Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

Mwananchi ni gazeti huru sio kama tanzania daima aka udaku na uzandiki!
Mwananchi
si gazeti huru article ya leo na heading ni staged na hii kwa sababu ya mhariri Denis Msaky aka kulishwa sumu bandia huwezi kuweka heading wapigana kavukavu huku hakuna maelezo ya kupigana kavukavu wala hakuna picha kuonyesha wanaopigana kavu kavu
DSC_0094_abc67.JPG
 
CDM ni madekteta.mafisadi,wezi nk Ewe Mola iepushe nchi hii isije angukia ktk mikono ya mashetani hawa wape macho watanzania yakuona owoza wa watu hawa.
 
CDM ni madekteta.mafisadi,wezi nk Ewe Mola iepushe nchi hii isije angukia ktk mikono ya mashetani hawa wape macho watanzania yakuona owoza wa watu hawa.
Mashetani mekundu CCM semeni mumefanya nini kuhusu haya mwenyekiti wenu aliahidi au unabweka tu CCM itatawala milele kuzimu AHADI - ALIITOA AKIWA WAPI...
1.Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa - Nzega, Tabora
2. Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda
- Tanga mjini
3.Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria
- Igunga
4. Kulipa madeni ya chama cha Ushirika mkoa wa Shinyanga
(SHIRECU) - Shinyanga
5. Kumaliza migogoro ya Ardhi nchini
- Dodoma
6.Wakulima kuacha kutumia jembe la mkono
- Dodoma mjini
7.Kuwapatia trekta wakulima
- Kata ya Mrijo, Dodoma
8.Wananchi kutoondolewa kwenye Ranchi ya Misenyi
- Kagera
9.Kujenga Uwanja wa Ndege Misenyi
- Kagera
10.Kupanua Uwanja wa Ndege Bukoba
- Bukoba Mjini
11.Kujenga uwanja wa ndege mkubwa Kigoma
- Kigoma Mjini
12.Mtukula kupatiwa umeme kutoka Uganda
- Kagera
13.Mikoa ya Kagera
, Kigoma, Lindi, Rukwa na Ruvuma kuunganishwa katika gridi ya taifa ya umeme - Kagera
14.Kuimarisha Takukuru kwa miaka mitatu
- Kagera
15.Hukumu kwa waliopatikana na hati ya kuua albino
- Mbeya
16.Kununua meli kubwa kuliko MV Bukoba
- Kagera
17.Kuanzisha benki ndogondogo kwa ajili ya wajasiriamali
18.Serikali kuvisaidia vyama vya ushirika
- Mwanza
19.Kuimarisha usalama Ziwa Victoria na Ziwa Tanganyika kwa kupeleka kikosi maalum chenye vifaa kupambana na wahalifu
- Mwanza
20.Wilaya ya Geita kuwa hadhi ya mkoa Januari mwakani
- Geita
21.Kulinda muungano kwa nguvu zote
- Pemba
22.Kuwajengea nyumba waathirika wa mafuriko Kilosa
- Morogoro
23.Kununua meli mpya kubwa Ziwa Nyasa
- Mbeya mjini
24.Kujenga bandari Kasanga
– Rukwa
25.Kumaliza tatizo la walimu miaka mitano ijayo - Songea
26.Kufufua mgodi wa makaa ya mawe Kiwira
- Mbeya
27.Kuzuia hatari ya kisiwa cha Pangani kuzama
- Tanga
28.Kununua bajaji 400 kwa ajili ya kubeba wajawazito hasa vijijini
- Iringa
29.Kujenga barabara yenye kiwango cha lami kutoka Same mpaka Kisiwani
– Kihurio na kuiunganisha na barabara kuu ya Moshi - Dar es salaam - Same mkoani Kilimanjaro
30.Kumaliza tatizo la maji katika wilaya ya Same - Same Mjini
31.Kuboresha barabara za Igunga
- Tabora
32.Kusambaza walimu 16
,000 katika shule za sekondari zenye upungufu makubwa wa walimu - Kisesa Magu
33.Kununua vyandarua viwili kwa kila kaya
- Mbeya Mjini
34.Kuzipandisha hadhi hospitali maalumu saba nchini kuwa za rufaa ili kuipunguzia mzigo Hospitali ya Taifa ya Muhimbili
(MHN) - Hydom Manyara
35.Kulinda amani nchini kwa kuzuia chokochoko za kidini
, kikabila na kisiasa - Musoma
36.Kulinda haki za walemavu
- Makete
37.Kujenga baabara ya Njombe
- Makete kwa kiwango cha lami,urefu wa kilomita 109 - Iringa mjini
38.Kujenga barabara Musoma
– Mto wa Mbu Arusha - Arusha
39.Kuanzisha jimbo la Ulyankulu- Shinyanga Mjini
40.Kujenga barabara ya lami Manyoni
-Kigoma – Kaliua,Tabora
41.Kukarabati barabara ya Arusha Moshi - Arusha Mjini
42.Kuboresha barabara ya Handeni
, Kondoa, mpaka Singida - Dodoma
43.Kuwafidia wanakijiji ng
’ombe waliopotea wakati wa ukame mwaka 2009 - Longido
44.Vijiji vyote vilivyoko kilomita 15 kutoka kwenye bomba kuu la mradi mkuu wa maji wa Ziwa Victoria - Shinyanga-Kahama kuunganishiwa maji - Shinyanga
45.Tatizo la umeme kufikia kikomo Novemba mwaka huu mkoani Arusha
– Arusha mjini
 
Nani awakabidhi Nchi? utawapa nchi wahuni wewe? wanapigana, hawajui hapa ni bungeni, hapa ni kwenye kikao cha chama, wao ni masumbwi tu!
Ni bora kutwangana makonde kuliko kulindana na kuishi kinafiki.

BTW, kupigana kwao (kama ni kweli) kumekugusa kivipi ndugu?
 
CDM ni madekteta.mafisadi,wezi nk Ewe Mola iepushe nchi hii isije angukia ktk mikono ya mashetani hawa wape macho watanzania yakuona owoza wa watu hawa.

Amen....
 
Wapumbavu wakiona kitu kinafanikiwa lazima waweke doa, hata kama ni saccos ya familia, huoni CCM ndo imetufikisha hapo??? Kwanza ife CCM harafu tutaangnalia huo usaccos unaosema, CDM endeleza mapambano, Kamanda Mbowe & SLAA hakuna kurudi nyuma hata sekunde, vijana wako nyuma yenu kuleni kadri ya matumbo yenu wakati huo huo tusaidieni waTZ kufichua mafsadi na wezi. Tunawakubali fitna za PANYA HAZITISHI PAKA. Kamata panya hao
 
Ivi mh SAID ARFI sio tena makamo mkt mbona simsikii kabisa kutajwa au kashawachoka hawa mbondia na majitu yasio fahamika?
 
... kwnini utabiri chadema ikifa yatatoke ya Niger delta na ya alshababu. Usitabiri kama ya CUF na NCCR? Kweli ww huitakii mema tz kwanini cuf na nccr zipate mrithi chadema kisipate?
Inawezekana kabisa sikueleweka vizuri na yakawa ni makosa ya uandishi ila kwa mtizamo wangu ni kuwa kuna watu ambao hawataki challenge na wanaamini kuwa mpinzani wake akitokomea yeye atapata nafuu.
Uzoefu ni kuwa kila Chama kimoja kikipotea kinaibuka chenye nguvu zaidi lkn tusibweteke kuwa kinapozaliwa kingine kitakuwa na uendeshaji kama wa killichopita.
Naitakia mema mno Tanzania.
 
Mbona sijaona maelezo yoyote yanayomhusu Mbowe kama kichwa cha habari hapo juu?, hii nchi tuna matatizo sana,nadhani ni vizuri kueleza ukweli kuanzia mwanzo hadi mwisho then tuangalie na kuamua wenyewe kasoro iko wapi,
 
Wapumbavu wakiona kitu kinafanikiwa lazima waweke doa, hata kama ni saccos ya familia, huoni CCM ndo imetufikisha hapo??? Kwanza ife CCM harafu tutaangnalia huo usaccos unaosema, CDM endeleza mapambano, Kamanda Mbowe & SLAA hakuna kurudi nyuma hata sekunde, vijana wako nyuma yenu kuleni kadri ya matumbo yenu wakati huo huo tusaidieni waTZ kufichua mafsadi na wezi. Tunawakubali fitna za PANYA HAZITISHI PAKA. Kamata panya hao

kipenda roho hula nyama mbichi khaaa!
 
Ivi mh SAID ARFI sio tena makamo mkt mbona simsikii kabisa kutajwa au kashawachoka hawa mbondia na majitu yasio fahamika?

Atajwe kwa lipi,kivipi,wapi,na nani? na akishatajwa inakuwaje?
 
Cdm ni wakati wa kuimarisha chama acheni watu wa porojo waropoke msibishane nao nyinyi imarisheni chama tayari kwa kuingia ikulu 2015.
 
Ndugu wadau,
Kwa wale wanaoijua CHADEMA tangu kuanzishwa kwake watakubaliana na mimi kuwa Tukio liliotokea kwa samson mwigamba kupigwa na kusingiziwa mambo kibao tena hayana ushahidi si la bahati mbaya lilikuwa limepangwa,kwa kuanzia mwaka 1995 kwenye mkutano mkuu wa CHADEMA wakitafuta mgombea urais , mwenyekiti mtei alivuta fomu na marehemu bob makani naye akavuta fomu, baada ya kura kupigwa na wajumbe Bob alimzidi mzee mtei mara mbili ya kura zilizopigwa , baada ya kuona hivyo , mwenyekiti wa leo wa CHADEMA kwa kipindi hicho akiwa bado na rasta kichwani alichomoa pistol na kupiga risasi hewani na mkutano ukavunjika, bob akiwa kwenye harakati za kutaka kugombea kamati kuu ya dharura iliitishwa na wakamsihi wamuunge mkono MREMA mgombea wa nccr mageuzi na pia mchaga mwenzao
Kama haitoishi hiyo baada ya afya ya mzee mtei kutetereka ilibidi uchaguzi uitishwe na ulikuwa na wagombea wawili Bob makani na Mzee Ndesamburo ambaye ndiye aliyempa pesa ben saanane akasomee uchungaji india na kura zilipopigwa kama kawaida Bob alishinda kwa kishindo, baada ya kuona hivyo wachaga wote na wengine wa kaskazini wakajipanga na kumsusia chama Bob na katibu wake Walid kabouru pamoja na kwamba alimpatia umakamu mwenyekiti DR SLAA na kabla sijaendelea napenda kutoa rai kwa Zitto kabwe anatakiwa awe makini sana na hawa jamaa , atakaposhinda tu uenyekiti wa CHADEMA Taifa wachaga wote na wau wa kaskazini watakisusa chama na ikiwezekana wakaanza kumhujumu asiwe muoga kuwafukuza hata kama waliwahi kuwa na vyeo gani.
Mbowe huyo huyo alitishia kupigana na chacha wangwe na waliwahi kukunjiana ngumi hasa baada ya chacha kuonyesha nia ya kuwa mwenyekiti, Hata hako kajengo cha chadema pale kinondoni kalinunuliwa enzi za Bob , mbowe kazi yake imekuwa ni kukodisha nyumba za Komu yule mkurugenzi wa fedha na uchumi zitumike kamaofisi
Heche na yeye wameshawahi kuzikunja na waitara, ben wa saanane kawahi kupigwa na mnyika na


TUHUMA ZA UKABILA
Tunaposema kuna ukabila CHADEMA hatusmi ili tujifurahishe,muulize mbowe kwanini alishindwa kufanya kazi na kabouru na kwa nini ofisi ya makamu mwenyekiti UFIPA haipo??,misukule isiyojitambua na isiyojibu lolote ambayo wengi wao wana degree za facebook watasema kuwa kabouru alinunuliwa, uliza wakati wa uchaguzi wa 2005 mbowe anagombea urais kwa helcopter, je alifika kigoma???, na mbowe kwa ushahidi wa macho yangu alimpa pesa serukamba kupitia kwa mbunge mmja wa chadema machachari ilimradi tu kaburu ashindwe ubunge
Deo meck alikuwa ni personal secretary wa mbowe, unajuwa waligombana kwa sababu gani ?? na nyumbani kwake alivamiwa mara tatu, kisa ni kuandika kitabu juu ya maisha ya chacha wangwe na kueleza ukweli bila kuficha.
Baada ya chacha Wangwe kufa, Mnyika alikuwa anakaimu ukatibu mkuu na aliulizwa swali na waandishi wa habari" chadema walimjua lini deus mallya??" mnyika alisema yeye hamjui deus mallya wanajuwana walikokuana na chacha wangwe ilhali Mnyika akiwa mkurugenzi wa vijana chadema alimpa safari za nje Mallya zaid ya 3, leo anadai hamjui kuna kitu kinafichwa hapa
Je kafulila,machali na mkosamali kwa nini walifukuzwa?? na pia kumbuka katika madiwani watano waliofukuzwa arusha wachaga wako wangapi??
TUJADILI HILI KISHA NITAENDELEA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom