Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,264
- 43,417
Mods wanaingiaje kwenye ugomvi wa Mbowe na Mwigama?mods fanyeni kazi yenu
Mods wanaingiaje kwenye ugomvi wa Mbowe na Mwigama?mods fanyeni kazi yenu
kuna mengi tutayasikia mwaka huu.
Si umeishaambiwa Mbowe anaendesha Chadema kama familia yake, ruzuku ndiyo hizo zinanunua majengo Dubai na South Africa.
Weka Source na picha.
Nashangaa wanao bisha sijui wanabisha nini. Haya lazima yangetokea baada ya ile post ya wito kwa wanachadema...
Ninvyoifahamu CHADEMA huyo adhabu yake inaweza kuwa "MAUTI"
Nimesikia taarifa ya Habari ya Radio UHURU kuwa Polisi wamedhibitisha kumshikilia ndugu MWIGAMBA kwa kosa la kumpiga Ngumi Mh.Mbowe. Kama kuna mwenye taarifa please naomba atuzibitishie hilo