Said Buko
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 245
- 46
Magamba na Vijitamko uchwara ndio wajue mziki wa CHADEMA
naye akapopolewe mawe
Magamba na Vijitamko uchwara ndio wajue mziki wa CHADEMA
Chadema wanapata wapi fedha za kuchezea hivi?
Na nyie magamba akina NAPE na JANGILI wanasafiria ungo na kula hewa.Nyani huoni ku.ndu.leChadema wanapata wapi fedha za kuchezea hivi?
Chadema wanapata wapi fedha za kuchezea hivi?
Kuwa mtulivu , kaulize CCM wakuwa nje siku 26 mbona hujauliza ? Kwanza wewe ni CCM unauliza mambo ya Chadema yanakuhusu nini ?I told you kwamba utakuja kuadhirika slowly you will get to learn
Kwa kweli nna shaka na ufahamu wako,kwani gambaz hawapati ruzuku!Mkuu unasahau chadema inapata ruzuku. Hizo ni fedha za walipa kodi wa hili taifa usifikiri tutawaacha muchezee kodi za wana wa hili taifa.
Mkuu sixgates hata sisi tunaziuliza mnapata Wapi pesa za kuratibu maandamano kigoma?
Chadema wanapata wapi fedha za kuchezea hivi?
Kwa kweli nna shaka na ufahamu wako,kwani gambaz hawapati ruzuku!
Kiongozi Mkuu ni too local-waraka
mwenyekiti wa chadema freeman mbowe anatarajiwa kuanza ziara rasmi ya kichama katika mkoa wa mwanza kuanzia tarehe 14 desemba.
Taarifa kutoka makao makuu ya chama dar es salaam na ofisi za chama mkoani mwanza zinasema kwamba ziara hiyo itakuwa na nia ya kuimarisha chama.
Kiongozi huyo anatarajiwa kuhutubia wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani mwanza ambao ni wanachama wa chadema katika siku ya kwanza ya ziara yake.
Mkoa wa mwanza ni kati ya ngome kuu za chadema kanda ya ziwa na mwenyekiti huyo amekuwa akiheshimika sana katika mkoa huo.
Source:chademablog.
Chadema wanapata wapi fedha za kuchezea hivi?
Ccm ina vyanzo vingi vya mapato. Mfano kwa kawe tuu. Zile ofisi/makao makuu ya Zantel ni mali ya ccm wanapokea mamilion ya kodi kwa mwezi pale.
Nitajie vyanzo vya mapato ya chadema.
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe anatarajiwa kuanza ziara rasmi ya kichama katika mkoa wa Mwanza kuanzia tarehe 14 Desemba.
Taarifa kutoka Makao Makuu ya Chama Dar es Salaam na ofisi za chama Mkoani Mwanza zinasema kwamba ziara hiyo itakuwa na nia ya kuimarisha chama.
Kiongozi huyo anatarajiwa kuhutubia wanafunzi wa vyuo vikuu mkoani Mwanza ambao ni wanachama wa CHADEMA katika siku ya kwanza ya ziara yake.
Mkoa wa Mwanza ni kati ya ngome kuu za CHADEMA kanda ya ziwa na Mwenyekiti huyo amekuwa akiheshimika sana katika mkoa huo.
Source:Chademablog.
Mkuu naona umeamua kuwa na akili kama msukule. Ukombozi wa nini?Wanapata kutoka kwenye Ruzuku na michango ya wanachama,
Kumbuka hiki ni chama cha siasa na hizo route ni za kisiasa, futa kauli yako kwamba "Chadema inapata wapi fedha za kuchezea" haichezei inaenda kutoa elimu ya ukombozi