Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

Maskini Mwigamba...ameamua kujipoteza mwenyewe kwenye ulingo wa siasa.

Halafu mwenzao zana za kilimo mjanja kweli. Anawasakizia yakiwafika shingoni anapiga U-turn. Wanaumia peke yao kama ilivyokuwa kwa masalia. Nashangaa kwa nini watu hawajifunzi.
 
Halafu ukisoma hiyo habari vizuri, chanzo cha ugomvi wote ni LEMA, sijawahi kuona Mbunge aliyekosa busara kama huyu, Bora hata SUGU!
Lema wote tunajua aliko kuwa kwenye ile taluma yake ya kushika silaha kwa hiyo haya ni matunda yake.
 
Sio lazima na sio haki! Ila usipotii amri bila shuruti basi utashurutishwa! Hata polisi wanaijua hii dhana vizuri tu!

Mwigamba kuna mambo mengi alikataa moja wapo kutoa hiyo laptop yake, kutoa maneno ya kejeli na matusi, kukataa kutoka nje kwa amri ya mwenyekiti...ulitaraji nn km sio kutumia nguvu kumtoa nje? Na pia yeye ndo alikua wa kwanza kurusha ngumi, ulitarajia nn kitatokea? Think tank!

Chadomo bana....juzi tu mlikuwa mnalia na waziri mkubwa kwa kauli yake ya WAKIKAIDI WADUNDWE....lakini linapokuja upande wenu ni halali....
 
Angalia Avatar yake halafu uangalie na maneno yake anayoandika ndio utajua kwamba kavurugwa ile mbaya!kavurugwa huyo kaa nae mbali!.
Ni kweli mkuu kavugwa kweli make sikutegemea mtu kuongea ubwabwa kama huu.
 
Mlishindwa vipi kutulia kwa muda....kuita vyombo vya dola kumchukua, badala ya kuanza kumtandika migumi.........
 
Chadomo bana....juzi tu mlikuwa mnalia na waziri mkubwa kwa kauli yake ya WAKIKAIDI WADUNDWE....lakini linapokuja upande wenu ni halali....


a.k.a wazee wa matukio,hawa wanawekwa na matukio hapa nchini!
 
wengi wafuasi wa chadema ni irrational...
wanapenda kupitiliza hawataki kuona madhaifu yao ila kwa kunyooshea vidole vyama vingine hawajambo..
muungwana akivuliwa nguo uchutama..
 
Ni kweli mkuu kavugwa kweli make sikutegemea mtu kuongea ubwabwa kama huu.

Siku zote watu wa dizaini ya HakiKwanza wakitoka kuvurugwa huko huwa wanakuwa wamechanganyikia,huwa inawachukua nusu saa hadi saa moja kurudia ile hali yao ya kwaida!tehe,tehe,tehe,tehe,tehe,teh3!
 
Eti kakichafua chama........sasa ndio aambulie ngumi na kufukuzwa.

Kama umechafuliwa si unatafuta njia za kuonyesha kuwa ukweli ni huu na sio anayosema huyo.

Kwa vitisho na ubabe wa aina hii, kweli kutakuwa na uhuru wa kujieleza ndani ya hii saccos inayoota siku moja kuongoza watanzania ?

Hivi nyie Chadomo si ndio mnaongoza kwa kuchafua wengine......sasa mnaona wenzenu wanavyojisikia pale mnavyopanda majukwaani au kuweka kwenye mitandao ya kijamii mambo yanayochafua wengine ?

Kina Lema, Mnyika, Mdee, Sugu wanavyoropoka kuchafua wengine mnachekeleaaaaa, ila linapohamia kwenu mtu anadundwa na kufukuzwa.

Ushauri wa bure....unapohudhuria mkutano ili hali wewe sio wa "north zone" na una mawazo tofauti na ya "zidumu fikra za m/kiti" ingia umejihami....walivyo wengi wakikuchangia.....ukitolewa hapo ni moja kwa moja MOI.
 
