Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

Ndugu wadau,
Kwa wale wanaoijua CHADEMA tangu kuanzishwa kwake watakubaliana na mimi kuwa Tukio liliotokea kwa samson mwigamba kupigwa na kusingiziwa mambo kibao tena hayana ushahidi si la bahati mbaya lilikuwa limepangwa,kwa kuanzia mwaka 1995 kwenye mkutano mkuu wa CHADEMA wakitafuta mgombea urais , mwenyekiti mtei alivuta fomu na marehemu bob makani naye akavuta fomu, baada ya kura kupigwa na wajumbe Bob alimzidi mzee mtei mara mbili ya kura zilizopigwa , baada ya kuona hivyo , mwenyekiti wa leo wa CHADEMA kwa kipindi hicho akiwa bado na rasta kichwani alichomoa pistol na kupiga risasi hewani na mkutano ukavunjika, bob akiwa kwenye harakati za kutaka kugombea kamati kuu ya dharura iliitishwa na wakamsihi wamuunge mkono MREMA mgombea wa nccr mageuzi na pia mchaga mwenzao
Kama haitoishi hiyo baada ya afya ya mzee mtei kutetereka ilibidi uchaguzi uitishwe na ulikuwa na wagombea wawili Bob makani na Mzee Ndesamburo ambaye ndiye aliyempa pesa ben saanane akasomee uchungaji india na kura zilipopigwa kama kawaida Bob alishinda kwa kishindo, baada ya kuona hivyo wachaga wote na wengine wa kaskazini wakajipanga na kumsusia chama Bob na katibu wake Walid kabouru pamoja na kwamba alimpatia umakamu mwenyekiti DR SLAA na kabla sijaendelea napenda kutoa rai kwa Zitto kabwe anatakiwa awe makini sana na hawa jamaa , atakaposhinda tu uenyekiti wa CHADEMA Taifa wachaga wote na wau wa kaskazini watakisusa chama na ikiwezekana wakaanza kumhujumu asiwe muoga kuwafukuza hata kama waliwahi kuwa na vyeo gani.
Mbowe huyo huyo alitishia kupigana na chacha wangwe na waliwahi kukunjiana ngumi hasa baada ya chacha kuonyesha nia ya kuwa mwenyekiti, Hata hako kajengo cha chadema pale kinondoni kalinunuliwa enzi za Bob , mbowe kazi yake imekuwa ni kukodisha nyumba za Komu yule mkurugenzi wa fedha na uchumi zitumike kamaofisi
Heche na yeye wameshawahi kuzikunja na waitara, ben wa saanane kawahi kupigwa na mnyika na


TUHUMA ZA UKABILA
Tunaposema kuna ukabila CHADEMA hatusmi ili tujifurahishe,muulize mbowe kwanini alishindwa kufanya kazi na kabouru na kwa nini ofisi ya makamu mwenyekiti UFIPA haipo??,misukule isiyojitambua na isiyojibu lolote ambayo wengi wao wana degree za facebook watasema kuwa kabouru alinunuliwa, uliza wakati wa uchaguzi wa 2005 mbowe anagombea urais kwa helcopter, je alifika kigoma???, na mbowe kwa ushahidi wa macho yangu alimpa pesa serukamba kupitia kwa mbunge mmja wa chadema machachari ilimradi tu kaburu ashindwe ubunge
Deo meck alikuwa ni personal secretary wa mbowe, unajuwa waligombana kwa sababu gani ?? na nyumbani kwake alivamiwa mara tatu, kisa ni kuandika kitabu juu ya maisha ya chacha wangwe na kueleza ukweli bila kuficha.
Baada ya chacha Wangwe kufa, Mnyika alikuwa anakaimu ukatibu mkuu na aliulizwa swali na waandishi wa habari" chadema walimjua lini deus mallya??" mnyika alisema yeye hamjui deus mallya wanajuwana walikokuana na chacha wangwe ilhali Mnyika akiwa mkurugenzi wa vijana chadema alimpa safari za nje Mallya zaid ya 3, leo anadai hamjui kuna kitu kinafichwa hapa
Je kafulila,machali na mkosamali kwa nini walifukuzwa?? na pia kumbuka katika madiwani watano waliofukuzwa arusha wachaga wako wangapi??
TUJADILI HILI KISHA NITAENDELEA

Utabakia kuwa Kenge tu ila this time Kenge jike ambalo hata halina uzazi .
 
ningekuwa sikujui wewe Lemunyu ningeshangaa baut wewe si unaishi kwa hisani ya wau wa kaskazini
 
Hata mazishi ya mzee Bob , wachaga woe hawakuchangia na yaligharimiwa na BOT, ukabila chadema upo?? wewe jiulize ben saanane kasoma uchungaji imekuwaje leo eti ni msaidizi wa slaa , kisa mkatoliki mwenzie
 
Historia hiyo haiwezi kufutika kwa chama cha Magamba, yaliyompata yule kada wao ambaye alikuwa na mtazamo tofauti alianguka na kufa mbele ya kikao, na hadi leo hii hakuna jibu sahihi ni kitu gani hasa kilichotokea.
 
Wauwaji wakubwa ni CCM na vyombo vya serikali yake. orodha ni ndefu sana!
 
CCM ina historia mbaya sana ktk miaka yao 50 ya utawala -- sasa basi! Nashangaa kwa nini ICC haitupii machi nchi hii.
 
Kosa lake kubwa lilikuwa ni kutamka, "CCM imekosa muelekeo" basi kwa kauli hii manyang'au/magaidi ndani ya chama cha magaidi wakaamua kuchukua uhai wake.
 
Naona sasa wanaCDM twaanza kufunguka macho. CDM ufisadi na ukabila vyota mizizi minene hatari.
 
Utabakia kuwa Kenge tu ila this time Kenge jike ambalo hata halina uzazi .

Naipenda sana CHADEMA ila ninakatishwa tamaa na uongozi wake wa sasa.Najua kuna baadhi ya vijana wa CHADEMA watakuja kuukejeli UZI huu kama kawaida yao wakidhani wanakisaidia CHADEMA kumbe wanalea kansa ya kuisambaratisha CHADEMA huko mbeleni.Mwanzoni hata mimi niliamini kwamba madai ya UKANDA na UKABILA dhidi ya Uongozi wa juu wa CHADEMA zilikuwa ni propaganda chafu tu za CCM ili kuihujumu CHADEMA kama ilivyofanya kwa CUF,Lakini kama alivyo Curious Mind yeyote yule akisikia jambo flani lazima alifuatilie.Safu ya Uongozi wa juu wa Chama haukunisumbua sana ila kitendo cha CHADEMA kumtafuta mrithi wa Rejia Mtema kutoka Kaskazini badala ya kuwapatia WanaKilombero mrithi mwingine kiliniuma lakini nikapuuza.Nilishtuka pale CHADEMA walipokiuka kanuni kumpitisha Komu kugombea Ubunge wa Afrika Mashariki bila kumshindanisha na wengine walioomba kukiwakilisha Chama hapo ndio nilianza kuushtukia mchezo mchafu.
 
Hata mazishi ya mzee Bob , wachaga woe hawakuchangia na yaligharimiwa na BOT, ukabila chadema upo?? wewe jiulize ben saanane kasoma uchungaji imekuwaje leo eti ni msaidizi wa slaa , kisa mkatoliki mwenzie
Kumbe we jamaa mdini sana,huna hata aibu eti mkatoliki...
 
Inawezekana kabisa sikueleweka vizuri na yakawa ni makosa ya uandishi ila kwa mtizamo wangu ni kuwa kuna watu ambao hawataki challenge na wanaamini kuwa mpinzani wake akitokomea yeye atapata nafuu.
Uzoefu ni kuwa kila Chama kimoja kikipotea kinaibuka chenye nguvu zaidi lkn tusibweteke kuwa kinapozaliwa kingine kitakuwa na uendeshaji kama wa killichopita.
Naitakia mema mno Tanzania.

Nadhani umegunduwa kuwa ulicho andika mwanzo hukupaswa kukiandika huo ndio ustaarabu hongera sana. Lakini pia ujue hakuna chama kinacho kubali chalege za chama kingine lakini chalege ni lazima zijitokeze je kuzikabili chalege ni kwa kupigana na kunyanganyana simu na laptop. Wp mzee mtei wapi mzee ndesa wp mzee Arfi au nyie hamuheshimu hawa wazee?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom