Mbowe ashikiliwa Central Police

Mbowe ashikiliwa Central Police

Madhara ya muda mfupi ni Mbowe kuwekwa selo kwa siku kadhaa na magamba 'kugonganisha glass', lakini matokeo ya muda mrefu ni chuki zaidi kwa magamba na viongozi wake, Mbowe na CDM kuongeza umaarufu na kurahisisha safari ya kuisema magamba kwa wafadhili, kwani hata kesi yenyewe ya kutengenezewa tu
 
Hao magamba wanajiamini nin au ndo mwendo wa kutikisa kiberit sisi huku Mara tuko tayari kwa lolote
 
BAVICHA mkoa wa Arusha tunalaani kushikiliwa kwa mwenyekiti na kiongozi wa upinzani bungeni mh Freeman Mbowe, kimsingi huu ni uhuni uliopitiliza na uwendawazimu na hizi ndio dalilizakuanguka kwa utawala CCM.

Vijana wa mkoa wa arusha tunapinga, tunalaani na tutapambana hadi tone la mwisho. Tunaheshimu mahakama, lakini kutoa amri ilihali mwenyekiti alishaomba kutohudhuria tunapata shaka, tunatilia shaka uamuzi huo, tunaitaka serikali imwachie mwenyekiti mara moja na ihakikishe usalama wa kamanda wetu.

Martin Luther king alipata kusema ikiwa hakuna jambo lolote ambalo mtu yu tayari kufa kwalo basi hufai Kuishi,

Jamani kulaani tu, hakutoshi, tutaendelea kulaani, kulaan na kulaani? Watu hawa wamezoea kutudhalilisha na wanajua tutasema mchana na usiku tutalala.

Ni lazima tuchukue hatua kupingana na uhuni huu, kupingana na udhalilishaji huu, kupingana na ukoloni huu, BAVICHA you and me must take the lead. Ni lazima tukubaliane na matokeo yoyote ili kupambana na ufirauni huu.
 
Kwa niaba ya BAVICHA MBY MJINI,tunaungana na watanzania wote wenye mapenzi mema na nchi yao,KULAANI kukamatwa kwa viongozi wetu na majemadari,Kamanda Freeman Mbowe na Kamanda Zitto Kabwe,tusiogope WAO WANA DOLA SISI TUNA MUNGU, TUTASHINDA!
 
Acha anyee debe, kwani anajifanya mjeuri sana utadhani hii nchi ni yake. Slaa anagwaya mahakama kwani makosa wanayo na wamesha ona sheria inawabana, sasa Slaa amebaki kivuri chake ni Mimba ya Hawala wake. Tunaomba sheria ifanye kazi, kwani nchi inaongozwa kwa utawala wa sheria.
 
Ni taarifa za kutatanisha kidogo...

Baadhi ya viongozi wa Chadema wamedokeza kuwa mwenyekiti wao yu central Police akiwa chini ya ulinzi. Lakini wengine wanakanusha kuwa hajakamatwa.

Atashikiliwa mpaka Jumatatu? Patatosha?
Pasitoshe kwani yeye hakujua umuhimu wa kujitokeza,sheria na taratibu mbona ziko wazi anakuwa kama haelewi mbona mwenzak alikimbilia mahakamani?
 
Tayari wamemwachia Naibu Katibu mkuu Zito Kabwe kwa dhamana hadi kesho...Saa ya ukombozi ni sasa
 
Mandela alishawai kusema WHEN WATER START BOILING, ITS FOOLISH TO TURN OFF HEAT. Nchi yenye vijana wasomi ambao ndoto zao za kuleta maendeleo katika nchi yao imefunikwa na wingu la viongozi wenye tamaa,uroho na uchu wa kuwarisisha watoto nchi yetu yenye rasilimali nyingi kuliko nchi yoyote duniani. Wake up guyz let us figh for our tommorow sake.
 
Hivi watanzania watasimama lini kukataa unyama na utumiaji wa vyombo vya serikali kwa manufaa ya ccm. Ninacho sisitiza mpaka sasa ni hili, viongozi wa cdm kitaifa lazima mfanye kitu haraka sana na ku-request inform haraka sana kutoka kwa kikwete na mahakama zake kilichofikia kukamatwa kwa Mbowe nini? Hii kesi Arusha ni vitisho kwa wananchi ili tuendelee kuwaogopa mafisadi na kikwete? Huyu mwanamke makinda hivi yeye ni kiongozi wa bunge au kada wa mafisadi ccm.

Kitu ambacho nimekiona kikwete na serikali yake ya wahuni, polisi wa Tanzania na hawa wanajiita matajiri wezi wa Tanzania niki hapa wanataka kuwaogopesha wananchi kwa kutumia hii backdoor martial law ya kijeshi. Wananchi lazime tujue kitu hofu na uoga siri yake ni sisi tuwe na mipango maalumu ya counter attack. Ninachozungumzia hapa ni protesting in large numbers kupinga matukio kama haya na hata kama wakija na silaha tunajua siku ya kwanza wanaweza kutusambaratisha lakini siku ya pili watakuwa wamekwesha. Mpaka sasa nimeona kikwete hajapata nafasi kuwa na fear ya wananchi. Hii ni ukweli kwani maandamano yote yaliofanyika yanaonekana kwao kwamba hayana vitisho kwao kwasababu yanachukua muda mrefu sana kuorganize na wao wanajua hatufanyi reaction immediately kama inavyotakiwa kufanyika wakati wa mapambano yoyote yale. Mimi narudia tena kupinga serikali yeyote hasa hii ambayo haina mandate kutoka kwa wananchi ni haki ya wananchi base on international law - UN. Hizo fear tulizokuwanazo zinatoka wapi? Aliepiga risasi watanzania wasio na silaha wakiandamana kupinga dowans na ufisadi ni nani? Mwenye makosa ni nani hapa? Ni wazi kikwete anapima wananchi kama watajitokeza kumwondoa....

Hizi sheria na utumiaji wa vyombo vya serikali (tbc, polisi, mahakama na ofisi za serikali) kuwaumiza na kuwaua wananchi inatupasa kuvisimamisha sasa hivi la sivyo tunakwenda kwenye vita pamoja.

"Mbowe ni kiongozi wa wananchi asilimia tisini na kikwete wote huu ni wivu na violations of democracy"
 
nachelea kusema kuwa tumefika pabaya sana
haya mambo na maonevu yasiyo na tija yana mwisho
tunafanya maandalizi ya mahakama za gachacha taratibu
 
Huu ni uhuni usio vumilika, dalili za dola kuanguka ni kuwafunga midomo viongozi wa wananchi wanao watetea. Magamba hawana lazima ya kufika 2015. Kama vipi bora tuingie barabarani.
 
Ndiyo safari ya ukombozi inahitaji kujitoa. Mkuu Mbowe usiwe na hofu unalipa gharama kwa niaba ya umma ulio nyuma yenu. Hakika ipo siku utakuwa shujaa wa nchi hii na hilo wanalijua na hata umma unajua na unaamini kuwa CDM ndiyo watakao tupeleka mahali sahihi.

Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki Nchi yetu
Mungu wabariki viongozi wa Chadema
Mungu wabariki watanzania wote wanaopigania haki ya wanyonge wa nchi yetu.
Amen.
 
SERIKALI NI NINI? SERIKALI YA ARUSHA NI YA CHAMA CHA MAGAMBA?........! Bunge ni serikali? mahakama ni serikali? nini maana ya eneo kuwa na serikali ya chama cha ......CHADEMA/CUF/CCM/CHAUSTA/TLP?
KUFUATA SHERIA NI KUPI.....? JE SHERIA IFUATWE KWA WOTE AU BAADHI?
WANA-JF? GREAT THINKERS.....OR GREAT TINKERS?
 
The time 4 victory, time 4 change, time 4 freedom. we don need another 2moro. Our time is now. lets fight together.
 
[QaUOTE=mwanaharakat;2057373]Mimi m/kiti wa Kujitolea wa BAVICHA-NGOROX2 nalaani vitendo vyote vya ukiukwaji wa sheria na demokrasia vilivyofanywa na jeshi la CCM la Polisi kwa M/kiti na Naibu katibu mkuu wa CDM. Sasa vijana tufunge mikanda, tupambane na hawa mamluki wa CCM(POLISI).
MY NOTE: KUJITOLEA SIO KUJIPENDEKEZA.[/QUOTE]

Hili nibaraza la vijanaa au Baraza la Vijana au Baraza la Vichaa(BAVICHA) Mbona wanapenda kukurupuka!Muda mfupi vijana na wadau wa CDM Wame2ma sms za kufurah kuwa Jk amepata ajal ilimradi 2 waonekane wanauchungu,cniupumbavu kuona kuwa Mboe anasukwa sukwa 2 tatizo je nae Wakiambiwa nae amekufa watafanyaje? Minawapoza 2 ila cku wakisema wanaingia knye target za Magamba 2 patachmbika.muwage wapole mcje mkadhani kuwa wa2 hawawasomi!watu wanaham na ninyi mlianzishe 2 wakubwa.msifanye tabu jamani eeeeh.
 
Back
Top Bottom