Mbowe asinzia bungeni asubuhi hii

Mbowe asinzia bungeni asubuhi hii

Jamaa wengine bhana,usione mtu anatafakari mambo ya nchi eti anasinzia,naomba tuwe great thinker base kama low of jf inavyosema sio tu limuradi eti umeleta hoja
 
komba na wassira.jpg Hawa wamepumzika wakati wa kati ngumu ya kulitumikia taifa letu.
 
Du....! Aiseee Kamanda hapa umemaliza kila kitu kumbe jamaa ni mchumia tumbo tu. Bravo

Huyu ni mchumia tumbo abayetafuta attention.Ana ID yake halisi hawezi kuja nayo hapa saa hizi .Kwanza kila anapoandika hawezi kuuandika paragraph tatu zenye hoja.Ni mtu wa vitu vyepesi vyepesi tu
 
Mikina john komba,pinda,chiligati,ngereja wote hulala mjengoni mbowe alikuwa ana fikilia namna ya kuwakomboa watanganyika.
 
Nanyie mnaamini kamanda mbowe anasinzia?mbowe akifumba macho anapanga mambo yake,sio kina komba kumwaga ute,mmekalia umbea ma mbwa ya ccm.
 
Leo imekuwa tafakar ya hoja kisa mbowe kasinzia.kwel anaewasema wengine rud angalia maisha yake hapa picha kibao zilitolewa kisa wasira na komba wanasinzia lakin leo kwa dj mbowe kumbe sio tatizo
 
Mikina john komba,pinda,chiligati,ngereja wote hulala mjengoni mbowe alikuwa ana fikilia namna ya kuwakomboa watanganyika.
 
Mboe kwa kujirusha unaweza sikia alikesha Club na Nyumba ndogo.
 
Thanks buddies for ignoring this stupid thread!
 
Tumsikilize mwanaume wa shoka sugu anaunguluma mjengoni.
Anawachana mbaya maccm.
 
Back
Top Bottom