Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,168
WanaCCM walishageuza hili taifa kuwa la kisulutani.
Nape, Riziwani na January Makamba wamerithishwa madaraka. Hii iko wazi kabisa.
Mzee Lawi Sijaona Ngwanda ni mmoja wa waasisi wa taifa letu alipigiania uhuru wa taifa letu. Mbona hatusikii juu ya uzao wake kurithishwa madaraka.
N.b Nape hana uwezo wa kuwa kiongozi basi tu.
Nape, Riziwani na January Makamba wamerithishwa madaraka. Hii iko wazi kabisa.
Mzee Lawi Sijaona Ngwanda ni mmoja wa waasisi wa taifa letu alipigiania uhuru wa taifa letu. Mbona hatusikii juu ya uzao wake kurithishwa madaraka.
N.b Nape hana uwezo wa kuwa kiongozi basi tu.