jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,322
Ili "my take" yako iwe na mashiko tutajie huo msaada alioutoa masha kwa chadema.Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema aliyekuwa mwanachama wao ndugu Masha hakuwahi kuwa na msaada wowote ndani ya chama chao tokea alipojiunga akitokea CCM.
Chanzo: Gazeti la Nipashe!
My take:
"Sizitaki mbichi hizi", Sungura akagumia