Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

Duh hapa atujawakabidhi nchi. Je tukiwakabidhi nchi si ndio watarushiana mabomu kabisa.

Nani awakabidhi Nchi? utawapa nchi wahuni wewe? wanapigana, hawajui hapa ni bungeni, hapa ni kwenye kikao cha chama, wao ni masumbwi tu!
 
Ndiyo maana zito haendi kwenye vikao vyao kumbe anajua kama hutoki kule kunakipigo.

Halafu ukisoma hiyo habari vizuri, chanzo cha ugomvi wote ni LEMA, sijawahi kuona Mbunge aliyekosa busara kama huyu, Bora hata SUGU!
 
"Mbowe na Mwigamba wazichapa"?
Na habari yote sijaona simulizi ya huo mpambano kati ya Mbowe na Mwigamba!

Hii nchi tuna tatizo gani hasa??
Ugomvi wa Mbowe na Mwigamba ulitokea toka majuzi na ni kweli na hii habari ililetwa mapema humu JF, sasa tunakushangaa unailaumu nchi.
 
Namuonea huruma Samsoni Mwigamba, atafukuzwa chama kwa nini asingekuwa kama kina Mwita Maranya.

Za mwizi Arobaini,mlikuwa munanufaika naye siyo! na bado wako wengine muda si mrefu nao itakula kwao ni suala la Timing tu!
 
Mzimu wa chacha wangwe utawaandama mpaka mtakapoingia kaburini na nyinyi.
 
Za mwizi Arobaini,mlikuwa munanufaika naye siyo! na bado wako wengine muda si mrefu nao itakula kwao ni suala la Timing tu!
Hivi uchaguzi uchaguzi wa Chadema lini au ndiyo auna kikomo.
 
Maskini chadema, where are we going! Chadema walianza vizuri lakini naona tuendako ni giza!
 

weka picha
2015 wabunge watakuwa wengi sana wa chadema, hata mimi ni chadema damu damu, ila URAISI TUMWACHIE EDWARD LOWASSA, HATA KAMA CCM WATAMTEMA ATAPEWA URAISI KWA KUPITIA MGOMBEA BINAFSI.
SISI CHADEMA URAISI BADO KIDOGO, ILA CCM WATAKUWA KAMA WAPINZANI KWENYE BUNGE LA 2016
 
Magamba mnatiririka kaa mrenda humu komaeni buku saba si haba
 
Naulizia chanzo cha taarifa mkuu. Hata kama kuna madai hayo kupigana ni kinyume na katiba,taratibu na kanuni za chama. Upo utaratibu wa kuwasilisha malalamiko,hili halitakubalika na lazima nidhamu ichukue mkondo wake.


Wewe lazima utakuwa umevurugwa na kuvurugika vibaya,na kama sio yale matunda yanayoitwa NJEMU! yatakuwa yamekuharibu vibaya!
 
Hivi uchaguzi uchaguzi wa Chadema lini au ndiyo auna kikomo.

Taarifa za kijasusi zinaeleza kuwa Jamaa yenu /zenu wameshindwa kutunza siri ya namna gani mlikuwa mumepanga kuvuruga na kuingiza mamluki kwenye Uchaguzi wa CDM,hivyo mkajipange sawa kwanza na kwa bahati mbaya CDm wameanza kusafisha Nyumba kwanza Kabla ya Uchaguzi.

Nawashauri Lumumba wasitishe kutoa pesa maana zitaliwa Bure!
 
Magamba mnatiririka kaa mrenda humu komaeni buku saba si haba


Tatizo umevurugwa mpaka umechanganyikiwa yaani hata huoni,huambiliki na walq hushikiki!!,yani wenzakomwnaonewa kwa kudai haki halafu wewe unaingiza mambo ya buku saba!unajuq watu ambqo hawajajitambua kama wewe ni majanga makubwa sana kwa nchi,hivi kama kaka zako wakina Mwita Maranya wanaona kuna tatizo mpaka wanaanzisha post humu ndani wewe ka kinanihiiiiiiiiii tu unaleta ujinga?!
 
Taarifa za kijasusi zinaeleza kuwa Jamaa yenu /zenu wameshindwa kutunza siri ya namna gani mlikuwa mumepanga kuvuruga na kuingiza mamluki kwenye Uchaguzi wa CDM,hivyo mkajipange sawa kwanza na kwa bahati mbaya CDm wameanza kusafisha Nyumba kwanza Kabla ya Uchaguzi.

Nawashauri Lumumba wasitishe kutoa pesa maana zitaliwa Bure!
Teh teh teh! Kwa hiyo Chadema hawawezi kufanya uchaguzi kwa kuigopa CCM si ulisema mnaanza na Mungu kulikoni tena.
 
Si umeishaambiwa Mbowe anaendesha Chadema kama familia yake, ruzuku ndiyo hizo zinanunua majengo Dubai na South Africa.

Wew nshakuambia unawaza kwa kutumia ------....maamae
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom