Mbowe atuhumiwa kuhamisha mabilioni

Mbowe atuhumiwa kuhamisha mabilioni

sitomuamini mbowe tangu nliposikia alipokea bil 10 ili lowassa aingie, walanguzi wakubwa, laana iko juu yao ngoja uchaguzi utakapoisha tutajua ukweli

Hii nchi ina miujiza! Yaani umeamini tu basi. Hakuna kuripoti kwenye vyombo vinavyohusika ili hatua ichukue hatua. Jamani kwa mwendo huu hatutasonga mbele kama taifa.

Watu walalamishi tuuuu!
 
Nilipona ni gazeti la uhuru na jambo leo na raia tanzania sikujisumba hata kusomba maana hayo magazet sijawahi kulinunua hata wanipe bule silipokei
 
We mtoa post utakuwa unajua pia Mwamnyange anarudi lini na yupo wapi?
 
Yaani habari hii imeandikwa na magazeti ya CCM, Jambo Leo, Uhuru na Raia Tanzania naona walikaa kikao cha pamoja na kuambiana waandike hii habari, hivi haya magazeti yameishawahi kuandika habari juu ya waliokwapua fedha za ESCROW kupitia Stanbic Bank? Na vipi kuhusu walioficha fedha Uswisi na je wameisha wahi kuuambia umma hizi fedha anazo miliki Ridhiwani amezipata wapi?
 
Kma ni kweli, mbowe atakuwa miongoni mwa watu watakao shughulikiwa ndani ya siku 100 za Magufuli akiwa ikulu na vilevile atakuwa victim wa kwanza kwenye ile mahakama ya mafisadi itakayoanzishwa na Magufuli maana yeye ndiye aliyewapotosha vijana kuanza kumshabikia fisadi papa
Kwa hiyo Chenge, Kikwete na Mkapa hawamo katika hiyo list ya Magufuli?
 
Sisi miamala ya mbowe unatuhusu nini watueleze muamala ya escrow ndio inatuumiza maana ni kodi yetu viva chadema
mbona kuna sheria za fedha za nini
 
Hizi taarifa tumezichoka, wasitutoe kwenye mada ya msingi dakika hizi za mwisho kuelekea kupiga kura, mbinu nyingi zitatumika sasa hivi kuwatoa wapiga kura kwenye mada.
Mbowe aje jibu tuhuma hivi kwanini anafanya uharami wa pesa
 
Watumwa wa Mbowe wako busy kusafisha, na jumapili kapigweni virungu na mfe kwa ajili yake, muone kama hata atawajali, ZILE FAMILIA ZA WAHANGA WA ARUSHA 2011 leo hii zinajuta
 
Nilitegenea kesi iwe mahakamani kumbe serekali dhaifu mnalia lia kupata huruma za wananchi
 
Vyovyote vile kura ni ukawa!! Mwenye hoja aende mahakamani! Go Lowasa gooooo!!!
 
Kwani ww kansigo hao ccm wanakufaidisha nn!!? Ni wkt wa mabadiliko short n clear! Propaganda wapelekee waliokutuma, tumeshaamua kuchagua UKAWA tupate MABADILIKO.
 
hata awe na miamala ya trilion haisumbui tunataka mabadiliko tu

babu chodo;
Umenifurahisha mno. Kumbe bado kuna watu wanajua walifanyalo?? Hatusumbuki na alichopewa au alichotoa mtu, tunaomba usiku na mchana hizi siku 6 zilizobaki kisitokee kisirani chochote twende kwenye box. Tuyalete mabadiliko tuuu. Mengine baadayeeeeeee:high5::high5:
 
sitomuamini mbowe tangu nliposikia alipokea bil 10 ili lowassa aingie, walanguzi wakubwa, laana iko juu yao ngoja uchaguzi utakapoisha tutajua ukweli

Kumbe "ulisikia" tu!!?? Mm nilishani umeona na kuthibitisha!

Utasikia hata ya mkeo au mumeo kuwa na mchepuko sehemu na ww kukimbia kuchukua begi kurudi kwenu!!

Acha kuchukua maamuzi kwa kuzingatia ya "kusikia" tu, at least jiridhishe kwanza, then make decisions!!!
 
Back
Top Bottom