Mbowe asinzia bungeni asubuhi hii

Mbowe asinzia bungeni asubuhi hii

Mimi ni mwanachama mtiifu wa CHAUSTA na ninakipenda sana. Nccr ndio nini hebu wewe kijana wa chadema unikome kama.......

we jamaa nina wasi wasi .na uwezo wako katika kufikiri. maana muda wote unapost upuuzi.
 
Tumsikilize mwanaume wa shoka sugu anaunguluma mjengoni. Anawachana mbaya maccm.
mjuni achana na mashoga ya ccm,uwezo wao ndo umefikia hapo,mbowe ni kamanda hafananishwi na gamba yoyote.
 
tz1mbatia.jpg
 
Suala la kusinzia ni tofauti na kulala Hata hivyo hakusinzia aliinama huyu jamaa anayejiita kigoma mjini ameshikwa na homa ya dengue mpelekeni hospitali.
 
Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA na KUB na mwenyekiti wa UKAWA leo asubuhi ameonekana kwenye runinga akisinzia, tabia hii ni hatari kuwa na wabunge wakusinzia bungeni. Amka mwenyekiti.
Kama huna picha tunaomba uufyate
 
Wakigoma mjini umemuona anayesinzia? Ni huyo mtu mzima hapo kwenye hiyo picha hapo juu safari ni safari na sio Mbowe.
 
Vinara wa kusinsia bungeni Komba na Wasira wakikusikia watakucheka......
 
Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA na KUB na mwenyekiti wa UKAWA leo asubuhi ameonekana kwenye runinga akisinzia, tabnia hii ni hatari kuwa na wabunge wakusinzia bungeni. Amka mwenyekiti.

Weka ushahidi mezani
 
Back
Top Bottom