Yupo ACT kifikra mkuu.Juzi nimemuona kwenye mtandao akimkasirikia Mbatia.Alihama CHADEMA kwa matusi mengi sana lakini viongozi wake wakaja kuungana na CHADEMA .Sasa sijui anajiskiaje. Vijana wajifunze siasa waachane na mihemko.Niliwashauri hivyo
Ben Tuliwashauri wajikite kwenye itkadi bdala yakuamini katika siasa za ufuasi wa watu matokeo yake ndio haya.
Last edited by a moderator: