Leo kwa mara nyingine CHADEMA imeidhihirishia umma kuwa ni chama cha kidikteta na isiyoheshimu misingi ya demkrasia, uhuru na haki ya kisiasa ya kila chama na kila mtanzania.
Dunia yote imeshangaa tamko la Mbowe leo akisisitiza huku akitokwa na povu kwamba CHADEMA na CCM tu ndivyo vyama pekee vinavyostahili kupewa fursa ya kujinadi Tanzania bara kwa madai kuwa upinzani upo baina ya vyama hivyo viwili, Amedai vyama kama ACT, CUF, NCCR, TADEA na vingine havistahili hata kupewa fursa ya wagombea wao wa urais kujinadi kwenye ratiba ya TUME na kwamba vyama hivyo ni uzibe kwa CHADEMA.
Kwa chama kinachojinasibu kuwa ni cha demokrasia na kinachodai kina sera ya uhuru na haki kutoa tamko kama hili limeshtua dunia. Hii ni dhahiri CHADEMA ni chama cha kidikteta na kama ndicho leo kingekuwa madarakani Mbowe angevifuta vyama vyote hivyo na kubakiza CHADEMA pekee yake. Duniani kote katika mfumo wa demkrasia vyama vitogovidogo vipinna vinapewa haki sawa ya kunadi sera zao.
Hata Marekani, Uingereza, Ujerumani n.k kuna vyama vidogo vidogo. Chama kidogo leo kinaweza kuwa chama kikubwa miaka 10 ijayo. Kwa nini vinyimwe fursa? Nafikiria uchaguzi wa 1995 chama kilichokuwa na nguvu na upinzania mkubwa kwa CCM kilikuwa NCCR-Mageuzi, hivi Chadema kingefutwa leo kingekuwa wapi.
Kwa nini leo Chadema inaona NCCR -Mageuzi haistahili kupewa haki ya kunadi sera zao na mgombea wao wa Urais?, Hivyo hivyo kwa TADEA na vyama vingine.
Watanzania na dunia inazidi kufahamu sura halisi ya CHADEMA. Watanzania wenzangu na wapenda haki na demokrasia, pingeni chadema kwa nguvu zote na tuiadhibu kwenye kura ya Oktoba 28.
Hatutaki chama cha kidikteta na chenye ubinafsi kama CHADEMA na mgombea wake Lissu anayetoa lugha za dharau kwa wagombea wa vyama vingine hata ndani ya upinzani. Tupilia mbali Chadema, Tupilia mbali Lissu. Tunakwenda na Rais Magufuli.
Tunakwenda na maendeleo na demokrasia.
Hawezi kuvisema vibaya vyama vya upinzani wewe MATAGA. Mbona kavisifia nakasema wazi kuwa wanampango wa kushirikiana kwa kuachiana Majimbo ikiwezekana hata nafasi ya URAIS baina ya vyama vya upinzani MAKINI. Ni matumaini yangu utakuwa humaanishi vile vyama CCM B kua navyo ni upinzani kwani vile vinaleeweka kutokana na kazi maalum mliowaagiza wafanye wale mburulaz..ahaa kawashika pabaya..walipeni zile milioni moja moja kama kawaida yao wakatoe tamko tena.Sikiliza alichosema Mbowe kwenye hiyo clip kuanzia dakika 3: 33. Tena ameviita vyama vingine kuwa ni wabakaji wa demokrasia!!! Nategemea vyama vote vya upinzani vitatoa tamko na kulaani udhalilishaji huu na kuchukua hatua stahiki ikiwa ni pamoja na kuishitaki Chadema kwa udhalilishaji. CHADEMA inazidi kujimaliza kwa kauli zake
Member since sept 28, 2020 with all these foolish ideas?Leo kwa mara nyingine CHADEMA imeidhihirishia umma kuwa ni chama cha kidikteta na isiyoheshimu misingi ya demkrasia, uhuru na haki ya kisiasa ya kila chama na kila mtanzania.
Dunia yote imeshangaa tamko la Mbowe leo akisisitiza huku akitokwa na povu kwamba CHADEMA na CCM tu ndivyo vyama pekee vinavyostahili kupewa fursa ya kujinadi Tanzania bara kwa madai kuwa upinzani upo baina ya vyama hivyo viwili, Amedai vyama kama ACT, CUF, NCCR, TADEA na vingine havistahili hata kupewa fursa ya wagombea wao wa urais kujinadi kwenye ratiba ya TUME na kwamba vyama hivyo ni uzibe kwa CHADEMA.
Kwa chama kinachojinasibu kuwa ni cha demokrasia na kinachodai kina sera ya uhuru na haki kutoa tamko kama hili limeshtua dunia. Hii ni dhahiri CHADEMA ni chama cha kidikteta na kama ndicho leo kingekuwa madarakani Mbowe angevifuta vyama vyote hivyo na kubakiza CHADEMA pekee yake. Duniani kote katika mfumo wa demkrasia vyama vitogovidogo vipinna vinapewa haki sawa ya kunadi sera zao.
Hata Marekani, Uingereza, Ujerumani n.k kuna vyama vidogo vidogo. Chama kidogo leo kinaweza kuwa chama kikubwa miaka 10 ijayo. Kwa nini vinyimwe fursa? Nafikiria uchaguzi wa 1995 chama kilichokuwa na nguvu na upinzania mkubwa kwa CCM kilikuwa NCCR-Mageuzi, hivi Chadema kingefutwa leo kingekuwa wapi.
Kwa nini leo Chadema inaona NCCR -Mageuzi haistahili kupewa haki ya kunadi sera zao na mgombea wao wa Urais?, Hivyo hivyo kwa TADEA na vyama vingine.
Watanzania na dunia inazidi kufahamu sura halisi ya CHADEMA. Watanzania wenzangu na wapenda haki na demokrasia, pingeni chadema kwa nguvu zote na tuiadhibu kwenye kura ya Oktoba 28.
Hatutaki chama cha kidikteta na chenye ubinafsi kama CHADEMA na mgombea wake Lissu anayetoa lugha za dharau kwa wagombea wa vyama vingine hata ndani ya upinzani. Tupilia mbali Chadema, Tupilia mbali Lissu. Tunakwenda na Rais Magufuli.
Tunakwenda na maendeleo na demokrasia.
Ndg kaongea hayoAchana na habari za kusimuliwa vijiweni ingia YouTube utaikuba habari nzima, siyo upotoshwaji wa huyu nzi wa kijani aliyeleta thread
Usimusemee bwana kasema ni Chadema tu hao cuf si act hawakutajwa zaidi ya ccm na cdmMbowe kasema ukweli mchungu, ukweli vyama vinavyoonekana ni vinne tu yaani, cuf, ccm. act, chadema.vingine ni vyama hewa.
Wacha upunguani wewe ! Kampeni zinaendelea wewe ni nani uvupangie vyama taratibu zao za kampeni ?Kama ni vyama vya upinzani kwann havifanyi kampeni wananchi tusikie sera zao? Hao ni maluki wa CCM tuu
Leo kwa mara nyingine CHADEMA imeidhihirishia umma kuwa ni chama cha kidikteta na isiyoheshimu misingi ya demkrasia, uhuru na haki ya kisiasa ya kila chama na kila mtanzania.
Dunia yote imeshangaa tamko la Mbowe leo akisisitiza huku akitokwa na povu kwamba CHADEMA na CCM tu ndivyo vyama pekee vinavyostahili kupewa fursa ya kujinadi Tanzania bara kwa madai kuwa upinzani upo baina ya vyama hivyo viwili, Amedai vyama kama ACT, CUF, NCCR, TADEA na vingine havistahili hata kupewa fursa ya wagombea wao wa urais kujinadi kwenye ratiba ya TUME na kwamba vyama hivyo ni uzibe kwa CHADEMA.
Kwa chama kinachojinasibu kuwa ni cha demokrasia na kinachodai kina sera ya uhuru na haki kutoa tamko kama hili limeshtua dunia. Hii ni dhahiri CHADEMA ni chama cha kidikteta na kama ndicho leo kingekuwa madarakani Mbowe angevifuta vyama vyote hivyo na kubakiza CHADEMA pekee yake. Duniani kote katika mfumo wa demkrasia vyama vitogovidogo vipinna vinapewa haki sawa ya kunadi sera zao.
Hata Marekani, Uingereza, Ujerumani n.k kuna vyama vidogo vidogo. Chama kidogo leo kinaweza kuwa chama kikubwa miaka 10 ijayo. Kwa nini vinyimwe fursa? Nafikiria uchaguzi wa 1995 chama kilichokuwa na nguvu na upinzania mkubwa kwa CCM kilikuwa NCCR-Mageuzi, hivi Chadema kingefutwa leo kingekuwa wapi.
Kwa nini leo Chadema inaona NCCR -Mageuzi haistahili kupewa haki ya kunadi sera zao na mgombea wao wa Urais?, Hivyo hivyo kwa TADEA na vyama vingine.
Watanzania na dunia inazidi kufahamu sura halisi ya CHADEMA. Watanzania wenzangu na wapenda haki na demokrasia, pingeni chadema kwa nguvu zote na tuiadhibu kwenye kura ya Oktoba 28.
Hatutaki chama cha kidikteta na chenye ubinafsi kama CHADEMA na mgombea wake Lissu anayetoa lugha za dharau kwa wagombea wa vyama vingine hata ndani ya upinzani. Tupilia mbali Chadema, Tupilia mbali Lissu. Tunakwenda na Rais Magufuli.
Tunakwenda na maendeleo na demokrasia.
Mimi nimemsikiliza. Uwezo wako wa kuelewa Ni mdogo sanaLeo kwa mara nyingine CHADEMA imeidhihirishia umma kuwa ni chama cha kidikteta na isiyoheshimu misingi ya demkrasia, uhuru na haki ya kisiasa ya kila chama na kila mtanzania.
Dunia yote imeshangaa tamko la Mbowe leo akisisitiza huku akitokwa na povu kwamba CHADEMA na CCM tu ndivyo vyama pekee vinavyostahili kupewa fursa ya kujinadi Tanzania bara kwa madai kuwa upinzani upo baina ya vyama hivyo viwili, Amedai vyama kama ACT, CUF, NCCR, TADEA na vingine havistahili hata kupewa fursa ya wagombea wao wa urais kujinadi kwenye ratiba ya TUME na kwamba vyama hivyo ni uzibe kwa CHADEMA.
Kwa chama kinachojinasibu kuwa ni cha demokrasia na kinachodai kina sera ya uhuru na haki kutoa tamko kama hili limeshtua dunia. Hii ni dhahiri CHADEMA ni chama cha kidikteta na kama ndicho leo kingekuwa madarakani Mbowe angevifuta vyama vyote hivyo na kubakiza CHADEMA pekee yake. Duniani kote katika mfumo wa demkrasia vyama vitogovidogo vipinna vinapewa haki sawa ya kunadi sera zao.
Hata Marekani, Uingereza, Ujerumani n.k kuna vyama vidogo vidogo. Chama kidogo leo kinaweza kuwa chama kikubwa miaka 10 ijayo. Kwa nini vinyimwe fursa? Nafikiria uchaguzi wa 1995 chama kilichokuwa na nguvu na upinzania mkubwa kwa CCM kilikuwa NCCR-Mageuzi, hivi Chadema kingefutwa leo kingekuwa wapi.
Kwa nini leo Chadema inaona NCCR -Mageuzi haistahili kupewa haki ya kunadi sera zao na mgombea wao wa Urais?, Hivyo hivyo kwa TADEA na vyama vingine.
Watanzania na dunia inazidi kufahamu sura halisi ya CHADEMA. Watanzania wenzangu na wapenda haki na demokrasia, pingeni chadema kwa nguvu zote na tuiadhibu kwenye kura ya Oktoba 28.
Hatutaki chama cha kidikteta na chenye ubinafsi kama CHADEMA na mgombea wake Lissu anayetoa lugha za dharau kwa wagombea wa vyama vingine hata ndani ya upinzani. Tupilia mbali Chadema, Tupilia mbali Lissu. Tunakwenda na Rais Magufuli.
Tunakwenda na maendeleo na demokrasia.
CHAUMA ndo nini?CHAUMA tumepokea kauli ya Mbowe kwa masikitiko makubwa na tutaoa tamko kesho.
Wewe umemsikiliza Mbowe au unabwabwaja ?Itoshe tu kuutahadharisha uongozi wa CHADEMA kuwa wamepanua wigo wa chuki dhidi yao. Sasa siyo kati ya wanachama wa CCM wanaochukizwa na dharau ya Lissu dhidi ya M/Kiti wao na mgombea Urais, ambaye bado ni Rais wa nchi, sasa watachukiwa na wanachama wa vyama vya siasa anavyoviita majina ya hovyo
Yawezekana uongozi wa CHADEMA hawamtakii mema mgombea wao wa Urais. Kama ukweli ndio huo, kauli hiyo ya Mbowe inawatosa wagombea wote wa chama. CCM na vyama vyote vimepata agenda ya kuibomoa
Daah! Mkuu chama kinakaribia kushika dola halafu wewe hukifahamu? Achana na vyama vidogo vidogo hivyo njoo kwenye gari kubwa hili la CHAUMA. Ubwabwa kwa wote ndiyo sera yetu