Hicho kitendo cha kumnyanganya laptop yake na kusoma mawasiliano yake ni kosa kubwa sana, hilo pekee linatosha kuwapeleka kwa segerea.
Harafu wanaongea kwa mbwebwe kwamba waliingilia mawasiliano yake bila hata haya, yani viongozi hawa ndo mnategemea kuongozwa nao. Kwa heri.
 
Eti kakichafua chama........sasa ndio aambulie ngumi na kufukuzwa.

Kama umechafuliwa si unatafuta njia za kuonyesha kuwa ukweli ni huu na sio anayosema huyo.

Kwa vitisho na ubabe wa aina hii, kweli kutakuwa na uhuru wa kujieleza ndani ya hii saccos inayoota siku moja kuongoza watanzania ?

Hivi nyie Chadomo si ndio mnaongoza kwa kuchafua wengine......sasa mnaona wenzenu wanavyojisikia pale mnavyopanda majukwaani au kuweka kwenye mitandao ya kijamii mambo yanayochafua wengine ?

Kina Lema, Mnyika, Mdee, Sugu wanavyoropoka kuchafua wengine mnachekeleaaaaa, ila linapohamia kwenu mtu anadundwa na kufukuzwa.

Ushauri wa bure....unapohudhuria mkutano ili hali wewe sio wa "north zone" na una mawazo tofauti na ya "zidumu fikra za m/kiti" ingia umejihami....walivyo wengi wakikuchangia.....ukitolewa hapo ni moja kwa moja MOI.

Huu ni ushahidi tosha kuwa CHADEMA ni ya kukaa nayo mbali! sio watu wa maneno yao. wanawadanganya wafuasi wao kuwa dhambi kubwa kuliko zote ni uoga, lakini kikinuka wao ndio wa kwanza kukimbia.
 
Chadema imeanza kuchimba kaburi 2015 wapiga kura tunaizika kabisa.
 
Hicho kitendo cha kumnyanganya laptop yake na kusoma mawasiliano yake ni kosa kubwa sana, hilo pekee linatosha kuwapeleka kwa segerea.
Harafu wanaongea kwa mbwebwe kwamba waliingilia mawasiliano yake bila hata haya, yani viongozi hawa ndo mnategemea kuongozwa nao. Kwa heri.

Yaani wamejipa kazi za vyombo vya dola......huu ni udikteta namba moja na uvunjifu mkubwa wa haki za binadamu.

Nawaonea huruma hili likifika kwa Mama Helen Kijo Mbowe na wenzake lazima wataburuzwa mahakamani.....yule mama hana mchezo na uvunjifu wa haki za binadamu.
 
Akitangaza uamuzi huo mbele ya waandishi wa habari jijini Arusha jana, Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Israel Natse alibainisha kuwa uamuzi wa kumsimamisha Mwigamba katika nyadhifa zote za uongozi ndani ya chama ulifikiwa na kikao cha Baraza la Uongozi wa Kanda ya Kaskazini kilichokutana juzi.

Nahisi harufu ya mabishano na mgogoro wa kikatiba...
 
Hii Saccos ya Wachaga ina mwisho wake tu.
Kwa nini tunashindwa kujifunza?
Hivi CHADEMA ikifa ina maana ndo CCM itakuwa imepata nafuu?
Tujikumbushe kuhusu CUF na NCCR kila zilipohujumiwa ndio kunatokea kingine kipya na chenye nguvu zaidi.
Ikifa CHADEMA na haya mambo ya gas na mafuta ujue tutakuwa na 'Niger delta yetu" na Al Shabab.
Chadema wanazungumza,wanajulikana wanashiriki kwa hoja,ikfa utatokea upinzani ambao hautakuwa na ofisi!!!!!!!!!!!!
Vyombo vya dola na serikali iliyopo madarakani ipalilie demokrasia ya mazungumzo ikue lkn haya ya kufurahia CHADEMA kufa si ya kututakia mema!!!!!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom