WABHEJASANA
JF-Expert Member
- Jun 22, 2011
- 4,225
- 869
Ujinga mwingine huu hapa!!
kwa mara nyingine kiti cha spika kinazidi kudhihirisha ubabe na ukandamizaji wa serikali ya ccm dhidi ya WAPINZANI.
kumtoa Mbowe bungeni Ndugai na CCM kwa ujumla watajuta.
nb;
Ndugai ameshanza kujuta kwa kumuomba Mbowe arudi bungeni saa 11.
Really! Nilidhani wangemfungia hadi kikao cha Novemba kama walivyomfanyia Zitto miaka ile.kwa mara nyingine kiti cha spika kinazidi kudhihirisha ubabe na ukandamizaji wa serikali ya ccm dhidi ya WAPINZANI.
kumtoa Mbowe bungeni Ndugai na CCM kwa ujumla watajuta.
nb;
Ndugai ameshanza kujuta kwa kumuomba Mbowe arudi bungeni saa 11.
aka mama wa karo-lite.Mkuu, kwani kuna wabunge wangapi wameongea? si wawili tu yaani mzee Mrema na huyu anayeongea sasa ANNE KILANGO MALECELA? acha kukurupuka
Jana wakati wa walkout ya wapinzani nilimsikia akisema 'waacheni tuwaone nafikiri hawanitambui' ni maneno ya ubabe wa mitaani ambayo hayatakiwi kutolewa hadharani na kiongozi kama yeye, lakini kwa akili ya wabunge wa CCM wanayafurahia bila kujua madhara yake, in short Ndugai ha-fit pale kwa vigezo vyovyote.Mkuu Profesa, wakat mwingine huwa inanichanganya mtu wa namna kuwa naibu spika ni aibu yaani hata busara hana.. muda uliotumika kwa fujo hivi huku yeye mimeno kaitoa kufurahi order yake ikitekelezwa ilitosha kabsa kwa mh.Mbowe kutoa hoja yake na bunge kujua alichotaka kusema hasa nin..
Mim naona Makinda ni bora na huwa anafanya kazi vizuri sana na upinzani kulinganisha na viongozi wengine wa bunge hasa naibu spika na wale wenyeviti wawili ukimwacha Zungu.. Bila shaka ni aibu kwa Ndugai na kwa Bunge kuwa na kiongozi mjinga kama Ndugai.
wabunge wa chadema ni wachache ingetokea mauaji.
Hiki ni kishooiya....Hakiwezi kupata tena kura kule vunjo.
Kuna wapumbavu na wajinga ndani ya ccm lakini -------gai na makiinda plus migulu chemba ni the best in a class of fools.
Mrema dume la mbegu anawachamba macdm na cuf yao funguka baba
paradiso hapo blue ya kweli hayo??
Sikuwa nafuatilia toka mwanzo ila Lyatonga Mrema ameniacha hoi kwa kusema kuwa yeye hawezi kutoka kwa kuwa CDM haijamshirikisha kwenye kambi rasmi ya upinzani! Kana kwamba pembe ya ng'ombe haijifichi akaanza kumfagilia Rais kwa kumteu Mbatia na kupeleka maendeleo jimboni kwake...ghafla akamuomba PM msamaha kwa kusaini ule wa waraka wa kumuondoa eti alikuwa anajipendekeza kwa CDM lakini walimtosa! akasema "you scatch my back I'll scratch yours"!!!
Safari ni ndefu sana kuelekea kwenye maendeleo na demokrasia ya kweli Tanzania...
ulevi wa madaraka kwa ndugai......kikanuni MBOWE..aiksimama kama kiongozi wa upinzani ni lazima asikilizwe...tubsubili tuone...