Ibra Mo
JF-Expert Member
- Oct 27, 2010
- 793
- 102
Haya maneno tu hayatasaidia chochote nimuda muafaka wakumobilize watu wakutane wapi kesho asubuhi kupinga hii dhuluma nakupanga wafanye nini coz kama ni dharau hii imezidi mipaka Viongozi waliopo Dar wafanye hii kazi natuitumie hii forum pamoja na facebook tukitumi wall ya Mnyika na Dr.Slaa kupeana Taarifa tutakapo kutania.