Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

Mbowe, Mwigamba watwangana ngumi Arusha

Nimesikia taarifa ya Habari ya Radio UHURU kuwa Polisi wamedhibitisha kumshikilia ndugu MWIGAMBA kwa kosa la kumpiga Ngumi Mh.Mbowe. Kama kuna mwenye taarifa please naomba atuzibitishie hilo

nchi hii ina vyombo vingi vya habari inakuaje uhuru pekee ndiyo wawe na taarifa
 
hoja imetoka chooni /msalani.
yan jina lako linaonesha matendo yako
 
Nimesikia taarifa ya Habari ya Radio UHURU kuwa Polisi wamedhibitisha kumshikilia ndugu MWIGAMBA kwa kosa la kumpiga Ngumi Mh.Mbowe. Kama kuna mwenye taarifa please naomba atuzibitishie hilo

kesho utamwona akipokelewa ccccccccm kwa mbwembwe s;;;;; subirini hiyo ni lululu ya Lumumba kina mtela shonaza
 
Hiyo ngumi ilikua ya jichoni ama mdomoni?? kwahiyo Chairman kavimba jicho??
 
siku hizi ID zimekua nyng sana,ninachohis kuna watu wanafungua account zaid ya moja na lengo lao hasa ni kuiharibu JF, hii habari nasubiri nisikie uhakika wake.VIva cdm
 
Hata watoto na baba hugombana lakini ujenzi wa nyumba huendelea
 
Tiiiiiiiiii!!!! du ile miwani ilisalimika kweli?
 
siku hizi ID zimekua nyng sana,ninachohis kuna watu wanafungua account zaid ya moja na lengo lao hasa ni kuiharibu JF, hii habari nasubiri nisikie uhakika wake.VIva cdm
Habari hiyo inatia shaka ukweli wake,maana source pekee iliyotoa ni radio ya magamba,Uhuru FM!
 
Na bado vp ametoka ngeu? Red guard walikuwa wapi?

Safi sana km kweli maana amezidi.
 
redio uhuru iko nchi gani ? Halafu ujinga wenu wa kuleta habari za cdm bila ushahidi humu bado kidogo sana zitawatokea puani !
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom