Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

Yaani wamejipa kazi za vyombo vya dola......huu ni udikteta namba moja na uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu.

Nawaonea huruma hili likifika kwa Mama Helen Kijo Mbowe na wenzake lazima wataburuzwa mahakamani.....yule mama hana mchezo na uvunjifu wa haki za binadamu.


Kwani hujui huyo mama nae ni chadema tu. Ni kikundi kimoja hicho kwahiyo hawezi kufanya lolote.
 
Upinzani kazi ipo..maturity ya demokrasia, kama ni kweli hakuna justification ya kumnyang'anya laptop yake bila ya idhini yake, kuangalia private msg ni kosa kubwa kisheria, hata hao waliopewa madaraka ya kukabiliana na uhalifu wanahitaji go ahead ya mahakama kwanza (kibali) katika uchunguzi wa namna hii, civil liberties za mtu binafsi haziwezi kuvunjwa kimaguvu maguvu.. ni sawa na yale Hamad Rashid alipopekuwa mazungumzo binafsi ya wakuu wake na kuyatoa hadharani, ni uvunjwaji sheria usiokubalika...Ikiwa hii tamthilia ni kweli na Mhe Lema amehusika na kashfa hii ya kumpokonya laptop ya mhusika, kuifungua na kutazama private msg na articles za mtuhumiwa basi ametenda kosa.. Kama walimponya kinguvu na kumpiga basi sheria ziko wazi, ni sawa na kumuibia mali yake na pia GBH.. hili halikubaliki katika uongozi..
 
Si umeishaambiwa Mbowe anaendesha Chadema kama familia yake, ruzuku ndiyo hizo zinanunua majengo Dubai na South Africa.

Iwe CDM, CCM, CUF, nk. Wote ni wagonjwa wa akili. Tena ni bora kwa hawa wengine kuliko CCM. CCCm ni wakongwe lakini bado siyo chama cha siasa kwa wote. Ni familia zao na wizi tu. Bahati mbaya kuna wanaoshangilia CCM wakati hawajui hata ruzuku inavyotumika. Wakifika Dodoma ndo wanastuka kupewa shati na kofia.

Kama siyo udugu na undugu chama kizee Kama hiki kisingekuwa na musemaji mwenye upeo mdogo kama Nape.
 
Kuandika kwenyewe taabu maskini.. Kwa utumikaji huu hata kondomu ina uafadhali..

du condom inahusikajr tena hapa! jibu hoja, hoja inasema mbowe ni mwizi ww kama unasema siyo toa sababu zako apa kama uwezi piya kando.
 
Yaani hapa chama ndiyo kimekaribi Mwisho. Mwishoni kabisa kabisa kabisa kabisa. Na CCM bado tuna rungu a miwsho. Kaeni hapa hapa, msubiri. Mtaona. Msiwe na haraka
 
Aisee baba ake kwani huyu Mwigamba ni Mchaga Mwenzetu ?
Kama si Mchaga mwenzetu basi acha apigwe tu
 
Kwa nini tunashindwa kujifunza?
Hivi CHADEMA ikifa ina maana ndo CCM itakuwa imepata nafuu?
Tujikumbushe kuhusu CUF na NCCR kila zilipohujumiwa ndio kunatokea kingine kipya na chenye nguvu zaidi.
Ikifa CHADEMA na haya mambo ya gas na mafuta ujue tutakuwa na 'Niger delta yetu" na Al Shabab.
Chadema wanazungumza,wanajulikana wanashiriki kwa hoja,ikfa utatokea upinzani ambao hautakuwa na ofisi!!!!!!!!!!!!
Vyombo vya dola na serikali iliyopo madarakani ipalilie demokrasia ya mazungumzo ikue lkn haya ya kufurahia CHADEMA kufa si ya kututakia mema!!!!!!
... kwnini utabiri chadema ikifa yatatoke ya Niger delta na ya alshababu. Usitabiri kama ya CUF na NCCR? Kweli ww huitakii mema tz kwanini cuf na nccr zipate mrithi chadema kisipate?
 
Mbowe na Samsoni mwigamba mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Arusha wanapigana kwenye hoteli ya Corridor Spring iliyopo karibu na Kibo Palace Arusha. Hii ni baada ya Mwigamba kumtuhumu Mbowe kuendesha chama kiundugu.

Polisi wameshafika kuokoa jahazi

===========

UPDATE - Oktoba 27, 2013

DSC_0094_abc67.JPG
DSC_0098_e0f36.JPG
DSC_0102_25444.JPG


Kutoka Mwananchi:

Mbona hakuna mahala palipoandikwa Mh Mbowe amerushiana Ngumi na mwenyekiti mkoa wa Arusha? Magazeti mnataka kuuza acheni uhuni
 
Siwezi kuwaamini hawa waandishi makanjanja waTz, utashangaa linaloandikwa ni tofauti kabisa na hali halisi!!!!!
 
Kazi ya mwingulu nchemba hiyo anafurahi sana kuona mipango yake inaenda sawa
kumbe unamkubali nh mingulu kwa utendaji wake wa kazi ktk chama na kitaifa hongera kamanda nchemba tuko pomoja na ww m.zimungu akulinde amen
 
ifike hatua siasa zetu tuzibadilishe lakini katika siasa uvumilivu ni kitu cha msingi ndiyo maana mm namuppenda sana dr..slaa, zitto kabwe na wengine wanaotumia busara zaidi katika kuongoza wengine yann mgombane mbele ya mwenyekiti wa chama kwanza ni kumudharilisha mwenyekiti wa chama na chama chenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom