Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Status
Not open for further replies.
Hebu kalale huko wewe kwenye nyumba uliyohongwa na shoga mmeo...

hahaha dah! nimechekaje,ile nyumba nimeitosa baada ya kushtukia kumbe yule shoga ana kadi ya cdm.
Nalog off
 
Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?

Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?

Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani) na haoni madhara ya anayoyaandika humu.

Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!

Mkuu, nimeaanza kuamini hiki chama kimekaa kikanda zaidi!!!!!. Inanilazimu kufikilia upya!

Kiikweli siwaelewi Mbowe na Slaa. Hivi wapo kweli na wanafahamu haya yanayoendelea ndani ya chama? Kimya chao kinamaanisha kitu gani?

Nahisi Zitto hahitajiki kwenye chama hicho tena.
 
Najiuliza tu, hivi hiki chama chetu si kina mwenyekiti, na katibu? Haiingii akilini Zitto naibu katibu anashambuliwa na Lema na baadhi ya wanaoitwa makada wa chadema then mwenyekiti na katibu hawasemi lolote. Hivi angekuwa amesemwa John Mnyika, Josephine Mushumbusi ama Slaa si matamko yangetolewa? Mungekaa Kimya?

Binafsi nina matatizo na mwenendo wa Zitto, lakini katika hali ya kawaida uongozi wa chadema mmechemsha, badala ya kujibu hoja mnaleta risiti zinazomhusu Zitto sasa hizo risiti tuzifanyeje?

Ninachotaka kuona ni maamuzi yasiyo na double standard. Yaani hiki chama kimekuwa cha ajabu sana yani kwa mfano wapo vijana kama Yericko Nyerere anatoa matamko utafikiri chadema ni chama cha shangazi yake (naongea kama wanachama wanavyosema huku mitaani) na haoni madhara ya anayoyaandika humu.

Natoa saa 24 Mbowe na Dr Slaa najua mtasoma hii post, mchukue hatua na kuhakikisha Zitto hashambuliwi katika taratibu zisizo sahihi, laa sivyo nitaungana na wanachama wa kanda yangu tutatoa tamko latakalofuatiwa na kujitoa katika shughuli zote za kichama. Tunaweza!
utovu wa nidhamu ulianzishwa na zitto mwenyewe kwa wakubwa zake,kumbuka kipindi akina shonza na mwampamba wanamtukana Dr.slaa wazi wazi huku wakimsifia zitto bila zitto mwenyewe kukemea wala kukanusha matukano hayo kwa boss wake,cha ajabu badala ya kukemea naye alimshambulia bos wake Dr.Slaa,lakini ninyi mashabiki wa zitto mlikaa kimya na kusapoti hizi hujuma na dharau za zitto kwa mkuu wake,sio hilo tu bado zitto alipingana na msimamo wa chama chake ambao walijiridhisha pasipo shaka kwamba,sakata la ugaidi alilotengenezewa lwakatare ni la kupangwa na akina mwigulu,ludoviki na denis msaky,baada ya msaki kutajwa zitto alikuja juu na kumtetea msaky rafiki yake kwamba eti ole wao wanaonata kumgeuza victim(muathirika)msaki na kumfanya kuwa mtuhumiwa,alikipinga chama chake hadharani na mlikaa kimya,kimsingi semeni mnavyoweza lakini zitto ndio tatizo anafanya kazi za ushetani na Mungu anajua hivyo.
 
6504741_orig.jpg

Scramble for Africa
scramble for africa

Is it scramble for Africa au wanamaanisha viongozi wa Afrika hawana akili yaani unaweza kuongoza nchi yoyote Afrika hata kama huna kichwa? Mkuu sijaelewa haya makitu lakini naona ni kama kashfa kwa viongozi wa Afrika na waafrika kwa ujumla.
 
utovu wa nidhamu ulianzishwa na zitto mwenyewe kwa wakubwa zake,kumbuka kipindi akina shonza na mwampamba wanamtukana Dr.slaa wazi wazi huku wakimsifia zitto bila zitto mwenyewe kukemea wala kukanusha matukano hayo kwa boss wake,cha ajabu badala ya kukemea naye alimshambulia bos wake Dr.Slaa,lakini ninyi mashabiki wa zitto mlikaa kimya na kusapoti hizi hujuma na dharau za zitto kwa mkuu wake,sio hilo tu bado zitto alipingana na msimamo wa chama chake ambao walijiridhisha pasipo shaka kwamba,sakata la ugaidi alilotengenezewa lwakatare ni la kupangwa na akina mwigulu,ludoviki na denis msaky,baada ya msaki kutajwa zitto alikuja juu na kumtetea msaky rafiki yake kwamba eti ole wao wanaonata kumgeuza victim(muathirika)msaki na kumfanya kuwa mtuhumiwa,alikipinga chama chake hadharani na mlikaa kimya,kimsingi semeni mnavyoweza lakini zitto ndio tatizo anafanya kazi za ushetani na Mungu anajua hivyo.

Mkuu unamtaja Mungu. Don't be that emotional..wanasiasa wote ni wanafiki. Don't trust them.
 
utovu wa nidhamu ulianzishwa na zitto mwenyewe kwa wakubwa zake,kumbuka kipindi akina shonza na mwampamba wanamtukana Dr.slaa wazi wazi huku wakimsifia zitto bila zitto mwenyewe kukemea wala kukanusha matukano hayo kwa boss wake,cha ajabu badala ya kukemea naye alimshambulia bos wake Dr.Slaa,lakini ninyi mashabiki wa zitto mlikaa kimya na kusapoti hizi hujuma na dharau za zitto kwa mkuu wake,sio hilo tu bado zitto alipingana na msimamo wa chama chake ambao walijiridhisha pasipo shaka kwamba,sakata la ugaidi alilotengenezewa lwakatare ni la kupangwa na akina mwigulu,ludoviki na denis msaky,baada ya msaki kutajwa zitto alikuja juu na kumtetea msaky rafiki yake kwamba eti ole wao wanaonata kumgeuza victim(muathirika)msaki na kumfanya kuwa mtuhumiwa,alikipinga chama chake hadharani na mlikaa kimya,kimsingi semeni mnavyoweza lakini zitto ndio tatizo anafanya kazi za ushetani na Mungu anajua hivyo.

Zitto ni mtovu wa nizamu lakini pawe na taratibu za kuwajibisha viongozi sio kuja kutuaibisha mitandaoni. Two wrong doesn't make one right.
 
Unazidi kuudhirishia umma wa Watanzania kwanini hauwezi kuwapa chadema kuongoza nchi.

Ni kundi la wahuni kama wewe, hauna tofauti na Mbowe na Slaa.

Nakuambia hivi we endelea kupiga domo hapa na Chadema....

Mahakana ya kazi tupa kuleeee.....

OIC tupa kuleeeeee

Uamsho sujui mavi gani tupaa choooni au choma motoooo....

Endelea kubwabwaja na Chadema hapa wakati ccm inakumaliza....
 
Zitto ni mtovu wa nizamu lakini pawe na taratibu za kuwajibisha viongozi sio kuja kutuaibisha mitandaoni. Two wrong doesn't make one right.
Zitto ndie aliyeanza kumshambulia Lema tena kwa yaliyotokea kwenye kikao ambcho hakwepo.
 
Mkuu, nimeaanza kuamini hiki chama kimekaa kikanda zaidi!!!!!. Inanilazimu kufikilia upya!

Kiikweli siwaelewi Mbowe na Slaa. Hivi wapo kweli na wanafahamu haya yanayoendelea ndani ya chama? Kimya chao kinamaanisha kitu gani?

Nahisi Zitto hahitajiki kwenye chama hicho tena.

Kuna jamaa jana aliweka uzi hapa akivichambua Vyama vyote vikubwa yaani CCM,CUF na CHADEMA.Ule uzi uliondolewa ndani ya saa moja sasa sielewi sijui ni kwa amri ya CCM au CHADEMA.Ila alichokiongelea kuhusu CHADEMA kumilikiwa na Familia/Kabila kutoka Mkoa flani na kwamba akitokea mtu wa kanda nyingine akapingana nao kimtazamo kuwa watakuita msaliti,kwamba jamaa hawa wamedhibiti nyadhifa zote zenye nguvu ndani ya Chama,Kwamba ili uweze kukubalika Makao Makuu ikiwa wewe ni wa kutoka kanda nyingine sharti uwe kibaraka wao,Unaweza ukabadili mawazo ya kukipenda hiki Chama chini ya Mbowe,Na ukiona namna vita vya kuwatoa wanaoitwa virusi ilivyopamba moto ndani ya Chama ni lazima utakubaliana na huyu jamaa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom