Subiri maiti yako hapo ifufuke
Mkuu chadema haijashiba wanachama. Chadema ni chama kikubwa, hata akiondoka Slaa, mbowe, zito bado kitasimama maana watu wamewekeza katika hiki chama. Tunaona mbali tunaogopa watu kukiingiza chama katika liabilities za migogoro. Nielewe nia yangu.
Mimi sikitishi chama, lakini mimi na wanachama wangu tuna nguvu ya kuprotest kama kuna ujinga unaoendelea chamani.
We kiherehere tu,nani anakujua? Kama unafikiri kupata wafuasi ni rahisi jaribu uone aibu utakayoambulia.
Lengo kuu la thread hii ni hili hapa.......
@ LE MUTUZ STRAIGHT TALK!!:
Leo kuna habari njema sana kwetu CCM, kwamba Mwenyekiti wa Chadema ameamua kujitoa kugombea Urais 2015, so I told you OUR OPERATION CHAOS is working kwani our never ending online attacks zimemfanya ajipime, ok now one more to go, next on line ni Dr. Slaa, naye ni lazima ajitoe kugombea ili our best interest Zitto ndiye awe mgombea wao 2015!
- NILIWAAMBIENI HAWA HAWANA MGOMBEA URAIS 2015, SO SASA WALE WOTE TUNAOSHIRIKIANA KUWADHOOFISHA KWA KUTUMIA MITANDAO TUZIDISHE MASHAMBULIZI KAMA ILIVYO SASA, NINALO BOMU MOJA LA KIONGOZI WAO MMOJA MAARUFU KUTAKA KUMBAKA DEMU MMOJA MAJUU NA KESI IPO MAHAKAMANI NA DOCUMENTS ZIPO, INA MAANA HUYU AKIPEWA KUGOMBEA CHADEMA AKAPATA URAIS HATARUHUSIWA KWENDA HIYO NCHI, SASA TUTAKUWAJE NA RAIS AMBAYE NI LIMITED KWENYE INTERNATINIONAL COMMUNITY? SAAFI SANA MHESHIMIWA MBOWE KWA KUJIPIMA NA KUACHIA NGAZI SASA MSHAURI NA MWENZAKO SLAA AJIPIME!!
KIDUMU CCM!
KIDUMU CHAMA TAWALA!!
HA! HA! HA! HA!
- LE MUTUZ!!
Mkuu usijitie upofu Shambulio dhidi ya Dr Slaa na Josephine nililitekeleza mimi. Na lilikuwa halina tuhuma, lilikua ni jambo binafsi ambalo lilitokea hapa hapa JF juu ya matumizi ya account ya JF ya Slaa. Nakumbuka katika karipio langu kwa Dr slaa nilitaka kujua ukweli wa anyetumia ID yake. Baada ya kugundua pia kuna wakati josephine anaitumia... Kwa pamoja tumlimtaka Josephine atumie ID yake na ya Dr Slaa itumiwe na Dr, unless anaitumia kwa maagizo ya Dr tofauti na awali Josephine alikuwa anaitumia kujibu mipasho ya akina ZeMarcopolo.
Safari hii nimetoa tena ultimatum ya saa 24 kuhakikisha viongozi waandamizi wa chadema wanalitolea tamko hili saga la lema vs zitto. Tunahitaji taarifa za namna viongozi wanavyodeal na matatizo katika chama.
Tunagombana na waajiri wetu kisa chadema, tunagombana na wake zetu na watoto kisa hiki chama, so lazma tukikingie kifua, wapumbavu wawili ama watatu wasiturudishe nyuma.
Ndugu yangu umesema kweli ndugu yangu na mdogo wangu Mhe Lema amekosea kwani Mhe Zito ni kiongozi wake kichama hata kama Mhe Zito anamakosa sio hivyo kumkosoa matokeo yake chama kinasambaratika na watu wanaanza kusema yaleyale ya NCCR,naomba sana viongozi waingilie kati jambo hili tumetumia fedha zetu,muda wetu NK tumechoka maneno ya kitoto kwa mtindo huu MACCM yatabaki madarakani,SASA MNAJENGA AU MNABOMOA?
Sijakuelewa mkuu
Sijakuelewa mkuu
Sijakuelewa mkuu
Mbona umekuwa mdogo ghafla,Hujaelewa nini hapo mbona WILIAM J.S.MALECELA anaeleweka vizuri tu!?si ndo mpango kazi mliopewa lumumba!?tulia mtafukuliwa tu,hakuna atayebaki.
Fisadidagaa huna jipya, naona unaweweseka kisa ninasimamia ukweli.
Hujaelewa nini, wakati 'boss' wenu (W.J. Malecela) amewaandikia kwenye page yake ya facebook kuwa CCM lengo lenu ni kumfanya Zitto awe mgombea urais kupitia Chadema.
Bado hujaelewa..?? au...??
Soma tena mlivyoandikiwa na 'boss' wenu....!!
Hakika..!!
Unasimamia ukweli kuwa unatekeleza 'maagizo' kama yanavyoonekana kwenye nukuu ya W.J. Malecela.
Hakika,,,!!!!