Mbowe atolewa nje ya bunge

Mbowe atolewa nje ya bunge

Nadhani ni ishara ya wazi ya tatizo la uongozi wa Naibu Spika Huyo kwa kushindwa kusimamia na kujibu hoja chokochoko za Upinzani ambazo zipo katika mabunge yote Duniani yenye vyama vingi!

Sidhani kama Mh huyu anajua kuwa ni kipimo kibaya kinachomshusha hadhi yake?

Mkuu Profesa, wakat mwingine huwa inanichanganya mtu wa namna kuwa naibu spika ni aibu yaani hata busara hana.. muda uliotumika kwa fujo hivi huku yeye mimeno kaitoa kufurahi order yake ikitekelezwa ilitosha kabsa kwa mh.Mbowe kutoa hoja yake na bunge kujua alichotaka kusema hasa nin..

Mim naona Makinda ni bora na huwa anafanya kazi vizuri sana na upinzani kulinganisha na viongozi wengine wa bunge hasa naibu spika na wale wenyeviti wawili ukimwacha Zungu.. Bila shaka ni aibu kwa Ndugai na kwa Bunge kuwa na kiongozi mjinga kama Ndugai.
 
Nadhani Ndugai inabidi aache kupambana na upinzani kwa kutumia msuli wa spika na apambane nao kwa hoja (kama kweli ana huo ubavu!), la sivyo ipo siku wabunge watagaragazana kwenye meza yake! Siasa za kibabe za CheCheMee zimepitwa na wakati.
 
Hiki ni kishooiya....Hakiwezi kupata tena kura kule vunjo.

Mkuu wako wengi ukianza na Dungai na Spika wake.
Unashindwa kuelewa kama kweli ni watanzania au lah!Ni Mungu tu anayeweza kuwapima maana sisi binadamu tutawaonea wanachokifanya hata mtoto wa miaka saba anatambua kuwa ni Pumba.

 
Ngugai kaonyesha udhaifu mkubwa sana na amechangia timbwiri la leo bungeni.Apelekwe Mirembe akapimwe akili.
 
ulevi wa madaraka kwa ndugai......kikanuni MBOWE..aiksimama kama kiongozi wa upinzani ni lazima asikilizwe...tubsubili tuone...
 
Bunge la Tanzania limegeuka Kichen Party.

Kweli kabisa kaka,ni kama Mwalimu nyerere alivyosema wameacha yale mambo yooote ya maana,na kuchukua yale ya kipmbavu,kwani ndugai angempa huyo Mbowe nafasi ya kutoa hoja yake nini kingeharibika,au ndiyo maana ya wabunge kupelekwa Jkt?
 
Hapo ndipo huwa nafikia hatua ya kuzikumbuka busara za Mh. Samweli Sitta na bunge lake la VIWANGO -- kwa kweli ndani ya CCM ni aibu tupu ila huyu ndiye mwenye busara kuwazidi pamoja na mapungufu yake madogo madogo.
 
ndiyo mazao ya mipasho ya ndugai hayo. Badala ya kuendesha bunge ktk misingi inayofaa, analeta mipasho. Naunga mkono mbowe kutokubali kutoka.

Ikumbukwe wakati jana wakati wapinzani wanatoka nje Ndugai alisema kuwa 'lakini wananifahamu'. Kwa hiyo leo anatekeleza kile alichosema.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom