Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 43,037
- 34,741
Lakini Mwenyewe Mheshimiwa Lowasa hajasema kitu mbona muna mpapatikia sana?
Umeshaongea na mwanaCCM hata mmoja?Naomba nikujibu kwa kukuuliza maswali?
Hivi wajua wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM baadhi yao walikuwa wamo kwenye payroll ya Lowassa?Hivi unadhani fujo yote ilikuwa ya nini mpaka kuwa na uhakika wa kupita kwenye uteuzi?
Je unadhani kati ga hao wawili Maembe na huyo Lohassa,kuna hata mmoja atakayetoka kifua mbele kusema hajawahonga wajumbe?
Hivi unadhani siri ya kuhonga si siri?Hivi wajua kwamba kwa sasa humo ndani bila kuwa na uwezo sahau uongozi?
Rafiki Bora TAIFA KULIKO LOWASSA.Mimi na Lowassa zote twaweza kufa pamoja na vyama vyetu lakini si Taifa letu.
Ninajua mahali utajiri wa Lohassa ulipoanzia,enzi za JKN wakati wa Njaa ya Lushoto akiwa kwenye kitengo cha maafa ofisi ya Waziri Mkuu.
Watanzania wakifa njaa kuna mpumbavu mmoja anajineemesha leo tunampigia makofi eti atatubu.Akatubu kwa aliyemuumba.
Nitakuwa supporter wa Dr.Slaa kwa kumkataa Lowassa kujoin CDM.Kama wanachama wa kawaida tunaokifanya chama kijulikane nasema BIG NO KWA LOWASSA.Anayetaka amtengenezee Chama.Kingine aingie.Siyo CDM,tumepiga kampeni sana kuonyesha weledi wa CDM,leo tunawek nyuso zetu wapi?
Atunajiteteaje kumkubali Mwizi wa mali za umma?Aliye kwapua chakula cha watanzania waliokuwa wanahitaji.Njaa ikiwa inawaua watanzania kuna mpuuzi mmoja anajineemesha na njaa ya maskini.
Yaani sijui tu.Lakini bado ni Bora nibaki Bila Chama lakini si kumpokea Lowassa.Leo semeni wanachama wote wasiomsupport Mwenyekiti kwa kumkaribisha Lowass warudishe kadi hakika nitakuwa wa kwanza.
Wee hasara tupu, toka huna chochote, huna faida, Lowassa njoo haraka...
Nina maono ya kuona mbali kuwa kama LOWASA, atajiunga na upinzani basi mwisho wa upinzani utakuwa umefika kwani CDM watashindwa kwa kishindo alafu pia ccm watamvua nguo lowasa kuwa ni fisadi na ndiyo sababu ya yeye kukatwa. Nasikitika sana upinzani watakuwa wanajiua wenyewe.
Tangu lini nikatoa mchango wa kukufurahisha wewe! Nakujua BAVICHA wewe na kwa hatua hii unaanza kuweweseka! chama cha Familia kiko wapi Magufuli ni mwana Familia? Au umekosa cha kuongea nenda mtaa wa Ufipa ndo utakikuta chama cha Familia wewe!mtasubiri sana kwenu CDM wawekezaji wameshavamia na tayari wamegawana hisa!babu kalamba hisa kibao na Mwenyekiti,Dr.Kabakia kushangaa kama unabisha kawaulize mtaa wa Ufipa, sijui unasema nini? Mkiambiwa kuna mchwa mnatoa maneno ya ovyo, maamuzi ya Dodoma ndo yamewakata miguu maana mlitarajia mtapata mteremko lakini mmejikuta mnakula za uso!
Wee hasara tupu, toka huna chochote, huna faida, Lowassa njoo haraka...
waliodai au kutuhumu kua lowasa ni fisadi,ni chadema katika ile list of shame, so kama ccm wameshindwa kumpeleka mahakaman then ni wakat muafaka sasa cdm wakipata dola kupeleka mafisadi wote mahakaman akiwemo lowasa.Labda sasa cdm watuambie list ile ya mwembe yanga ilikua sio ya kweliWanaotishia kuhama wote ni magamba na ni wapinzani wa lowassa.
Enzi ya siasa za kijinga Tanzania zimekwisha.
Kama lowassa ni fisadi mpelekeni mahakamani...mbona kubweka tu lowassa ni fisadi kama kambwa kenye mafua!
The monster has to go hell...that's matter.
Nyie bwekeni tu.
Endelea kumpenda hapendeki teh teh teh wenzio wameshagawana hisa subiri maagizo tu!hutaki toka!
Nina maono ya kuona mbali kuwa kama Lowassa, atajiunga na upinzani basi mwisho wa upinzani utakuwa umefika .
Kwani CHADEMA watashindwa kwa kishindo alafu pia CCM watamvua nguo Lowassa kuwa ni fisadi na ndiyo sababu ya yeye kukatwa.
Nasikitika sana upinzani watakuwa wanajiua wenyewe.
inaonekana hauna hoja unaongelea habari za vijiweni tu mi nimekwambia unipe ushahidi unanipa maelezo chuki yako binafsi hahisaidii