Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mwenyekiti wa CHADEMA taifa mh. Freemam Mbowe amemkaribisha Lowassa kujiunga na CHADEMA hakibagui mtu ili mradi tu afuate kanuni na taratibu za chama.

Source: Tanzania Daima, Mwananchi

Ikitokea akakaribishwa UKAWA,basi wanasiasa wa upinzani watakuwa wamechemka!haiwezekani mtu waliempigia kelele kiwa ni mwizi,leo hii waungane nae!imani ya upinzani itapotea!
 
WW NDO UTOKE MI PIA NAJIUNGA NA CCM CHADEMA HII ILIPONGA RICHMOND ASILMIA 220 LEO WAMPOKEE LOWASA ASIMAME KUTAFUTA URAISI SAAA NITAAMINI HAWA WOOOTE WANAganga njaa hahuna mzalendo wala nn

Dada umekuwa provoked bure huyo ni GAMBA tena la Kobe
 
Ikitokea akakaribishwa UKAWA,basi wanasiasa wa upinzani watakuwa wamechemka!haiwezekani mtu waliempigia kelele kiwa ni mwizi,leo hii waungane nae!imani ya upinzani itapotea!

Kuna watu hawalioni hilo.
 
Lowassa hawezi kuja Chadema mwepesi sana yule. Chadema msipotezee muda kwa huyo gamba achaneni naye hana maamuzi magumu ni dhaifu sana huyo.
 
Et ndo wapinzan wa TZ hawa.....maaaaaaa maaaa eeeee zao
 

Attachments

  • 1437538937446.jpg
    1437538937446.jpg
    59.2 KB · Views: 260
unaposema mbowe asiwaharibie chama inamaana gani???

hcho n chama chake, acha afanye apendavyo.
kama kamati kuu imerdhia maamuzi ya mbowe ni nan awezae kumtetemesha

na kama cc haijaridhia basi mbowe atimuliwe.

Ingekuwa cha kwake angekiacha nyumbani kwake kiwe na familia yake.Kimejengwa kwenye jamii si chake tena ni chetu,hawezi kutusikia watanzania na akaamua bora Lowassa kuliko watanzania wa kawaida basi ajue CDM byeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kwenye uso wa dunia
 
Nina maono ya kuona mbali kuwa kama Lowassa, atajiunga na upinzani basi mwisho wa upinzani utakuwa umefika .

Kwani CHADEMA watashindwa kwa kishindo alafu pia CCM watamvua nguo Lowassa kuwa ni fisadi na ndiyo sababu ya yeye kukatwa.

Nasikitika sana upinzani watakuwa wanajiua wenyewe.

Kwanini maono yako hayo usiyapeleke huko kwenu CCM ili yawasaidie!? Sisi tulimwambia Mwenyekiti wenu kuwa CCM itakufa, akatuzodoa kuwa tutakufa sisi, leo hii mnatushauri nini tena!?
 
Nina maono ya kuona mbali kuwa kama Lowassa, atajiunga na upinzani basi mwisho wa upinzani utakuwa umefika .

Kwani CHADEMA watashindwa kwa kishindo alafu pia CCM watamvua nguo Lowassa kuwa ni fisadi na ndiyo sababu ya yeye kukatwa.

Nasikitika sana upinzani watakuwa wanajiua wenyewe.

Wewe unaeona kuwa kama Lowassa atajiunga na upinzani utakuwa ni mwisho wa upinzani na upinzani utakuwa unajiua wenyewe wakati huku mitaani ambako ndiko kuna wapiga kura wengi,wanachama wengi wa upinzani walikuwa wanasema waziwazi kuwa CCM kama watamsimamisha Lowassa wako tayari kumpa kura zao.

Wao wanachojua ni kulala na kula chakula wanacholima kwa mikono yao,wanavaa nguo zinazotokana na fedha zao baada ya kuuza mazao kila kitu wanachokipata kinatokana na juhudi zao binafsi.

Kwa hiyo hata kama ukiwaambia kuwa kwanini mnataka kumchagua Lowassa wakati ni fisadi?wanasema unasema kuwa Lowassa ni fisadi kwani katuibia nini?.

Wale ambao wapo ngazi za juu na wale ambao kwa sehemu kubwa wanategemea huduma kutoka serekalini ndio wanaoujua kuwa Lowassa ni fisadi lakini wananchi wa kawaida ambao kwa sehemu kubwa maisha yao hayaitegemei serekali hawajui kuwa Lowassa ni fisadi na ukiwaambia kuwa Lowassa ni fisadi hawakuelewi,na hao ndio wapiga kura wengi.
 
Ubaguzi huu utaisha lini? Lowassa ni nyani?


