Mbowe atuhumiwa kuhamisha mabilioni

Mbowe atuhumiwa kuhamisha mabilioni

Eti Mbowe aanza kuhamisha Mali nje! Hizi propaganda zimeshachewa sana,eti chanzo chenye ni mwanachama wa CHADEMA!upuuzi mtupu. Mliwahi kusema CUF wameingiza kontena la silaha kutoka nje lakini mlipuuzwa! Subirini tu tuwaoneshe kazi kwenye sanduku la kura tarehe 25.

mbowe anapenda sana watu kama ninyi msiojua hata kufikiri / wepesi kusahau . wanaotapika na kurudia matapishi yao :
hata swala la lowasa kuja cdm mlianza hivi hivi kwa kujishebedua or mara hatuwezi kumpatia fisadi form , lowassa akija mim na hama . leo yuko wapi . think big man
 
Nendeni mahakamani sasa... Naona sindano ya kushindwa uchaguzi inaanza kuwachoma
 
hila gazeti la raia mtanzania nigazeti la propaganda,haliandikagi habari icyo fungamana na upande wowote,lita sababisha uvunjifu wa amani tanzania
 
Tushafanya Maamuzi Mkuu,ni jambo la muda tu hapo Oct 25,tuko busy kuing'oa CCM mambo mengine bdae.
 
Tupo bizz na uchaguzi mi nishaanza kukaa mita 200 toka leo. Mabadiliko ni lazima
 
Piga kura Linda kura huo Ndo uwezo wetu. Sina uwezo wa kurinda miamala kwa hizi siku tano zilizobaki.
 
Ungeshuka maelezo kwa kuweka na attachment(s) ya/za hizo transactions tungekuheshimu. Sasa kwa evidence ya gazeti la Raia Tanzania sijui tukupuuze??? Nauliza tu!!!
 
Huyu Mbowe atatukoma baada ya kuiondoa ccm madarakani maana inaonyesha wanamuogopa. Iweje ahamishe fedha nyingi kinyume na utaratibu na asichukuliwe hatua? Lazima hii serikali ni dhaifu sana. Shime tushirikiane kwa pamoja tarehe 25/10 tuiondoe ccm madarakani ili tuweze kumchunguza Mbowe na wengine kama wale wa Escrow na EPA, Richmond nk ili wachukuliwe hatua badala ya kutumika magazine ya ccm kulalamika tuu
 
Ingelikuwa Mbowe ndiye anagombea Urais CHADEMA, hapo propaganda zenu ningezifakaari.

Lakini kwa upande wangu hatua tuliyofikia na basi la mabadiliko dereva anaikanyagia sana ipo speed 185, wallah hunibadilishi hata msemeje.

Mbona mpo kimya kuhusu pesa za ESCROW zilizochotwa Stanbic????????

View attachment 300532


View attachment 300533


LOWASA.jpg
 
Sasa si muende mahakamani kufungua kesi dhidi ya Mbowe kuwa anafanya miamala kinyume na sheria!! Nchi ya propaganda na walalamikaji.
Ushauri mwanana huo
 
Sikujua kama UKAWA wamemuweka mtu kati namna hii...! Yaana mtu mwenyewe kasha data anashindwa hata namna ya kuzusha kisayansi...!
 
Mbowe ni mfanyabiashara mkubwa hivyo kufanya miamala kama hiyo hawezi kuwa kitu cha ajabu. Viva ukawa. To hell ccm.
 
Kumbe na huyu jamaa naye ni mfisadi, daa, hawaamniki asee
 
20151019022757.jpg
Jamaa amechukua mpunga mrefu, si bora tu angeenda saidia watanzania huko vijijini
 
Huyu Mbowe atatukoma baada ya kuiondoa ccm madarakani maana inaonyesha wanamuogopa. Iweje ahamishe fedha nyingi kinyume na utaratibu na asichukuliwe hatua? Lazima hii serikali ni dhaifu sana. Shime tushirikiane kwa pamoja tarehe 25/10 tuiondoe ccm madarakani ili tuweze kumchunguza Mbowe na wengine kama wale wa Escrow na EPA, Richmond nk ili wachukuliwe hatua badala ya kutumika magazine ya ccm kulalamika tuu

Unajitekenya na kucheka mwenyewe kijana... Ili Tambua Chama cha Mapinduzi ni imara na kina misingi imara yenye maono makubwa ya mbele hivyo sasa zimebaki siku 6 Magufuli kuongoza Tanzania na kuleta mabadiliko ya kweli Tanzania. Usiharibu kura yako Chagua Dkt John P Magufuli ✔
#HapaKaziTu
 
Back
Top Bottom