Magazeti ya leo yameandika jamaa wapiga dili wanafanya miamala ya kufa mtu kupitia hongkong na dubai. Kweli kura ni mali.
View attachment 300421
View attachment 300420
View attachment 300421
View attachment 300420
Mkuu sijakuelewa hebu fafanua pia taja gazeti lililoandika.
Uhuru ,na Jambo leo.
baada ya uchaguzi,mbowe ndo atakua tajiri namba moja tanzania,akifuatiwa na mbatia......
hata awe na miamala ya trilion haisumbui tunataka mabadiliko tu