Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

11752398_953796358017692_3123002714227252577_n.png


Lakini Mwenyewe Mheshimiwa Lowasa hajasema kitu mbona muna mpapatikia sana?
 
kweli siasa za bongo.tusitake kudanganyana mwanzo wanasema ccm chama cha mafisadi leoo hii wanawachukua wanachama hao hao mafisadi kuwa weka kwenye chama.huuu nao ni ufisadi pia inaonesha jinsi gani uongozi unavyotafutwa kwa nguvu.
 
Umeshaongea na mwanaCCM hata mmoja?Naomba nikujibu kwa kukuuliza maswali?

Hivi wajua wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM baadhi yao walikuwa wamo kwenye payroll ya Lowassa?Hivi unadhani fujo yote ilikuwa ya nini mpaka kuwa na uhakika wa kupita kwenye uteuzi?

Je unadhani kati ga hao wawili Maembe na huyo Lohassa,kuna hata mmoja atakayetoka kifua mbele kusema hajawahonga wajumbe?

Hivi unadhani siri ya kuhonga si siri?Hivi wajua kwamba kwa sasa humo ndani bila kuwa na uwezo sahau uongozi?

Rafiki Bora TAIFA KULIKO LOWASSA.Mimi na Lowassa zote twaweza kufa pamoja na vyama vyetu lakini si Taifa letu.

Ninajua mahali utajiri wa Lohassa ulipoanzia,enzi za JKN wakati wa Njaa ya Lushoto akiwa kwenye kitengo cha maafa ofisi ya Waziri Mkuu.

Watanzania wakifa njaa kuna mpumbavu mmoja anajineemesha leo tunampigia makofi eti atatubu.Akatubu kwa aliyemuumba.

Nitakuwa supporter wa Dr.Slaa kwa kumkataa Lowassa kujoin CDM.Kama wanachama wa kawaida tunaokifanya chama kijulikane nasema BIG NO KWA LOWASSA.Anayetaka amtengenezee Chama.Kingine aingie.Siyo CDM,tumepiga kampeni sana kuonyesha weledi wa CDM,leo tunawek nyuso zetu wapi?

Atunajiteteaje kumkubali Mwizi wa mali za umma?Aliye kwapua chakula cha watanzania waliokuwa wanahitaji.Njaa ikiwa inawaua watanzania kuna mpuuzi mmoja anajineemesha na njaa ya maskini.

Yaani sijui tu.Lakini bado ni Bora nibaki Bila Chama lakini si kumpokea Lowassa.Leo semeni wanachama wote wasiomsupport Mwenyekiti kwa kumkaribisha Lowass warudishe kadi hakika nitakuwa wa kwanza.

inaonekana hauna hoja unaongelea habari za vijiweni tu mi nimekwambia unipe ushahidi unanipa maelezo chuki yako binafsi hahisaidii
 
Kwani huko ccm kafukuzwa? Namshauri atulie hukohuko ccm kwa amani vinginevyo ataporomoka kisiasa kupita maelezo yote!
 
Nina maono ya kuona mbali kuwa kama Lowassa, atajiunga na upinzani basi mwisho wa upinzani utakuwa umefika .

Kwani CHADEMA watashindwa kwa kishindo alafu pia CCM watamvua nguo Lowassa kuwa ni fisadi na ndiyo sababu ya yeye kukatwa.

Nasikitika sana upinzani watakuwa wanajiua wenyewe.
 
Wee hasara tupu, toka huna chochote, huna faida, Lowassa njoo haraka...

WW NDO UTOKE MI PIA NAJIUNGA NA CCM CHADEMA HII ILIPONGA RICHMOND ASILMIA 220 LEO WAMPOKEE LOWASA ASIMAME KUTAFUTA URAISI SAAA NITAAMINI HAWA WOOOTE WANAganga njaa hakuna mzalendo wala nn
 
Nina maono ya kuona mbali kuwa kama LOWASA, atajiunga na upinzani basi mwisho wa upinzani utakuwa umefika kwani CDM watashindwa kwa kishindo alafu pia ccm watamvua nguo lowasa kuwa ni fisadi na ndiyo sababu ya yeye kukatwa. Nasikitika sana upinzani watakuwa wanajiua wenyewe.

Hayo maono yako nenda ukamsaidie makomeo akubaliwe na wabunge wa ccm,ndandambwe weye.
 
Tangu lini nikatoa mchango wa kukufurahisha wewe! Nakujua BAVICHA wewe na kwa hatua hii unaanza kuweweseka! chama cha Familia kiko wapi Magufuli ni mwana Familia? Au umekosa cha kuongea nenda mtaa wa Ufipa ndo utakikuta chama cha Familia wewe!mtasubiri sana kwenu CDM wawekezaji wameshavamia na tayari wamegawana hisa!babu kalamba hisa kibao na Mwenyekiti,Dr.Kabakia kushangaa kama unabisha kawaulize mtaa wa Ufipa, sijui unasema nini? Mkiambiwa kuna mchwa mnatoa maneno ya ovyo, maamuzi ya Dodoma ndo yamewakata miguu maana mlitarajia mtapata mteremko lakini mmejikuta mnakula za uso!

