eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Tulia unajifanya cdm na bado tena lowasa aje tu tunamkaribisha
Likija fisadi lile navua gwanda
ujio wa Lowassa utanitoa Chadema
Mbona CCM mnalialia sana? hamtaki Lowassa aende Chadema wakati huo huo huko kwenu mmekata jina lake kwa hila hivi mnataka aende wapi? Hebu acheni upuuzi mwacheni achague mwenyewe.
Mwenyekiti wa CHADEMA taifa mh. Freemam Mbowe amemkaribisha Lowassa kujiunga na CHADEMA hakibagui mtu ili mradi tu afuate kanuni na taratibu za chama.
Source: Tanzania Daima, Mwananchi
Akikatwa!Na kupachikwa fisadi lowasa,ntarudisha kadi ya chadema asubuhi saa 1.na ntaacha kufuatilia siasa za bongo!
Kweli kabisa Mkuu, ikiwa kweli mimi nitapishana nae mlangoni.ujio wa Lowassa utanitoa Chadema
ujio wa Lowassa utanitoa Chadema