Safety last
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 4,242
- 1,429
kengedume daha kama ni propaganda mkuu umefail mbaya
jibu hayo ya kenge alio yaeleza yakanushe ndio tupime nikenge dume au jike kama unavyo daiUtabakia kuwa Kenge tu ila this time Kenge jike ambalo hata halina uzazi .
Nakubaliana nawe lakini pia ni lazima tutofautishe chama kilichoshika dola na ambacho hakina dola.Chenye dola vyombo vya usalama vinatumika na ndio maana ni vigumu haya kutokea lkn naamini kwa CCM kingekuwa nje yangetokea makubwa zaidi ya haya hasa kwa kuwa kina ukwasi na kinakumbatia rushwa,isingekuwa kupokonya simu ingekuwa ni kuwasha shaba!!!!!!!!!!!!!!!Nadhani umegunduwa kuwa ulicho andika mwanzo hukupaswa kukiandika huo ndio ustaarabu hongera sana. Lakini pia ujue hakuna chama kinacho kubali chalege za chama kingine lakini chalege ni lazima zijitokeze je kuzikabili chalege ni kwa kupigana na kunyanganyana simu na laptop. Wp mzee mtei wapi mzee ndesa wp mzee Arfi au nyie hamuheshimu hawa wazee?
Nakubaliana nawe lakini pia ni lazima tutofautishe chama kilichoshika dola na ambacho hakina dola.Chenye dola vyombo vya usalama vinatumika na ndio maana ni vigumu haya kutokea lkn naamini kwa CCM kingekuwa nje yangetokea makubwa zaidi ya haya hasa kwa kuwa kina ukwasi na kinakumbatia rushwa,isingekuwa kupokonya simu ingekuwa ni kuwasha shaba!!!!!!!!!!!!!!!
mm naamini ccm inawasaliti wengi kuliko chama chochote cha siasa hapa tz na naamini usaliti huo ndio ulioipa cdm wabunge wengi na naamini cdm wamepata idadi kubwa ya wabunge sikwakuwa na sera nzuri sana au kuwa na viongozi wazuri sana hapana ni kwa usaliti wa wana ccm wenyewe lakini sijawahi kusikia kiongozi kanyanganya cm au laptop au kapigwa ktk kikao ambacho kinaongozwa na m/k taifaNakubaliana nawe lakini pia ni lazima tutofautishe chama kilichoshika dola na ambacho hakina dola.Chenye dola vyombo vya usalama vinatumika na ndio maana ni vigumu haya kutokea lkn naamini kwa CCM kingekuwa nje yangetokea makubwa zaidi ya haya hasa kwa kuwa kina ukwasi na kinakumbatia rushwa,isingekuwa kupokonya simu ingekuwa ni kuwasha shaba!!!!!!!!!!!!!!!
mbona kicheko?Hahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Kawaida hata wabunge uganda walitwangana,hko Kenya usiseme kabisa,spika wetu alimtandika mtu fulani hadi kuzimia hadi kumuonea huruma wakampa ukuu wa wilayaChadema kupigana ni jambo la kawaida kabisa, hiyo ipo kwenye damu.
hawaishi vituko hawaChadema kupigana ni jambo la kawaida kabisa, hiyo ipo kwenye damu.
Kuna tatizo kubwa sana ndani ya hicho chama.hawaishi vituko hawa