Mbowe asinzia bungeni asubuhi hii

Mbowe asinzia bungeni asubuhi hii

wewe umeona leo eti kasinzia!!!! Mbona vifududu wenu akina komba , wanasinzia kila siku hausemi????? Mnafiki acha siasa kama huwezi

hii ni habari ya mbwa kula mtu ndio maana
 
Hakuna ushahidi wa picha tunakaa kupost ushabiki. Huu ni upuuzi wa mleta thread,anaonyesha dalili. ZA dengue
 
Yupo ACT kifikra mkuu.Juzi nimemuona kwenye mtandao akimkasirikia Mbatia.Alihama CHADEMA kwa matusi mengi sana lakini viongozi wake wakaja kuungana na CHADEMA .Sasa sijui anajiskiaje. Vijana wajifunze siasa waachane na mihemko.Niliwashauri hivyo
Si ndio huyu anayesoma Digrii ya kwanza pale UDSM ya International Marketing? Yule sisimizi?
 
Guess what Mama Maria was thinking here..........

tz1mbatia.jpg
 
Alilala chakari na Mukya ucku ndio maana kachoka anasinzia bungeni.
 
Yupo ACT kifikra mkuu.Juzi nimemuona kwenye mtandao akimkasirikia Mbatia.Alihama CHADEMA kwa matusi mengi sana lakini viongozi wake wakaja kuungana na CHADEMA .Sasa sijui anajiskiaje. Vijana wajifunze siasa waachane na mihemko.Niliwashauri hivyo

Du....! Aiseee Kamanda hapa umemaliza kila kitu kumbe jamaa ni mchumia tumbo tu. Bravo
 
Aaaaah kwani ni nani wanaoongoza kulala humo ndani mjengo
 
mwenyekiti wa chama cha chadema na KUB na mwenyekiti wa ukawa(bokoharam) kwa mjibi wa nape leo asubihi ameonekana kwenye runinga akisinzia, tabia hii ni hatari kuwa na wabunge wakusinzia bungeni. amka mwenyekiti.

Tukiamua tu kusema bila ushahidi, tutajaza seva kwa a e i o u na ab c d... etc.... Weka ushahidi, na ukiuweka, nitaungana na wewe kumlaani kwa kulala Bungeni. kulala kwa komba kuna ushahidi, wizi wa EPA kuna ushahidi, Usafirishaji wa twiga na wanyama hai 104 kuna ushahidi, Vijisent kuna ushahidi, kuuziana Kiwira Coal Mine kuna ushahidi, Wizi wa meno ya tembo A.K.A Makinana kuna ushahidi, Wizi wa Bilion 200 za hivi karibuni wanahaika, .. etc.

Ukiweka vitu kihisia... utaishia kuonekana mtoa PUMBA na MFUKA MOSHI wa mwaka...

Na wewe
ifweero, kuna siku humu ndani mtu atasema mimi ndo baba yako mzazi, halafu umpe LIKE... Na mimi nitamkana huyo mtu kwa kunikabidhi mtoto anayewaza kwa hisia

 
Mimi ni mwanachama mtiifu wa CHAUSTA na ninakipenda sana. Nccr ndio nini hebu wewe kijana wa chadema unikome kama.......

Ngoja nikusamehe bure sababu tatizo jobless thus why unashinda JF ukiandika ujinga ujinga 2 kama umepagawa na mapepo.
 
Mtoa mada umelogwa na pia umevulugwa vulugwa ovyo ovyo pamoja na nape wako
 
Back
Top Bottom