa dini, wachambuzi wa sayansi, historia, nk,nk.
Nawaza hivi kwa sababu tulipofikia sasa tunahitaji wachambuzi wa siasa za Tanzania badala ya kutegemea watu wanaojifanya wanajua kila kitu kinachoibuka kutueleza wanachotaka. Siasa za Tanzania zimekuwa na mambo mengi sasa na mengine yanahitaji 'wachambuzi' maalumu kuyasemea. Naamaanisha mfano mtanzania anaposimama hadharani na kusema 1+1=11 hiku akijua fika jibu lake ni mbili na wenzake wakainama na kukubaliana naye, kisa!? ..."ni mwenzetu".
 
Hao uliowataja ndio watuhumiwa namba mbili na tatu wa hili saga. Mtuhumiwa namba moja yuko shambani kwake Tengeru...

Haaaaaaa haaaaaa haaaaaa,nimecheka sanaaaa leo kwa hili ulilosema duh
 
Mkuu tatizo nalipa kodi na ruzuku zinaenda kwene hiki chama so usifikiri ntaacha kukikemea

Kodi hulipi peke yako.
Acha upoyoyo...tuanze na alizotumia Mwigulu States na UK
 
kukikemea sawa, lakini hupaswi kukitisha chama. Ukikitisha hatutakuacha coz hata sisi kinatuhusu pia na kukilipia. Haya matamko ya hadharani lazima yawe na adabu kwa chama na viongozi wetu vinginevyo ni kuchochea zaidi hizi vurugu za kijinga.
Mnaudhi sana, mnadhani hiki chama ni cha zitto na lema? Acheni kuinufaisha ccm kirahisi hivi, aliyechoshwa na chadema aondoke tu.
lizee lizima linazinizini tu,uchumba gani na mvi,lizee lizima michezo halijamaliza???
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom