Mbowe asinzia bungeni asubuhi hii

Mbowe asinzia bungeni asubuhi hii

kigoma mjini

Member
Joined
Dec 1, 2013
Posts
95
Reaction score
9
Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA na KUB na mwenyekiti wa UKAWA leo asubuhi ameonekana kwenye runinga akisinzia, tabia hii ni hatari kuwa na wabunge wakusinzia bungeni. Amka mwenyekiti.
 
Pro-Chadema watasema anatafakari hotuba ya Wenje.
 
Aisee we jamaa unayejiita kigoma mjini wewe si mwana NCCR mageuzi, sasa mbona unaleta udaku kwa kiongozi wako wa UKAWA? hakya mungu huu UKAWA ni ukahawia kweli yani wanachama sijui hamuutaki?
 
Last edited by a moderator:
Aisee we jamaa unayejiita kigoma mjini wewe si mwana NCCR mageuzi, sasa mbona unaleta udaku kwa kiongozi wako wa UKAWA? hakya mungu huu UKAWA ni ukahawia kweli yani wanachama sijui hamuutaki?

Mimi ni mwanachama mtiifu wa CHAUSTA na ninakipenda sana. Nccr ndio nini hebu wewe kijana wa chadema unikome kama.......
 
Last edited by a moderator:
Kama tutakuwa tunaanzisha thread tukiona mbunge amesinzia basi forum itajaa threads za kusisinzia kwa Wassira, Komba...

Leteni kinachoendela bungeni sio vitu kama hivi.
 
Weka picha, niliona aliinama akiandka kitu, nami nilidhani amesinzia, kumbe wala!
 
kigoma mjini
Kusinzia ruksa ila kulala bungeni kama komba na wasira ni dhambi kubwa sana.
 
Last edited by a moderator:
mwenyekiti wa chama cha chadema na KUB na mwenyekiti wa ukawa(bokoharam) kwa mjibi wa nape leo asubihi ameonekana kwenye runinga akisinzia, tabia hii ni hatari kuwa na wabunge wakusinzia bungeni. amka mwenyekiti.

Wabunge wa CCM wanaongoza kukotoma kwa usingizi mzito Bungeni!
 
Aisee we jamaa unayejiita kigoma mjini wewe si mwana NCCR mageuzi, sasa mbona unaleta udaku kwa kiongozi wako wa UKAWA? hakya mungu huu UKAWA ni ukahawia kweli yani wanachama sijui hamuutaki?

Yupo ACT kifikra mkuu.Juzi nimemuona kwenye mtandao akimkasirikia Mbatia.Alihama CHADEMA kwa matusi mengi sana lakini viongozi wake wakaja kuungana na CHADEMA .Sasa sijui anajiskiaje. Vijana wajifunze siasa waachane na mihemko.Niliwashauri hivyo
 
Last edited by a moderator:
Kama tutakuwa tunaanzisha thread tukiona mbunge amesinzia basi forum itajaa threads za kusisinzia kwa Wassira, Komba...

Leteni kinachoendela bungeni sio vitu kama hivi.

halafu TV ilivyovuta mpaka .....
 
Alikuwa ana tafakari namna ya kuwakomboa wananchi waliobebeshwa mizigo mizito na CCM.
 
Back
Top Bottom