mtabechama
Member
- Aug 29, 2015
- 61
- 13
Kwa sasa mafisiemu hayana la kutwaambia, wameshafilisika. Wamefuja madaraka waliyolewa, wameshtuka kuona kumbe watanzania wengi wameelimika hawataki kutapeliwa tena. wanachoweza kufanya ccm kwa sasa ni kufungasha virago tu waanze maisha ambayo hawakuyazoea.