Mkuu hahakuna aliembagua, ni swali tu tunauliza na sisi, Je Lowassa ni msafi akija CDM ila akiwa CCM ni mchafu? Jibu unalo. CDM wameamua kujikaanga kwa mafuta yao..... na kula matapishi yao. Nimeamini Mbowe ni kichwa cha panzi!
 
mwenyekiti wa chadema taifa mh. Freemam mbowe amemkaribisha lowassa kujiunga na chadema hakibagui mtu ili mradi tu afuate kanuni na taratibu za chama.

Source: Tanzania daima, mwananchi

je lowasa na slaa watakaa meza moja?
 
Watu wanabadilika sana, watu walisema Chadema wakimuondoa Zitto ndio mwisho wao, lakini chama kimeendelea kushamiri kuliko wakati mwingine ule wa history yake. Muache aje tukishindwana ataondoka. Mbona yule mwingine kahamia TADEA? Sioni tatizo, aje ila asije na uchafu wake. Tunaongozwa na Katiba sio fikra za mwenyekiti..

Duuu hivi hawa ni CHADEMA au ni CHANGALACHADEMA??!!!!
 
Mkuu hahakuna aliembagua, ni swali tu tunauliza na sisi, Je Lowassa ni msafi akija CDM ila akiwa CCM ni mchafu? Jibu unalo. CDM wameamua kujikaanga kwa mafuta yao..... na kula matapishi yao. Nimeamini Mbowe ni kichwa cha panzi!

Tatizo la Cdm wamejaa dharau na wanatukana kila mtu, ushauri hata ukiwapa hauwasaidii ndugu yangu waache tu maana wamesahau kama walishatoa waraka na matamko mazito kwa ajili ya mtu huyo kumlaani kwa laana zote na matusi mengi sana yasiyotamkika leo wamemuona kama Mungu Wao!
 
Kuna watu hawalioni hilo.

Ndugu siyo kuna watu hawalioni hilo!!!Sema wote hawalioni,CHADEMA ni taasisi ina miiko na katiba yake na maamuzi yake lazima yazingqtie Katiba sasa ukisema kuna watu hawalioni hilo basi hicho sio Chama cha siasa!Ukweli utabaki palepale ndugu yangu japo najua una uchungu sana,hawa ndiyo viongozi tulio nao kwa sasa!
 
Ingekuwa cha kwake angekiacha nyumbani kwake kiwe na familia yake.Kimejengwa kwenye jamii si chake tena ni chetu,hawezi kutusikia watanzania na akaamua bora Lowassa kuliko watanzania wa kawaida basi ajue CDM byeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee kwenye uso wa dunia

Najua una uchungu sana bora uamini tu kwamba haya yametokea kwa sababu ya nguvu kubwa ya fedha iliyotumika wala si vinginevyo,najua kuna watu hapa watanichukia sana lakini ukweli ndiyo huo ifike mahali tusikubali kulea dhambi na maangamizo ya taasisi eti tu watu wamelipwa fedha nyingi!na katika hili tayari ushindi umepatikana maana hata wanachama sasa hawahoji hilo wamesalimu amri!
 
Mbona CCM mnalialia sana? hamtaki Lowassa aende Chadema wakati huo huo huko kwenu mmekata jina lake kwa hila hivi mnataka aende wapi? Hebu acheni upuuzi mwacheni achague mwenyewe.

Kwani amenyanganywa uanachama? Je hao wengine waliokatwa nao wahame chama?
 
Na kama ndiyo hivyo sina sababu ya kujiandikisha kupiga kura!Ili iweje?Nampigia kura fisadi,mwizi wa mali za umma,mla rushwa asiye na haya mpaka kutaka kununua urais
Kweli wakimuingiza CDM waisubirie kadi yangu huko huko ufipa.
..Mimi nasema Watanzania Wakichagua CCM Mwaka huu Nashauri Tutafute Consultanct wa Kupima UWEZO wa Kufikiri wa Watanzania..."Felix Mkosamali Mbunge wa Muhambwe

Tetty ni wewe kweli mwanasiasa wa CDM damu leo unajipambanua na wafanyabiashara za kisiasa?
Basi UWEZO wa kufikiri wa Watanzania UMEKOMAA kwani ni CCM imejipambanua kuwaondoa Mafisadi kitaalam na kubakia chama cha wakulima na wafanyakazi (wafanyabiashara waende UKAWA)
 
Sio wakulima waliobaki tuambie mashamba yao yako wapi na wanashughulika na kilimo cha nini CCM??hao wameachwa kulinda masilahi ya mabosi wao...wangebaki matajiri unadhani wangedanywa na nini wakati hawana njaa??? Chukua hatua acha siasa za kizamani za CCM za kupotosha watu
 
aje kama mwanachama wa kawaida akipewa nafasi ya kugombea urais kura yangu nabaki nayo nyumbani
 
Back
Top Bottom