Tatizo lako unadhani wote ni sawa na Baba yako ambaye deal zake ni madawa ya kulevya na Babu yako ambaye hana dini pole.
 
Wee hasara tupu, toka huna chochote, huna faida, Lowassa njoo haraka...

WW NDO UTOKE MI PIA NAJIUNGA NA CCM CHADEMA HII ILIPONGA RICHMOND ASILMIA 220 LEO WAMPOKEE LOWASA ASIMAME KUTAFUTA URAISI SAAA NITAAMINI HAWA WOOOTE WANAganga njaa hahuna mzalendo wala nn
 
Wanaotishia kuhama wote ni magamba na ni wapinzani wa lowassa.
Enzi ya siasa za kijinga Tanzania zimekwisha.
Kama lowassa ni fisadi mpelekeni mahakamani...mbona kubweka tu lowassa ni fisadi kama kambwa kenye mafua!
The monster has to go hell...that's matter.
Nyie bwekeni tu.
waliodai au kutuhumu kua lowasa ni fisadi,ni chadema katika ile list of shame, so kama ccm wameshindwa kumpeleka mahakaman then ni wakat muafaka sasa cdm wakipata dola kupeleka mafisadi wote mahakaman akiwemo lowasa.Labda sasa cdm watuambie list ile ya mwembe yanga ilikua sio ya kweli
 
Endelea kumpenda hapendeki teh teh teh wenzio wameshagawana hisa subiri maagizo tu!hutaki toka!

Umemaliza kubwia unga ndiyo unakuja huku,Wenzio tunajali Taifa letu.Muulize Babu yako sababu zilizomfanya aamue kumtetea Lowassa ni nini ndiyo uje huku
 
Nina maono ya kuona mbali kuwa kama Lowassa, atajiunga na upinzani basi mwisho wa upinzani utakuwa umefika .

Kwani CHADEMA watashindwa kwa kishindo alafu pia CCM watamvua nguo Lowassa kuwa ni fisadi na ndiyo sababu ya yeye kukatwa.

Nasikitika sana upinzani watakuwa wanajiua wenyewe.

Umeona vyema!!!
 
Watu wanabadilika sana, watu walisema Chadema wakimuondoa Zitto ndio mwisho wao, lakini chama kimeendelea kushamiri kuliko wakati mwingine ule wa history yake. Muache aje tukishindwana ataondoka. Mbona yule mwingine kahamia TADEA? Sioni tatizo, aje ila asije na uchafu wake. Tunaongozwa na Katiba sio fikra za mwenyekiti..
 
Lowassa hana lolote ni bubu kama mabubu wengine hana jeuri ya kuhama ccm ni mwoga sanaaaa!! Mzee wa maamuzi magumu wapi maamuzi magumu Lowasa? Dhaifu sana wewe!
 
mwenyekiti kwa hili hakika hufai kabisa hakuna mkubwa zaidi ya chama shobo za nini kwa huyu mtuhumiwa wa ufisadi?ccm wakimpitisha mtatangaza ushindi saa 4 asubuhi?CDM unataka iwe ngazi ya mkimbilia ikulu kutimiza ndoto zao kututumia wanachama na wafia cdm ambao wamejitoa miaka yote na kuamini cdm ndio chama cha kutetea wanyonge wa tanzania leo unageuka tafadhari kwa hili hufai na umekosea
 
inaonekana hauna hoja unaongelea habari za vijiweni tu mi nimekwambia unipe ushahidi unanipa maelezo chuki yako binafsi hahisaidii

Sina sababu ya kuwa na CHUKI na LOWASSA ,sawa ninachoongelea ndicho kilivyo.Ameutaka urais akaamua kupoteza pesa zake nyingi kununua wajumbe wa kumpigia kura,hutaki acha.

Lakini kiongozi yeyote anayeutaka urais mpaka kuutafuta kwa pesa hatumuhitaji.

Huyu ndiyo yule muhusika number moja wa Richmond ,kwa hiyo leo ndiyo amekuwa mzuri?Huyu aliyepata utajiri wake kwa kutumia wahanga wa njaa miaka ya 80,leo amekuwa mzuri?

Hivi wakati wanachama wa CDM wanapigwa na wengine kuuawa,sijawahi kumsikia hata siku moja akikemea hilo leo amekuwa mzuri kuliko wale waliopata kipigo cha polisi?

Mbowe kama Mwenyekiti anapaswa kuwaheshimu wanachama wa CDM na kuwathamini,kama anadhani ni bora Lowassa kuliko wanachama 100 wa kawaida ok then amlete Lowassa ndani halafu aone kitakachotokea.

Siongei kwa kutisha ila naongea sababu kumepote pesa za walipa kodi kukifanya CDM kiwe hapo,akicheza na kiberiti aangalie asije unguza nyumba

SIna chuki na Lowassa ila hatuhitaji watu wanunuao vyeo.Usitegemee uweke tone la sumu ya panya kwenye maji halafu uniambie haya maji yako mengi hayana sumu,duh!

Ukishaingiza Simba kwenye zizi,tegemea kuvuna ngozi.
 
Back
Top Bottom