Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,377
hahahah Ndugaiiiiiiii jamaa hovyo sana huyo
Mohamedi Mtoi kioongozi upo?Ujinga wa kukandamiza upinzani na kuwafanya kama watoto wadogo ndio una sababisha yote hayo.
je kweli wamepigana?J. Ngugai atoa amri Mbowe atolewe nje baada ya Mbowe kuomba muongozo ila J Ndugai akamuamuru akae chini na asiongee chochote ndipo Mbowe akakataa kukaa mpaka asikilizwe anachotaka kusema ila wabunge wa upinzani wamegoma Mbowe kutolewa nje na kinachoendelea ni kupigana kati ya askari na wabunge wa chadema