Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Ili aendelee kuliibia Taifa?Tuangalie mbele na siyo hapa puoni.Unadhani huyo Dr.Slaa ataweza kufNya kazi na mhalifu?Hivi uhalifu wake huyo Lowassa unaishia akitoka CCM?Duh.mawazo mengine hayalisaiidii taifa bali linalidumaza Taifa.

Mkuu kama kamkaribishq
atashindwaje kufanya nae kazi?
 
Tetty ni wewe kweli mwanasiasa wa CDM damu leo unajipambanua na wafanyabiashara za kisiasa?
Basi UWEZO wa kufikiri wa Watanzania UMEKOMAA kwani ni CCM imejipambanua kuwaondoa Mafisadi kitaalam na kubakia chama cha wakulima na wafanyakazi (wafanyabiashara waende UKAWA)

Ha ha ha ha ha
daaaa umetisha
sana kamanda!
Hiyo inaitwa Exchange program!!!
 
Sio wakulima waliobaki tuambie mashamba yao yako wapi na wanashughulika na kilimo cha nini CCM??hao wameachwa kulinda masilahi ya mabosi wao...wangebaki matajiri unadhani wangedanywa na nini wakati hawana njaa??? Chukua hatua acha siasa za kizamani za CCM za kupotosha watu

Oparesheni ya kimkakati ya CCM
Mi naona wamefanya timming
afu waliokatwa wote wamekimbilia
cdm na wale big mambaz wako huko
sasa hiv chama kina vigogo wa ufisadi
sasa sijui tusemeje, toka juzi niliamua
kulala tu sikuja kuchangia hapa
maana comedy hii inatisha sana!
 
aje kama mwanachama wa kawaida akipewa nafasi ya kugombea urais kura yangu nabaki nayo nyumbani

Pelekea Magufuli wewe!
Huyo hawezi kuja kama civilian
maana yeye amebakiza urais tu
na Pact waliosaini ndo hiyo na
lango la cdm liko wazi sasa hivi
wanaingia na kutoka, no matter what,
what remains to him is to be called Mr.President!
 
lowasa hasafishiki hata kwa JIk....

Usishangae sana, chadema sio chama cha siasa hawa ni wanaharakati. Wanakula matapishi yao. Ngoja tusubiri tuone watakavyo msafisha. Mroho siku zote hachagui chalula na wala hana allegy, chochote twende.
 
Sio wakulima waliobaki tuambie mashamba yao yako wapi na wanashughulika na kilimo cha nini CCM??hao wameachwa kulinda masilahi ya mabosi wao...wangebaki matajiri unadhani wangedanywa na nini wakati hawana njaa??? Chukua hatua acha siasa za kizamani za CCM za kupotosha watu

Kazi ya kumsafisha Lowasa imeanza.
 
Chadema ijisimamie isihitaji kusimamiwa wakati chama cha makomando. Wamejiunda vizuri kumbe wasikubali mfupa ulio mshinda fisi. ...
 
Chadema ijisimamie isihitaji kusimamiwa wakati chama cha makomando. Wamejiunda vizuri kumbe wasikubali mfupa ulio mshinda fisi. ...

Huo mfupa ni upi kuwa wazi kamanda!mimi naona ni vyema wakija hadharani kuwaomba radhi wafuasi wao na pia wamwombe radhi EL Maana walimtukana sana! waje hadharani kutengua kauli zao kwa pamoja na waombe toba ya kweli kwamba waliyoyasema yote juu yake yalikua uongo wa asubuhi!
 
Tafuta Tanzania Daima ya jana ndugu utapata full data maana mpango huo ni mzito ni ngumu kusimuliwa ndugu yangu!

Hebu nipe dondoo japo kwa uchache maana sina hakika kama nitalipata,atagombea nafasi gani mkuu.
 
ubaguzi huu utaisha lini? Lowassa ni nyani?
sio nyani. Lakini tunataka aweke wazi juu ya tuhuma za ufisadi dhidi yake. Tukimuelewa hapo sawa. Tusimdhihaki hv hivi kwani anaweza kutupa siri nyingi za magamba kwa ujumla wake.
 
mbowe Akili yake anaojua mwenyewe jamani cdm muwe makini angalieni hapa
 
Hatumbagui kwa rangi wala kabila ila hatumtaki kwa sababu ni mla rushwa na fisadi.

Hivi jamani ufisadi wake uko wapi na ni nani alie safi, tena hiyo kesi yake ya ufisadi IPO mahakama ipi hapa tz au tunaskiliza wanasiasa 2 basi?
 
Ndugu siyo kuna watu hawalioni hilo!!!Sema wote hawalioni,CHADEMA ni taasisi ina miiko na katiba yake na maamuzi yake lazima yazingqtie Katiba sasa ukisema kuna watu hawalioni hilo basi hicho sio Chama cha siasa!Ukweli utabaki palepale ndugu yangu japo najua una uchungu sana,hawa ndiyo viongozi tulio nao kwa sasa!

Unajua kama CHAMA CHA UPINZANI,unatakiwa ujifunze kutokana na CHAMA KIKONGWE,kwa kuangalia maovu yake na kwanini maovu yaliingia.

Uwongo ni kitu ambacho chama chochote kipya cha upinzani kinatakiwa kiachane nacho.Wabadilike,wasimamie ukweli,kwa sasa si enzi za kuwadanganya watanzania,na muda umefika kwa watanzania kudai ukweli.Chama ambacho kitaendelea kwenye uwongo kwa sasa hakitufai kabisa.

Leo uko upinzani ni muongo wa kutupwa kesho ukiwa mtawala utakuwaje?Upinzani wajifunze ukweli ndiyo utakao tuweka huru WATANZANIA.
 
Tetty ni wewe kweli mwanasiasa wa CDM damu leo unajipambanua na wafanyabiashara za kisiasa?
Basi UWEZO wa kufikiri wa Watanzania UMEKOMAA kwani ni CCM imejipambanua kuwaondoa Mafisadi kitaalam na kubakia chama cha wakulima na wafanyakazi (wafanyabiashara waende UKAWA)

Ukwaju,signature yangu imekuingia vyema akilini.Haitakaa hata siku moja CCM iachane na wafanya biashara,wezi,wala rushwa,ufisadi ,madwa ya kulevya,majangili nk nk,mpaka pale wanachama wake watakapoamua kwa dhati sasa basi!!!!!!!!!!!!

Mimi ni upinzani toka umeanza,na wala silipingi wala sikatai,na wala sitaki kuhama chama ,chama changu ni CDM hata wakiniambiatoka,daima nitabaki kuwa CDM na nitawaambia ukweli daima sitawaficha,pakuwapa hongera nitawapa,kwa kuwapinga nitawapinga,kwa kuwaambia ukweli nitawaambia,nina tabia moja simuogopi mtu,ninamuogopa MUNGU tu,si dharau MTU NINAWAHESHIMU watu wote bila kujali itikadi zao,ukanda watokako wala dini waaminizo.

CCM ilikuwa enzi za JKN sasa hivi kimebaki kuwa chama cha kitajiri au cha matajiri,rejea maelekezo waliyopewa wajumbe wao wa mitaa kwamba aslani asiende mtu kuchukua form ya kugombea uongozi bila kuwa na uwezo,tena uwezo kifedha.

Leo nataka kugombe udiwani,sijui kesho yangu nitakula nini,zamani form ilikuwa Tzs.20,000 leo naambiwa nitoe 1,500,000 ninazipata wapi,hapo bado hamjatuambia kwamba CCM ni ya MATAJIRI na WAFANYA BIASHARA?Hamjatuambia bado bila RUSHWA na UFISADI huwezi kuwa kiongozi CCM?

Haya na ubunge nako,nimedunduliza nimejipatia laki moja naambiwa hiyo haitoshi unatakiwa kuleta milion Tatu,duh,UKWAJU,nashindwa kukuelewa unapo sema CCM imejipambanua kuwaondoa mafisadi kitaalam,sasa sijui utaalamu wa miti shamba au kwa maana ya kisayansi.!

Swali la gitaa!!!!!Unaweza kumwondoa MWENYEKITI wako kwenye nafasi aliyonayo leo?Huyu si aliingia kwa pesa za yule tunayemwita leo FIASDI?Si ndiyo huyu alipita njia ile aliyopita shostiko wake?

Jibu rahisi,URAFIKI na UNDUGU umeingia kwenye sura nyingine ndani ya CCM,kama mzazi hajawahi kuwa kiongozi ndani ya CCM asiote kuwa.

Mmechaguliwa hata Mwenyekiti na KITENGO,aliwahi kusema URAIS WAKE NI WA KWAKE NA FAMILIA yake wengine hamna chenu,leo nikisema sentensi hii ni sawa na kusema UENYEKITI WAKE NI WAKE NA FAMILIA yake wengine siyo wadau wa uenyekiti wake nitakuwa nimekosea?

Ukwaju,hujafa hujaumbika,CCM hamuwezi kuwaondoa mafisadi humo ndani,labda mchome nyumba moto wengine wateketee kwa moto na wengine wapone,na watakao pona ndiyo watakuwa wachache waijenge upya nyumba hiyo ya CCM.

Kwa sasa UKWAJU hamtaweza,hata huyo mlichaguliwa hataweza,wachafu wako wengi zaidi ya wasafi.

Ni ukweli unaouma sana ,siyo kwa mana CCM tu ,bali kwa watanzania wote maana kutoka huko pia tunapata wawakilishi wetu ambao wamehonga kupata IWAKILISHI jiulize watazirudishaje pesa zao?Mimi na wewe tunajua ila hatutaki kuamini namna watakavyozirudisha.

UKWAJU TANZANIA BILA RUSHWA tunaweza PLAY YOUR PART

UKWAJU kwa uhakika TUWE TANZANIA KWANZA VYAMA BAADAYE.Mbunge yeyote toka chama chochote atakayetoa rushwa ya aina yoyote hastahili kuwa muwakishi wetu.Kaka UKWAJU pamoja tunaweza.
 
Hivi jamani ufisadi wake uko wapi na ni nani alie safi, tena hiyo kesi yake ya ufisadi IPO mahakama ipi hapa tz au tunaskiliza wanasiasa 2 basi?

Fikiri nje ya box mkuu. Ina maana huamini kamati za bunge?? Humuamini CAG? Wabunge walioweka ushahidi huwaamini? Bas Tz hakuna fisadi msimsafishe mmoja pekee!!!

Ila Kama Watz kama nyie mnaona kamati za bunge hazina umuhimu katika kufukua maovu nchi hii, kaeni huko mliko pigeni kura.. Kamati zote za bunge zifutwe basii
 
Ha ha ha ha ha
daaaa umetisha
sana kamanda!
Hiyo inaitwa Exchange program!!!
attachment.php
 

Attachments

  • Lowassa na Mbowe.jpg
    Lowassa na Mbowe.jpg
    28.5 KB · Views: 1,786
Back
Top Bottom