Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Waziri Mkuu Pinda Mwenyekiti wa caucus ya CCM Bungeni na mwenyekiti wa Tanzania kwanza (Wasaka Tonge ) kwa mujibi wa Seif Khatibu leo asubuhi ameonekana kwenye runinga akisinzia, tabia hii ni hatari kuwa na wabunge wakusinzia bungeni. Amka mwenyekiti.