safari hii atalazwa yeye !muulize matata hana hamumkumbuki ,vijana aliowatuma kigoma wapo wote hospitali baada ya kipigo.....
Teh teh, kwa hiyo wana ilemela wana meya jambazi?
Tutawachapa kichapo cha mbwa mwizi, tunawakaribisha.
kuvuta bangi nyingi hakumaanishi kwamba una nguvu , MATATA analindwa na utawala huu kwa vile anahujumu cdm , alishafukuzwa cdm kitambo kirefu sana , safari hii tunajipanga kuvunja sheria za nchi kwa ajili yake , TUTAMTANDIKA VIBAYA MNO , maana ukicheka na mbwa unaweza kukuta unaingia naye msikitini , LIWALO NA LIWE !
Msituletee balaa kapiganeni pale makao makuu yenu.
Ww akili mgando,ukisoma hii thread mleta balaa ni nani???'kichwa samaki wewe."Kwa Mwanza 'mtafrah'".