Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Mbowe na Dr Slaa, natoa saa 24!

Status
Not open for further replies.
Kitaja wewe katika hili una hoja gani mkuu. Acha kashfa.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu chadema haijashiba wanachama. Chadema ni chama kikubwa, hata akiondoka Slaa, mbowe, zito bado kitasimama maana watu wamewekeza katika hiki chama. Tunaona mbali tunaogopa watu kukiingiza chama katika liabilities za migogoro. Nielewe nia yangu.

Mimi sikitishi chama, lakini mimi na wanachama wangu tuna nguvu ya kuprotest kama kuna ujinga unaoendelea chamani.

We kiherehere tu,nani anakujua? Kama unafikiri kupata wafuasi ni rahisi jaribu uone aibu utakayoambulia.
 
We kiherehere tu,nani anakujua? Kama unafikiri kupata wafuasi ni rahisi jaribu uone aibu utakayoambulia.

Mkuu Mkono subiri uone. Si umekariri. Hatua zitakazochukuliwa nitakutana na vyombo vya habari. Akili yako ndogo inakutuma kuwa chadema ni Mbowe na Slaa. Lazma uwe taahira kuwaza hivi.
 
Last edited by a moderator:
Lengo kuu la thread hii ni hili hapa.......


@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!:
Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamua kujitoa kugombea Urais 2015, so I told you OUR OPERATION CHAOS is working kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now one more to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili our best interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!

- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015, SO SASA WALE WOTE TUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMA ILIVYO SASA, NINALO BOMU MOJA LA KIONGOZI WAO MMOJA MAARUFU KUTAKA KUMBAKA DEMU MMOJA MAJUU NA KESI IPO MAHAKAMANI NA DOCUMENTS ZIPO, INA MAANA HUYU AKIPEWA KUGOMBEA CHADEMA AKAPATA URAIS HATARUHUSIWA KWENDA HIYO NCHI, SASA TUTAKUWAJE NA RAIS AMBAYE NI LIMITED KWENYE INTERNATINIONAL COMMUNITY? SAAFI SANA MHESHIMIWA MBOWE KWA KUJIPIMA NA KUACHIA NGAZI SASA MSHAURI NA MWENZAKO SLAA AJIPIME!!

KIDUMU CCM!

KIDUMU CHAMA TAWALA!!

HA! HA! HA! HA!

- LE MUTUZ!!
 
Lengo kuu la thread hii ni hili hapa.......


@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!:
Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamua kujitoa kugombea Urais 2015, so I told you OUR OPERATION CHAOS is working kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now one more to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili our best interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!

- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015, SO SASA WALE WOTE TUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMA ILIVYO SASA, NINALO BOMU MOJA LA KIONGOZI WAO MMOJA MAARUFU KUTAKA KUMBAKA DEMU MMOJA MAJUU NA KESI IPO MAHAKAMANI NA DOCUMENTS ZIPO, INA MAANA HUYU AKIPEWA KUGOMBEA CHADEMA AKAPATA URAIS HATARUHUSIWA KWENDA HIYO NCHI, SASA TUTAKUWAJE NA RAIS AMBAYE NI LIMITED KWENYE INTERNATINIONAL COMMUNITY? SAAFI SANA MHESHIMIWA MBOWE KWA KUJIPIMA NA KUACHIA NGAZI SASA MSHAURI NA MWENZAKO SLAA AJIPIME!!

KIDUMU CCM!

KIDUMU CHAMA TAWALA!!

HA! HA! HA! HA!

- LE MUTUZ!!

Sijakuelewa mkuu
 
Mkuu Mkono subiri uone. Si umekariri. Hatua zitakazochukuliwa nitakutana na vyombo vya habari. Akili yako ndogo inakutuma kuwa chadema ni Mbowe na Slaa. Lazma uwe taahira kuwaza hivi.
Yamebaki masaa mangapi ujitoe..
 
Last edited by a moderator:
Mkuu usijitie upofu Shambulio dhidi ya Dr Slaa na Josephine nililitekeleza mimi. Na lilikuwa halina tuhuma, lilikua ni jambo binafsi ambalo lilitokea hapa hapa JF juu ya matumizi ya account ya JF ya Slaa. Nakumbuka katika karipio langu kwa Dr slaa nilitaka kujua ukweli wa anyetumia ID yake. Baada ya kugundua pia kuna wakati josephine anaitumia... Kwa pamoja tumlimtaka Josephine atumie ID yake na ya Dr Slaa itumiwe na Dr, unless anaitumia kwa maagizo ya Dr tofauti na awali Josephine alikuwa anaitumia kujibu mipasho ya akina ZeMarcopolo.

Safari hii nimetoa tena ultimatum ya saa 24 kuhakikisha viongozi waandamizi wa chadema wanalitolea tamko hili saga la lema vs zitto. Tunahitaji taarifa za namna viongozi wanavyodeal na matatizo katika chama.

Tunagombana na waajiri wetu kisa chadema, tunagombana na wake zetu na watoto kisa hiki chama, so lazma tukikingie kifua, wapumbavu wawili ama watatu wasiturudishe nyuma.

Kumbe we ni mamluki tu baada ya kusoma huu upuuzi wako,achana na sifa usizozistahili,fanya kazi zako na ujali familia yako kiherehere kitakuponza bure.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu umesema kweli ndugu yangu na mdogo wangu Mhe Lema amekosea kwani Mhe Zito ni kiongozi wake kichama hata kama Mhe Zito anamakosa sio hivyo kumkosoa matokeo yake chama kinasambaratika na watu wanaanza kusema yaleyale ya NCCR,naomba sana viongozi waingilie kati jambo hili tumetumia fedha zetu,muda wetu NK tumechoka maneno ya kitoto kwa mtindo huu MACCM yatabaki madarakani,SASA MNAJENGA AU MNABOMOA?

Wakati Zitto anamshambulia Dr.SLaa hadharani,mchana kweupe hukuja na porojo zako hizi,ni hivi ndugu,yule jasiri na asiyemuogopa mtu yeyete kalianzisha,haitezekani kila tukio baya ndani ya chama nyuma yake yuko Zitto,nilikuwa nampenda sana Zitto but naona sasa hapana,anamatatizo na inawezekana amevumiliwa sana.
 
Sijakuelewa mkuu

Hujaelewa nini, wakati 'boss' wenu (W.J. Malecela) amewaandikia kwenye page yake ya facebook kuwa CCM lengo lenu ni kumfanya Zitto awe mgombea urais kupitia Chadema.
Bado hujaelewa..?? au...??
Soma tena mlivyoandikiwa na 'boss' wenu....!!
 
Mbona umekuwa mdogo ghafla,Hujaelewa nini hapo mbona WILIAM J.S.MALECELA anaeleweka vizuri tu!?si ndo mpango kazi mliopewa lumumba!?tulia mtafukuliwa tu,hakuna atayebaki.

Fisadidagaa huna jipya, naona unaweweseka kisa ninasimamia ukweli.
 
sixgates umeelewa sasa lengo lako la kuanzisha thread hii...??
Umejiona jinsi ulivyojaribu kujificha, lakini umeonekana..??

Sasa endelea kuchangia thread yako hii, huku ukijua lengo lako katika thread yako mwenyewe...!!!!
Ritz na Mamndenyi mpo hapo..??
Mbona leo hamuonekani..???
 
Last edited by a moderator:
Fisadidagaa huna jipya, naona unaweweseka kisa ninasimamia ukweli.

Hakika..!!
Unasimamia ukweli kuwa unatekeleza 'maagizo' kama yanavyoonekana kwenye nukuu ya W.J. Malecela.
Hakika,,,!!!!
 
Hujaelewa nini, wakati 'boss' wenu (W.J. Malecela) amewaandikia kwenye page yake ya facebook kuwa CCM lengo lenu ni kumfanya Zitto awe mgombea urais kupitia Chadema.
Bado hujaelewa..?? au...??
Soma tena mlivyoandikiwa na 'boss' wenu....!!

Mimi sio CCM nisome vizuri mkuu
 
Hakika..!!
Unasimamia ukweli kuwa unatekeleza 'maagizo' kama yanavyoonekana kwenye nukuu ya W.J. Malecela.
Hakika,,,!!!!

Mimi hakuna anaeweza kunituma. W.j.malecela ni looser hana ubavu wa kuniagiza jambo.

Jikite kwenye hoja acha ku attack personalities
 
sixgates umeelewa sasa lengo lako la kuanzisha thread hii...??
Umejiona jinsi ulivyojaribu kujificha, lakini umeonekana..??

Sasa endelea kuchangia thread yako hii, huku ukijua lengo lako katika thread yako mwenyewe...!!!!
Ritz na Mamndenyi mpo hapo..??
Mbona leo hamuonekani..???

Muda unazidi kuyoyomaa mkuu. Mtanielewa tu
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom