Nakazia tu alichokisema mtu humu JF, kama Kitila na Zitto Kabwe wangelifanikwa kumng'oa Mbowe kwenye uenyekiti, CHADEMA lingekuwa Tawi la CCM. Rabbon
Kwa muktadha huo, Mbowe haondoki kwenye uenyekiti mpaka tupate katiba Mpya na Tume huru!
Take Note: Wenye uwezo CHADEMA ni wengi. Lissu, Heche, Lema, Msigwa and many others, lakini ngoja awepo awepo kukamilisha safari aliyoianzisha ya demokrasi at national level government.
Erythrocyte
Kwa muktadha huo, Mbowe haondoki kwenye uenyekiti mpaka tupate katiba Mpya na Tume huru!
Take Note: Wenye uwezo CHADEMA ni wengi. Lissu, Heche, Lema, Msigwa and many others, lakini ngoja awepo awepo kukamilisha safari aliyoianzisha ya demokrasi at national level government.
Erythrocyte