Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

radio UHURU na habari za CDM wapi na wapi ni sawa na clouds fm kupiga nyimbo za JIDE au SUGU.
 
Ukanda ni dhulma kubwa, tatizo Mwenyekiti wa Arusha si Mtu wa kwao.
 
"Mbowe na Mwigamba wazichapa"?
Na habari yote sijaona simulizi ya huo mpambano kati ya Mbowe na Mwigamba!

Hii nchi tuna tatizo gani hasa??
 
Lingine mukumbuke ZITTO munampaisha wenyewe kwakumshuglikia kila anaemkubali kwa hoja, pili, Chama kila kikizidi kujichimbia kwenye ngazi za chini, ndivyo nguvu ya umiliki wenu WACHAGGA inapungua,na mukiitisha uchaguzi kushney.
 
Pasuaneni sana kwaajili ya madaraka,hapo bado hatujawapa nchi mnapasuana tukiwapa?Ikulu kwa chadema itakuw historia!!hv Lema ana hadhi ya kuingia ikulu hata,mropokaji mkubwa tu huyo
 
Mwigamba angekuwa mchaga asingepigwa kweli nawaambia hawa jamaa kwa madaraka wako tayari kuuwa mtu.
 
Duh hapa atujawakabidhi nchi. Je tukiwakabidhi nchi si ndio watarushiana mabomu kabisa.
 
Hivi majambazi wakubwa nchi hii si ni wachaga tena kutokea Arusha, na changudoa wengi wa pale corner bar ni wachaga??!!sasa kwanini chama cha chadema kisiwe chama cha mademu na majambazi.
 
Asante Mungu kwa kunipa upeo mkubwa, sikuwahi kuvutiwa kujiunga na hili Genge la wahuni liitwalo CHADEMA.
 
Namuonea huruma Samsoni Mwigamba, atafukuzwa chama kwa nini asingekuwa kama kina Mwita Maranya.

JIANDAENIKISAIKOLOJIA
Jiandaeni Kisaikolojia.....maneno ya mzee wa kaya na M/kiti wa CCM Dodoma

CCM itashindwa uchaguzi 2015 isipoacha kula na kugawa rushwa,ikipenya 2015 haitashinda 2020.....maneno ya M/kiti na mkuu wa kaya

Viongozi wa CCM ndio wanaoongoza kwa kugawa na kupokea rushwa "200,000" za aitime.
 
Jamani viongozi na wanachama wa chadema naona sasa mmeanza kulewa madaraka na sifa. Kumbukeni kuwa wananchi wengi wanamatumaini na chama hichi kama ndio mkombozi wao wa kweli. Lakini hebu ona kila siku vurugu na shutuma wenyewe kwa wenyewe. Tafadhali sana hebu fikirieni ilipo NCCR na CUF ambapo wakati fulani vilikuwa ni vyama vyenye nguvu kubwa, lakini leo vipo wapi? Hiyo dhamana ndogo tu mliyopewa na wananchi mnakuwa hivyo, je mkipewa dola itakuwaje. Kumbukeni kwa nguvu mliyonayo kwa sasa mmekuwa kimbilio la watu wengi ambao wengine ni kwa ajili ya tamaa ya uongozi au nimapandikizi ili kuwavuruga kabla ya uchaguzi wa 2015. Mfano mzuri ni watu wa kalba kama kina Shibuda. Nanyie viongozi wa juu punguzeni ufisadi, chama kisiwe kama mali ya ukoo au kabila fulani, wapeni nafasi na wengine. CUF kiliporomoka kwa kashfa moja tu ya udini. Kubalini kukosolewa kwani ndio uongozi, siyo anayejaribu kuwakosoa anaonekana msaliti na kuishia kufukuzwa kama mbwa. Msipojirekebisha nachelea kusema kuwa ikulu tutaisikia tu. Ni mimi mwananchama mwaminifu kutoka mkoani TABORA.
 
Chama cha wachaga hicho........................jamaa anajitajirisha na ruzuku yeye na slaa................. Wezi watupu. Anafanya biashara gani mpaka awe na majumba ...dubai..south africa.........uingereza and nk. Wachaga wakichukua nchi wabongo mmekwisha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom