Mbowe kuanza Ziara Mwanza Tarehe 14 Desemba!

Mbowe kuanza Ziara Mwanza Tarehe 14 Desemba!

tunajua kabisa kuwa mbowe ni mtu asiyetumia akili katika maamzi yake,kipindi katumia helikopita kwenye kampeni watu walikuwa wanajaa walivyokuja kuhesabu kura ,ikaonekana yaani kama hakugombea kabisa!! kwani watu wanamchukulia kama komedi tu yaani,unajua mtu mwenye darasa la saba kuongoza chama kama chadema ,mtu mwenye akili ukifikiria haiji akilini'''' never ague with stupid people ,,,,they will drug you down to their level and then beat you with experience '''
kama chama makini lkn mbowe sio makini kupiga kelele kila mtu anaweza!! so what mbowe anajua nini fikiria ukimpa urais yule si afadhali magamba waimalize.
 
tunajua kabisa kuwa mbowe ni mtu asiyetumia akili katika maamzi yake,kipindi katumia helikopita kwenye kampeni watu walikuwa wanajaa walivyokuja kuhesabu kura ,ikaonekana yaani kama hakugombea kabisa!! kwani watu wanamchukulia kama komedi tu yaani,unajua mtu mwenye darasa la saba kuongoza chama kama chadema ,mtu mwenye akili ukifikiria haiji akilini'''' never ague with stupid people ,,,,they will drug you down to their level and then beat you with experience '''
kama chama makini lkn mbowe sio makini kupiga kelele kila mtu anaweza!! so what mbowe anajua nini fikiria ukimpa urais yule si afadhali magamba waimalize.

Pole sana...Umeandika kama changudo. pori aliyekosa soko.....

Utaisoma namba ya Chadema shwain wewe..
 
“Sasa unaachaje kumsikiliza huyu na ukamsikiliza zaidi mtu ambaye hana sifa za kimageuzi katika ngazi ya kitaifa? Wanaozua tuhuma dhidi ya wenzao hawana hata miaka mitano ndani ya chama?
“Labda nikupe mfano mzuri. Hivi unategemea leo, CCM kwa mfano, eti akina Richard Tambwe Hizza, waanzishe mkakati wa kumng’oa kwenye chama mtu kama Kingunge Ngombale Mwiru kwa madai ni msaliti? Haya mambo yako CHADEMA tu,” alisema mwanasiasa huyo
 
Mkuu naona umeamua kuwa na akili kama msukule. Ukombozi wa nini?



Huna haja kutoa matusi, muda ukifika utajua ukombozi wa nini na kati ya mimi na wewe nani msukule.

Nasikitika sana ninapoona kijana wa kiTanzania, akihadaiwa kwa rushwa na kuuza utu wake, nasikitika kuona kijana mwenye nguvu akihongwa fulana na kofia ili aishabikie na kuichagua CCM,

Nasikitika juu ya elimu mbovu itolewayo sasa na serikali yetu, ambayo haitoi tumaini kwa mTanzania zaidi inafanya waTanzania waendelee kudharaulika mbele ya mataifa

Nasikitika juu ya ardhi yetu iliyojaa rasilimali nyingi zisizotusaidia zaidi ya kututeketeza na kutufukia huku zikimnufaisha mzungu ambaye naye Mungu alimbariki kuwa na ardhi yake, ila viongozi wetu wameona sisi hatufai kumiliki

Nasikitika juu ya mengi hasa vijana wenzangu nikiona wanateketea juu ya madawa ya kulevya na viongozi ambao tumewaweka wakishiriki kutusambazia madawa ya kulevya

Zaidi inaniumiza nafsi yangu sababu hii ni nchi yangu na kama mTanganyika niliyezaliwa Shinyanga, ninawajibu kupambana kwa njia yeyote kuhakikisha ndugu zangu watanzania/ waTanganyika wanaelimika juu ya nchi yao

kwa sehemu yangu ndogo nihakikishe nimefanya kitu kusaidia juu ukombozi wa nchi yangu

Nimejiunga Chadema nikiamini na naendelea kuamini kwamba ndio sehemu pekee na ya uhakika nitakapo timiza ndoto zangu za Tanzania mpya yenye utawala bora

Mimi ni mzazi, kama mzazi nafikiria pia juu ya watoto wangu wasiikute hii hali iliyopo na zaidi nataka wanangu waipende nchi yao

Mimi na wewe nani Msukule????
 
tunajua kabisa kuwa mbowe ni mtu asiyetumia akili katika maamzi yake,kipindi katumia helikopita kwenye kampeni watu walikuwa wanajaa walivyokuja kuhesabu kura ,ikaonekana yaani kama hakugombea kabisa!! kwani watu wanamchukulia kama komedi tu yaani,unajua mtu mwenye darasa la saba kuongoza chama kama chadema ,mtu mwenye akili ukifikiria haiji akilini'''' never ague with stupid people ,,,,they will drug you down to their level and then beat you with experience '''
kama chama makini lkn mbowe sio makini kupiga kelele kila mtu anaweza!! so what mbowe anajua nini fikiria ukimpa urais yule si afadhali magamba waimalize.

Umekopesha akili lumumba fc ndo maana umekuwa bweeege! mazingira ya wakati huo na sasa ni tofauti sana,sababu mojawapo ni kuwa watu wengi hasa vijana walikuwa hawajiandikishi katika daftari la kudumu tofauti na mwamko uliopo sasa.endeleeni kuota mkifananisha mazingira ya sasa na yale ya zamani!
 
GO MBOWE!!! viva chama makini chadema

Chama chenye mwenyekiti kilaza, shule nehi.
Chama chenye mwenyekiti mwenye cassino
Mburula kishule ana point gani za kuongea na wasomi?
Jamani mwambie aende shule au basi aongee na king'amuzi cha ting wamtunuku kama mrema.
 
Mbowe kutua Mwanza kati ya decemba 14 au 15 kwenda kutuliza munkali wa wanachadema,mbowe anategema kufanya Mikutano ya ndani na Mikutano ya hadhara kuzungumza na wanachadema kwa kile kinachoitwa TAMKO LA ONYO KALI KWA VIONGOZI WA CHADEMA KUKANYAGA ARIDHI YA MWANZA.

Mbowe analazimika kwenda Mwanza ilikuzungumza na Wanachadema kuwa Chadema haipombali na Zitto,Zitto amesimamishwa kwa muda tu,Mengine yanayotokea yasikigawe chama.

Mwenyekiti wa CHADEMA mwanza wamesema,CHADEMA FAMILY,CHADEMA KASKAZINI,CHADEMA-MTEI,CHADEMA NCCR,CHADEMA MBOWE NA SLAA,CHADEMA IMEKUFA ni maneneo yanayokatisha tamaa.Viongozi wakubwa wajitokeze kuzungumzia hali hii,Wanapata shida sana wanapozungumza na watu,wanapoingia mitandano na kusikia maneno hayo yanayo wavunja Moyo kuelekea mwaka 2015.

Mwanachadema Mmoja(wakike) akihojiwa na Channel Ten anasema,CCM wanaonekana kujipanga nyakati hizi,Tazama mitandaoni na Ziara za Kinana,ni wazi Viongozi wetu wanatakiwa waje wazungumze na wananchi,Chama kimepatwa na sintofahamu kwa sasa nguvu inahitajika kuzuia chama kisifike kule kinakoelekea sasa.

Kutokana na Mtikisiko mkubwa na Mpasuko ndani ya chadema,Mbowe analazimika sasa kuondoka kwenye kiti chake na kwenda kujaribu kuziba mpatuso ili chama kisipatwe na dhoruba kaili zaidi kuelekea uchaguzi wa ndani,uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu.

CHANZO;CHANNEL 10 habari saaa Nne na Nusu usiku wa Tar.9/12/2013
 
Hon Mbowe leads a Party that is a government in waiting. He went there just to assess how public funds are mis uses as many patients in Muhimbili are sharing a bed and many others are sleeping on the floor.
 
Lol huijui Mwanza! Mwanza hakuna mpasuku acha umbeya. Muulize diwani wako Matata atakupa mziki wa Mwanza.
 
Wewe ni mwongo kupindukia na umetunga sana story kwanza huyo binti hajayasema kama wewe unavyosema hapa na umbea kwani hata mie nimemwona na pili hajaongea zaidi ya maneno 5,sasa hayo yote umeyatoa wapi wewe? lakini pia vijana wa Sauti hawajasema kuna mpasuko bali wanasema wanaojidai kutoa matamko watashughurikiwa kwa misingi ya chama

Usiongee kama uko chooni unakandamizwa.
 
Wewe ni mwongo kupindukia na umetunga sana story kwanza huyo binti hajayasema kama wewe unavyosema hapa na umbea kwani hata mie nimemwona na pili hajaongea zaidi ya maneno 5,sasa hayo yote umeyatoa wapi wewe? lakini pia vijana wa Sauti hawajasema kuna mpasuko bali wanasema wanaojidai kutoa matamko watashughurikiwa kwa misingi ya chama

Usiongee kama uko chooni unakandamizwa.

mbona povu linakutoka huwezi kuchangia kwa busara? Mpaka utukane? Hili sio jukwaa la wauni. Watu kama nyinyi ndio mnashusha hadhi ya jf. Kama una hasira nenda Fb kwa watoto wenzako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom