saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,174
- 6,159
Huku Kikatiti umeme ulikatwa asubuhi na kurudishwa saa 12 jioni. Saa 1 na nusu wameukata tena. Kwanini mwatunyanyasa hivi?
Ni kweli mgao umekwisha ila kinachotokea sasa ni kukatika tu kwa umeme ili kutoa oili chafu kwenye mitambo ili mwanga uwe mpevu zaidi.Huku Kikatiti umeme ulikatwa asubuhi na kurudishwa saa 12 jioni. Saa 1 na nusu wameukata tena. Kwanini mwatunyanyasa hivi?
Mh Samia asipokuwa makini,ataendelea kuhujumiwa hadi basi!Huku Kikatiti umeme ulikatwa asubuhi na kurudishwa saa 12 jioni. Saa 1 na nusu wameukata tena. Kwanini mwatunyanyasa hivi?